MAOMBI YA UKOMBOZI WA NDOTO

MAOMBI YA KUJIKOMBOA NA NDOTO MBAYA ZOTE.

UTANG:
Majeshi ya shetani huweza Kumfata mtu usiku na kuuganisha uharibifu au matatizo ndani ya mtu usiku hasa wale watu wasiomba usiku au watu wasiopenda ibada.

Watu wengi wanaota Wanafanya mapenzi,Wanakula vyakula, Wanasoma shule ya msingi wanakimbizwa, Nyoka au Kuota misiba kuongea na watu waliokufa.

Ni 80% Kati Yao Wanateseka eidha na mahusiano eidha uchumi eidha maisha ya kiroho.
Naitwa Pastor Richard 
Nipo Morogoro Veta Dakawa 
Dumila wilaya ya Kilosa
WhatsApp +255759861768

UNAPOTAKA UJIONDOE KWENYE KUOTA NDOTO MABAYA VAA SILAHA TATU ZITAKUKINGA NA NDOTO 
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
KATIKA MAOMBI YETU TUNASIMAMA NA 
👇👇👇👇👇👇
WAEFESO:6:10-20

Silaha ya Kuvaa Kujilinda na Ndoto mbaya ni Tatu Tu


1;SILAHA YA KWANZA VAA MAOMBI.

Watu wengi ambao ni baridi katika maombi adui lazima awatese Sababu wao kuomba wanasema hawawezi mpaka mchungaji wao awaombee lakini Yeye kuomba yupo bize Sana hana muda tengemea Shetani ataendelea kukuletea mandato Ya Ajabu mara unakanyaga vinyesi mara unapigwa mara upo kijijini kwenu.

MAOMBI ndiyo Pumzi Yako Pekee yenye kulinda wokovu wako na uhusiano wako na Mungu unapokaa bila kuomba unavunja uhusiano wako na Mungu unajenga kwa shetani.


2:SILAHA YA PILI UVAE NENO LA MUNGU YAANi MAFUNDISHO YA NENO. 

Watu wengi kufundishwa hawataki wanataka kuombewa tu hiyo ni hatari kwa maisha yako ya kiroho sababu wewe hutakuwa na ufahamu wa mapambano wa maisha ya kiroho Kila kitu kikupata hutajua kuomba kujisimamia mpaka anayekuombea siku ukimtafuta kwenye simu usimpate mwanao kashikwa na Homa hutaweza kukemea hii ni Kosa Kubwa Kwako Adui anaweza kukutesa kisa hujui huna ufahamu tu.

Penda mafundisho penda kufundishwa Neno la Mungu uongeze ufahamu. 


3: SILAHA YA TATU; UAMINIFU WA KUJITOA SADAKA

Hii ni moja ya silaha watu wengi huwa hawawezi kumbe ndiyo silaha pekee iliyobemba mafanikio yetu ya kiroho na mwilu.

Jifunze uanze kutoa fungu la kumi kwa uaminifu Jifunze kujitoa kanisani kwa vitu mbalimbali kuipenda kazi ya Baba yako wa mbiguni Usifurahie mchungaji wako alale Njaa unachokula wewe kumbuka familia yake Saa nyigine mnunulie Nguo mchungaji wako apendeze mnunulie hata usafiri kama umebarikiwa magari mawili moja mpe Mungu utaona Nguvu ya Silaha ya Sadaka itakavyofanya kazi.

MAOMBI YA KUOMBA FATA MTIRIRIKO HUU
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Maeneo matatu tutashughulikia katika ulimwengu wa roho 

1;LANGO LA NDOTO. MBAYA

Ni eneo linalosababisha ndoto za mtindo huo ziingie kwenye nafsi yako. Lazima upafuge omba hivi.

"Ninafunga malango yote ya ndoto mbaya nafunga kuota nazini nafuga kuota na zini kila lango lilofunguliwa katika ulimwengu wa roho nalifunga katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia×4


"Kila malango ya kuwa naota mandato ya Ajabu ninafunga kabisa kunzia Leo Sitaki ndoto mbaya na sitaota ndoto mbaya katika Jina la Yesu.Amen ×4

"Nafugulia lango la ndoto nzuri Kuota ndoto za Kibingu bingo katika Jina la Yesu.Amen 

Omba kwa mfumo huo Shughulika na lango.


2;MADHABAHU YA NDOTO MBAYA

Kila ndoto unayoiota inahusiano na maisha yako huwezi kuota ndoto isiyo na mahusiano na wewe sasa omba kushughulikia mahusiano ya ndoto zako na wewe.

"Navunja kila Madhabahu za ndoto za kishetani za kichawi za kipepo za kimizimu naharibu makazi yao ndani yangu kwa Jina la Yesu.Amen 
Rudia×5


"Nafuta Jina langu  Sadaka Zangu Muda wangu ambao niliutoa kushiriki chochote cha waganga kunywa au kuchanjwa chale katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia×3

"Madhabahu za ndoto nbaya Hazitakuja Kunishika tena katika ulimwengu wa roho  naandika madhabahu ya ndoto nzuri katika jina la Yesu.Amen 
×1

.
Omba kwa mfumo huu eneo la madhabahu Shughulika 


3:ANGANO LA NDOTO. Mbaya 

Kila ndoto huigia kupitia Patano lilofanyika katika ulimwengu wa roho ambalo linakuwa linalenga kitu kwa muotaji ndoto.

Omba hivi kulivunja.

"Nabomoa na Kuharibu makubaliano yoyote yaliyofanyika kwa njia ya ndoto katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×1

"Kila Angano Linaloongea kwa Habari ya utumwa habari ya mimi niteseke nalikataa nakulikata kabisa kila mzizi uliouganishwa niote ndoto nipo kijijini kila nikiota navunja Navunja Katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia×3

"Maneno yote ambayo niliyakubali kwenye ndoto nikakubaliano kwa walivyotaka wao nayafuta nayafuta nayafuta kwa Damu Ya Yesu Nayafuta kwa Damu Ya Yesu Katika Jina la Yesu.Amen 
Rudia×6

MAOMBI HAYA NI ENDELEVU MPAKA ZIKATE HIZO NDOTO 

MUDA WA KUOMBA NI WOWOTE UTAKAO JIWEKEA

.
Ombea Sadaka Yako Sasa Ya Maombi haya.

Tuma kwa M-PESA 0759861768 Tigo Pesa 0710889892
Jina   Richard Julius Kushoka 



Tafadhali wanaoteswa na ndoto tu ndiyo waombe

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.