SOMO;MAOMBI YA UKOMBOZI WA MTU MWENYE H.I.V POSTIVE
SOMO:MAOMBI YA UKOMBOZI WA MTU MWENYE H.I.V POSTIVE.
Soma vitabu hivi kujua imani ilivyo Uponyaji wako utatengemea kiwango cha unavyoipandisha juu Imani yako Kupitia wezako kwenye Biblia walivyoponywa kwenye vitabu hivi hasa Luka 8.
Warumi.10:17, Marko.4:14 Luka.8:40-56
πππππππ
Mathayo 14:31
[31]Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?
ZINGATIA HAYA UNAPOOMBA HAYA MAOMBI.
πππππππππππππ
1.Uwe na Imani Kubwa Isiyokuwa na Hofu ndani yake unapoomba. Kama huna imani usiombe acha waombe wenye imani.
Warumi;10:17
Mathayo:14:31
2.Utakuwa na Sadaka Yako Yenye Kiwango Sawa na Uzito wa Tatizo lako unavyoliona mwenyewe Kumbuka hii itaenda kuagusha Angano la Damu na Usijishushe Katika Eneo hili la Sadaka. Anza kiasi cha Sh.50000 kupanda juu
Kama huna usiyaombe kwanza tulia ukipata utaomba
Zaburi;20;3 Matendo:10:4
3.Utaomba Maombi Haya Usiku kwa muda Usiopishana Ndani Ya Siku 7 Mfululizo Na Tatizo litaanguka Kama Ukuta WA Yeriko ndani yako.
πππππ
Waebrania 11:30
[30]Kwa imani kuta za Yeriko zikaanguka, zilipokwisha kuzungukwa siku saba.
4.Usiombe Maombi ukiwa umechoka au Huna Imani Kubwa au Ukiwa unamashaka Tafadhali Usiombe.
5.Siku ya Mwisho Utaituma Sadaka Yako Na Unanipigia Simu ukishatuma Sadaka Yako
Usiache Kupiga.
SOMA Isaya.43:16
6.Utaomba
MAOMBI YA KUJIONDOA KWENYE TATIZO LA H.I.V
π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³
A:TOBA;
Eeh Bwana Yesu Nakuja mbele Zako mimi ni Mwenye Dhambi mimi ni mkosefu nimekutenda dhambi Katika Njia Zangu Katika Nia Zangu Baba Naomba Unisamehe Nisamehe mimi ni mkosefu ninakiri nimekutenda dhambi Bwana Sasa Narudi Kwako Naomba Unisamehe Unisamehe Unisamehe Ee Bwana Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×10
KISHA USOME HIVI VITABUπ£ 2 Nyakati:7:14 na Isaya.65:24
Rudia kuusoma ×4 kila Kitabu
ANZA KUSOMA NYAKATI
ππππππ
2 Mambo ya Nyakati 7:14
[14]ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
FATA KUSOMA ISAYA.
πππππ
Isaya 65:24
[24]Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa katika kunena, nitasikia.
OMBA HIVI FATA MFANO HUU.
B: SHUGHULIKA NA AGANO LA DHAMBI KWENYE DAMU YAKO
Warumi:11:27
1.Kila Agano liloshika Kwenye Damu Yangu likawa na nguvu ya kuhubiri ukimwi ndani yangu Kuhubiri virus Agano liloingia Kupitia Dhambi Iwe ni mimi mwenyewe au dhambi ya Kutoka Kwa wazazi naliamuru Lidondoke Nalivunja ndani yangu Kwanza Silitambui Kuanzia Sasa Damu Yangu Naikomboa Kwa Jina la Yesu Damu Yangu Naikomboa Kwa Jina la Yesu Naruhusu nguvu na mamlaka ya Jina la Yesu liingie kwenye mifumo yote ya Damu Yangu na likaongee Kwa habari ya Afya yangu Sitaki Kuteseka na H.i.v Postive wala kuiwazia Tu Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia × 15 huku ukitembea tembea
2.Endelea Kuomba maneno unayoona yanakuja kwenye kinywa chako ukishughulikia agano la dhambi ndani yako na Agano la Damu ya H.I.V
C. ULIZI WA H.I.V NDANI YAKO.
Matendo ya Mitume 16:27
[27 ]A"Yule mlinzi wa gereza akaamka,
H I.V ni ugonjwa unaolindwa na Virusi Hawa ni vijidudu vinavyoshambulia Seli zako ndani mwili kwa hiyo vinapoamka vinasababisha ukonde upate magonjwa nyemelezi mara kwa mara kwa hiyo siyo swala ndogo unapoamua kupambana na Huu Ulizi unatakiwa uwe fire fire Kweli.
Unaweza ukaabudu Kwanza Au Kuimba Tenzi Kisha Omba
Mfano.
UTAOMBA HIVI Ukitamka kwa msisitizo na Kwa Amri huku unatembeatembea
Kila ulizi uliosimama Kuzuia Uponyaji Wangu Ninauamuru Huo Ulizi Uvunjike nafye nafye waachie Damu yangu haitalindwa na Virus Vya H.I.V Kwa Jina la Yesu Ulizi wa ugonjwa Wa H.I.V Ndani yangu Futika Kabisa Wewe Pepo wa ugonjwa wa H.I.V ninaamuru Pingwa chini hutainuka tena ndani ya mwili wangu Katika Jina la Yesu.Amen
Endeleza Kushughulikia ulizi usikate kuomba ruhusu kutamka maneno yanayokuja kwako piga sambaratisha futa kabisa omba hata Nusu saa kwenye eneo hili la ulizi maana siyo la kuomba Kinyoge Kinyoge.
..Rudia ×7
D.TAKASA DAMU YAKO ONGA NA SAMBAZA DAMU YA YESU
.Waebrania 10:19
[19]Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,
1:Natakasa Damu yangu naonga Damu Ya Yesu Katika ulimwengu wa Roho Damu ya Yesu naisambaza kwenye Mifupa yangu mifumo ya mwili wangu Natakasa maisha yangu Damu Yangu Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia × 12
C.WEKA AGANO NA MUNGU
Kuna mambo matatu upatane na Mungu Ili akuponye kabisa.
1;Kuwa Mtiifu wa Neno lake.
Kumb. Torati.28;1
2;Kuwa Mtu Wa Ibada na Mungu.
Isaya 43:26
3.Uwe Mwaminifu wa Kutoa Sadaka.
Matendo.10;4
OMBA HIVI
NAWEKA PATANO NAWEWE EE MUNGU WANGU MIMI RICHARD JULIUS KUSHOKA Nitakuwa mwaminifu Katika Neno lako Nitakuwa mnyenyekevu kwako na nitajitoa Sadaka mbalimbali kwako katika kazi yako Kwa Jina la Yesu.Amen
ππSomaππ
Isaya 54:10
[10]Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondoka kwako, wala agano langu la amani halitaondolewa; asema BWANA akurehemuye.
D.SHUKURU MUNGU AMEKUPONYA.
Nashukuru Mungu uliyeketi mahali pa Ruhusu mapenzi yako yatimizwe ndani ya mwili wangu Nami niushuhudie ulimwengu uzuri wako Mungu nakushukuru Katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×5
SHIKA SADAKA YAKO IOMBEE
.
Eeh Bwana Maombi yangu haya ya ukombozi wa ugonjwa wa H.I.V nimeabatanisha na Sadaka na Sala Zangu Zikufikie kama Matendo. 10;4 Ulivyotenda Kwa Konelio Inawezekana Sadaka yangu ikawa ni ndogo Sana isiliganishwe na muujiza unaoenda Kunitendea lakini naomba Bwana pokea ili nikutukuze na wale waliowabishi wajue wewe Unaponyesha Hadi Ukimwi Nipokelee Sadaka yangu ikasabambishe mbigu zifunguke malaika wa majibu alete uponyaji wa haraka Katika Jina la Yesu Naitoa Katika madhabahu hii ya Holy Spirit Kwa Jina La Yesu Madhabahu isinyamaze ikashughulike Katika Jina la Yesu.Amen
.utaomba siku 7 kila unapomaliza kuomba ombea sadaka yako na siku ya 7 unaituma unanipigia
MAOMBI HAYA YANAITAJI UWEZE KUIJUA IMANI INAVYOTENDA NAKULETA MATOKEO.
Ishu siyo Kupona Ukimwi ishu ni wewe Kuifanya Imani yako iondoe huo ugonjwa ndani yako. Sababu Kwa Imani Yote Tunayaweza.
KISHA TOA KWA.
M-PESA 0759861768
TIGO PESA 0710889892
HALO PESA 0628355985
JINA: RICHARD JULIUS KUSHOKA
Ikituma nipigie nikaombe kwako.
Maoni
Chapisha Maoni