SOMO: UTAJIJUAJE UPO MBIGUNI AU JEHANAMU. KITABU.1YOHANA:3.8-10 MCH.RICHARD





1yoh.3:8-10
8.atendaye dhambi huyo ni washetani maana shetani toka zamani amekuwa akitenda dhambi kwa kusundi

9.kila mtu aliyezaliwa hatendi dhambi kumbe tukae tukijua wangia mbinguni ni wale tu wasiotenda dhambi ndio maana mwana wa adamu alikuja ili kuzipinga kazi za shetani walio wake wasipotee



NDUGU ZANGU TUNAKUMBUSHWA KAMA TUMEAMUA KWENDA KWA MUNGU TUCHUKIE DHAMBI

NIMEKUANDIKIA HAYO NDUGU YANGU ILI USIJE UKAENDA MOTONI

MWENYE MASIKIO ASIKIE NA ABADILIKE AMFATE KRISTO HASA.

MIMI MTUMWA WA KRISTO MCH. RICHARD FROM NZEGA

SIMU.0759861768



SWALI.
umejifunza nini katika  somo hili fupi lakini linaujumbe mzinto.

umeamua nini baada ya kujifunza hilo.






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.