SOMO: NDOTO ZA KUOTEA WEGINE

Somo;NDOTO NA TAFSIRI ZA KUOTEA WENGINE

NDOTO  NI UJUMBE AU TAARIFA UNAYOJULISHWA WEWE UOTAYE.

Huu Ujumbe Unaweza Ukahusu Wengine Au Sisi Wenyewe Na ujumbe inaweza ikawa jambo lipo kwa wakati huo au linakuja au lilishatokea.

Ayubu:33:14-15

Karibuni Ninaitwa Pastor Richard Wa Morogoro Nipo Kanisa la Holy Spirit church Tanzania  Tuma ndoto inayokusumbua Inbox +255710889892

1:Ukimuotea mtu amekufa

👉🏿👉🏿Unajulishwa Huyo mtu hatakufa Roho ya mauti inamfatilia 

Omba kemea hiyo ndoto.

Ninakataa roho za mauti kwa.. katika Jina la Yesu.AMEN 


2:Ukimuotea Mtu umemfumania

👉🏿👉🏿 Unajulishwa Huyo mtu Atakamatwa na Uzinifu 

Omba kemea hiyo ndoto


3:Ukimuotea Mtu Anipita Barabarani anatembea wewe Umesimama

👉🏿Unajulishwa Huyo mtu atafanikiwa Kukuzidi wewe 

Omba ombea itimie


4;Ukimuotea Mtu anaumwa Sana

👉🏿👉🏿Unajulishwa ataenda kuumwa yule mtu Sana lakini Mungu atamponya 

Omba kemea hiyo ndoto


5:Ukimuotea Mtu anaolewa au Anaoa

👉🏿👉🏿Unajulishwa Huyo mtu amefungwa kuolewa simama umuombee au afike kwa Wachungaji waombe Kuvunja MTANDAO uliofanyika kwenye jina na wafute alama usoni ya kutokuolewa.


6:Ukimuotea Mtu ulikuwa unaongea nae Ni rafiki yako mpo wawili maeneo ya nyumbani ulipokulia 

👉🏿👉🏿Unajulishwa Rafiki yako Ujumbe anaokupa UFANYIE kazi tatizo lako lilianzia nyumbani.

Mfano anakupa Taarifa Fulani kuwa wewe Upo hivi mbona utaolewa Au utafaulu Mtihani inatengemea mazungumzo Yenu kwenye ndoto na huyo rafiki yako

Omba kemea hiyo ndoto


7:Ukimuotea Baba yako Yupo shambani

👉🏿👉🏿Unajulishwa Baba yako atafanikiwa KUPITIA kilimo

Muombee itimie ndoto hiyo.


8:Ukimuotea mama yako Amenijifungua

👉🏿👉🏿 Unajulishwa Mambo Yake yatafunguliwa kupitia maombi. 

Muombee itimie ndoto hiyo.


9;Ukimuotea Mtoto wako anakimbizwa

👉🏿👉🏿Unajulishwa mwanao hataendelea vizuri Darasani Au Katika Mafanikio au Huduma Yake


Muombee useme kwamba Kila roho inayotumwa Kwa Mwanangu imuachie Katika jina la Yesu 🙏 Amen


10;Ukimuotea mgonjwa Amepona

👉🏿👉🏿Unajulishwa atakufa
Muombee ukatae roho ya mauti


11:Ukimuotea mgonjwa Amekufa

👉🏿👉🏿Hatakufa Mungu atamponya.


12:Ukimuotea marehemu anaongea nawewe👉🏿👉🏿 Unajulishwa Huyo mtu Ni mnzima hajafa yupo msukule anatumikishwa  

uombe hivi;- 

Najitenga na roho za Kuzimu kwa jina la Yesu 🙏 Amen


13:Ukimuotea mgonjwa amezidiwa

👉🏿 Unajulishwa Anakufa Ombeni uganeni watu watatu muombeeni kukataa kifo.


14;Kuotea mtu anamimba na hana mimba kimwili👉Unajulishwa Amefungwa Kizazi chake kiombee.


15;Kuoteshwa mtu Amevishwa Pete ya Uchumba 👉Unajulishwa Anaenda Kuolewa huyo mtu kama bado.


16: Ukimuotea amefunga ndoa mtu ambaye yupo kwenye ndoa👉Unajulishwa Huyo mtu kuna roho  ya uharibifu inafatilia ndoa yao ingia  Maombi.


17:Ukiotea mjamzito Amejifungua👈Unajulishwa  Anaenda kujifungua Salama.


18:Ukiotea mtu anapigana na unamjua wewe upo unatazama👉Unajulishwa Huyu mtu nguvu za kichawi zinamfunga haeezi kujitetea 

Ingia Maombi umuombee.


19:Ukimuotea mtu Ameachwa Usafiri au bus study 👈Unajulishwa anateseka sababu anawito ndani yake hajishughushi. 

Mpe namba apige.


20:Ukimuotea mtu anaombea watu👉Unajulishwa anahuduma ya uchungaji lakini imejificha haitambui ndani yake.


Mwambie aje chuoni 


Tupia inbox ndoto yako Whatsap +255710889892

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.