SOMO:IJUMAA KUU
SOMO:IJUMAA KUU
Yohana;19:31-42
Ijumaa Kuu :-Ni Maandalizi ya kuelekea kukamilisha Wokovu kwa wanadamu.
IJUMAA KUU IMEGAWANYIKA SEHEMU KUU TATU.
1:MATESO YA BWANA YESU.
Hii inatukumbusha mateso ya Bwana Yesu.
Yohana;19;27-37
2:KIFO CHA BWANA YESU.
Hii Inatukumbusha Kifo na Kuzikwa kwa Bwana Yesu.
Yohana;19;38-42
3:UPENDO WA BWANA YESU.
Hii Inatukumbusha upendo mkubwa kwa Bwana Yesu Kwetu.
Yohana;3;16
Ijumaa kuu ni siku muhimu kwetu wakristo kutafakari na kuona Yale Aliyoyatenda Bwana Yesu.
Maoni
Chapisha Maoni