DHAMBI INAMTENGA MTU NA USO WA MUNGU WARUMI:3-23

DHAMBI NI NINI?
ni uasi  au kwenda kinyume na sheria ya mungu.


KUNA SEHEMU KUU MBILI YA DHAMBI.
-DHAMBI YA KUKUSUNDIA.
-DHAMBI YA KUTOKUSUNDIA


DHAMBI YA KUKUSUNDIA  NDIO IKONJE.

ሸi dhambi unayoifanya kwa kujua kabisa hapa namkosea mungu lakini bado uachi.


DHAMBI HII INAMADHARA GANI

-inakutenga mbali na utuku wa mungu
-inakuletea maradhi na matatizo mengi
-unakufa kifo cha mateso
-unakuwa mlango wa shetani kukutesea
-unakuwa mtu usiyejijua katika matendo yako.
-kamwe uwezi kuingi mbiguni
-utachomwa moto na kuhukumiwa
kifo cha haraka maana anaona akikuacha uishi utaendelea na uovu anaona tu
akuchukue mapema.



FAINDA YA KUEPUKA DHAMBI

-unaishi maisha marefu.
-maradhi kwako hayatakuwepo
-ukitaka kufa mungu anakujulisha
unaacha ratiba vizuri.
-utaomba na kupanga na kulaani
kuhukumu na itakuwa ivyo.
-unachukia dhambi
-roho wa mungu anakaa nawe
-utaandaliwa makao pa nzuri baads ya kifo
-shetani na njeshi lake hawatkungusa


MAAMUZI NI YAKO SASA BAADA YA KUKUFUNGUA LEO

JE UNATAKA UENDELEE NA
KUTUMIKISHWA NA DHAMBI
ENDELEA LAKINI KAMA
UMEAMUA KUKATAA CHUKUA JUKUMU

LA KUMUKABIDHI YESU MAISJA YAKO
NIPINGIE.



DHAMBI YA KUTOKUSUNDIA
ni dhambi anayofanya mtubila kujua la ni dhambi
anafanya bila kujua.

HII INAFAINDA MAANA

MUNGU HUIFUTA HARAKS NA MTI HUYU
KUMUOKOA ASIANGAMIE
PIA HUMUEPUSHA NA KILA MBAYA
MTU HUYU NA ANAPOOKOLEWA
HUTULIA KWA MUNGU NA
HAYUMBIYUMBI.



NAITWA MCHUNGAJI RICHARD FROM NZEGA


MAWASILIANO
SIMU.0759861768

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.