MAOMBI YA KUG,OA ROHO ZA KULA MKAA PEMBA nk
MAOMBI YA KUG,OA ROHO ZA KULA MKAA PEMBA UDONGO UNGA NK.
Kuna watu humu wanatabia ya kula mkaa Unga udongo nk hii huwa ni Pepo la nyoka linajifanya kukupa hisia za kutamani ule udongo tu au mkaa au Pemba nk.
Unatakiwa uombe nami Sasa uvunje hiyo roho kama huipendi lakini kama mwenyewe unaipenda unataka uendelee basi hata ukiomba haitasaindia chukia hiyo hali kisha tuombe wote.
Neno linasema hivi Pepo la nyoka huwa linajifanya Lierevu humshawishi mwanamke kula vitu vilivyokatazwa na Mungu.
Mwanzo 3:1
[1]Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?
OMBA HIVI MARA TATU KWA SIKU 2 Tu
1.Nakata kiu ya kula udongo ndani yangu katika Jina la Yesu kila Pepo aliyekuwa Ananiamuru kula udongo, mkaa ,pemba,Unga ninakataa kuanzia sasa sitatumikishwa katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×4
2.Hela yangu au miguu yangu au mikono yangu haitafata pepo au kulitii pepo la kula udongo au kula mkaa au kula Unga katika Jina la Yesu.Amen
×4
3. Natakasa kinywa changu tumbo langu kwa damu Ya Yesu Nakaa kuanzia muda huu kula udongo mkaa na Unga Katika Jina la Yesu.Amen
×2
Endelea kukataa kuishi ndani ya utumwa wa kula mkaa na udongo au Pemba omba hiyo hali iondoke.
BAADA YA KUOMBA JIAPIZE NAFSI YAKO HAUTAKULA UDONGO TENA.
Baada ya hapo ombea Sadaka yako mwambie Mungu Sitaki kutumikia mkaa na udongo
Tuma Sadaka yako kwa M-PESA +255759861768
TIGO PESA 0710889892
JINA. RICHARD JULIUS KUSHOKA
Maoni
Chapisha Maoni