SOMO;NAMBA ZA KIBIBLIA




Namba

1:NAMBA ZA  UUMBAJI WA MWANADAMU


Maana ya Kiroho



Ufafanuzi mfupi



Aya ya Rejeo

1

Umoja / Utoshelevu

Inamwakilisha Mungu mmoja tu na upekee wake. Hakuna mwingine.

Kumb 6:4, Efe 4:5

2

Ushuhuda / Muunganiko

Inahitajika mashahidi wawili kuthibitisha jambo. Pia inahusu Ndoa.

Yn 8:17, Mwa 2:24

3

Uthibitisho / Utatu

Inakamilisha ushuhuda. Inawakilisha Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.

Mt 28:19, 1Yn 5:7

4

Ulimwengu / Uumbaji

Inahusu pande nne za dunia (Kaskazini, Kusini, Mashariki, Magharibi).

Ufu 7:1, Eze 7:2

5

Neema ya Mungu

Wema wa Mungu usio na kipimo kwa mwanadamu dhaifu.

Efe 2:8, Mt 14:17






Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

MAOMBI YA USIKU WA MANANE 2025

KITABU IJUE NDOTO YAKO