SOMO; DINI
✍🏾✍🏾 *SOMO; DINI* !
Matendo:25;19. ✍🏾 2Wafalme.10;20
AYUBU.4;7✍🏾1Timothy.2;16
Dini nini?
Dini ni mapokeo kutoka kwa watu Tofauti Tofauti ndani na nje Wenye nia nzuri na nia mbaya ya kukupeleks mbiguni au kukupotosha yote huwa yanawezekana kutokea usipokuwa na Roho Mtakatifu pia Wenye Maono mema na wasio na Maono
✍🏾✍🏾 *DINI IMEGAWANYIKA MAKUNDI 2* ☝🏽☝🏽
1-Dini ya kweli
2-Dini Ya Uongo
*Dini ya kweli*
Huwa ni mapokeo yaliyotoka ndani ya Mtu akisikia wito au kutokewa na sauti Ya MUNGU au Yesu au Malaika nakumuangiza Aende kuchunga watu NA kuwakusanya anapewa jina LA Huduma anayopaswa aiongoze.
Dini hii hujengwa katika Imani Isiyorusu Maovu katika Katiba yake Ukiisoma
Ina UTARATIBU Wenye ujazo Wa ROHO MTAKATIFU sio kifikira na mawazo ya mwili
Hupinga NA kukemea Maovu na Yasimtukuza MUNGU
Huwajenga watu katika njia yenye kuwaimarisha kiimani
Kama kuwafundisha
-Njisi ya kutembea katika wokovu
-Kuwaonya kuponya kuelekeza
-Huwapa nafasi waumini kujua misingi yao na imani yao kwa kusoma Katiba ya imani yao.
-Huwalea kiroho watoto wa Mungu sio kimwili tena
✍🏾DINI YA Uongo
Dini hii misingi na uazilishi wake umeazishwa kwa MTU kujitenga Tu toka imani nyingine hakuitwa wala kuambiwa kafikiri Tu
Akaamua Aanzishe Kanisa Lake
Huwa MTU huyu ufundishaji wake huwa ni Wa hadithi Story Mifano kusema waumini Siasa serikali Wachungaji wezake kujisifia Mimi ni zaidi Ya Fulani
Muda mwingi hawaelimishi kondoo wake
Katiba na UTARATIBU wake huwaficha waumini kwakuwa wapo waliojaliwa ROHO MTAKATIFU
Waumini wake huenda kiupofu na kuamini Imani wasioijua vizuri
Kwanini Mwanzilishi aliazisha
Dini zote hizi Huwa Utofauti wake hapo
Japo wote nia nikukemea maovu utofauti ni Hapo tu
Kuna aliyeitwa na kuna aliyejiita
Mtoto Wa MUNGU Unashauriwa ili usipotee Soma Katiba Ya Imani Yako uangalie maono na malengo ya mwanzilishi.
Kisha Soma ukurasa mmoja mmoja
Dini kubwa zote zimesajiliwa na zinatambulika serikalini
Serikali Yetu IPO Makini sana kwenye Taasisi hizi
Hebu Soma Katiba ya Imani yako humo yameelezwa mengi na Mwasisi Wa imani hiyo Usiwe mvivu Wa kujua imani yako
KATIBA YA Holy spirit ministry Tanzania
Search page hii fb usome Uelewe vizuri Imani hii ya Holy Spirit Ministry
Kwanini Pastor Richard alianzisha
Soma vyema kwa umakini
Maoni
Chapisha Maoni