SOMO: FANYA HAYA KUMJUA MUNGU

SOMO: FANYA HAYA KUKUA KIROHO

Group: Maombi na Mafundisho
Admin; Pastor Richard Wa Morogoro
WhatsApp:Group Jiunge+255710889892

Kuna Mambo haya ukifanya yakupima umekomaa kiroho. 


A:MJUE SANA MUNGU. 

Ayubu 22:21 
Mjue sana Mungu, ili uwe na amani; Ndivyo mema yatakavyokujia.

MFANO WA MAMBO YANAYOKUPA USHAHIDI UNAMJUA MUNGU. 

1:Kuwa na MWoga Wa Wizi Wa zaka
Malaki:3:8-12
Kila Mwezi unatoa kama Mchungaji alivyoelekeza


2;Kuwa Muoga Wa dhambi Kufanya

Waefeso 4:23
 na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu;


3:Unabadilika Kitabia Zako. 

1 Wakorintho 15:33
Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


B:MAFUNDISHO YA NENO. 

Ukiponywa Akili Yako na Fikira Zako utapenda kujifunza Kila Siku NENO la Bwana.

Kumbukumbu la Torati 32:2
Mafundisho yangu yatadondoka kama mvua, Maneno yangu yatatona-tona kama umande; Kama manyunyu juu ya majani mabichi; Kama matone ya mvua juu ya mimea.


C: MAOMBI

Ukiona huna ratiba Yako Binafsi ya Maombi Ujue Umekufa rohoni sababu huwezi ukawa na Akili Yako timamu half ukawa kuomba mpaka usukumwe Ulazimishwe tengemea Utateseka Sana. 

Yohana 15:7

 Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.



HITIMISHO

Haya Yanakupa Picha Wewe unamjua Mungu Kama Zaka hutoagi au Hakuna unachokifanya kukujulisha unamjua Mungu tengemea Matatizo yatakuwa mlango Wa Kukuonea. 


Wokovu Upo kwa MTU mwenyewe Juhudi ya Mtu Siyo Mchungaji Peke yake 


Matatizo Yanapata Nguvu kwa Sababu umejaza magazine ya dunia Akilini Mwako




 




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

MAOMBI YA USIKU WA MANANE 2025

KITABU IJUE NDOTO YAKO