RATIBA ZA GROUP WhatsApp
✍🏾✍🏾Ratiba Za Maombi Kwenye Group Letu ✍🏾✍🏾
Admin kiongozi: Bishop Richard
✍🏾✍🏾JUMATATU
Tutaombea.
.Toba na Kuugama Dhambi zetu na shukurani.
✍🏾✍🏾JUMANNE ✍🏾✍🏾
Tutaombea.
Kufungua Anga na Aridhi,Ndoa na Uchumba
✍🏾✍🏾JUMATANO ✍🏾✍🏾
Tutaombea.
KUTAWALA NA KUMILIKI VITU KATIKA ULIMWENGU ROHO. KUKATAA KUMILIKIWA NA MATESO,MAGONJWA nk
✍🏾✍🏾ALHAMIS ✍🏾✍🏾
Tutaombea.
AJIRA,UCHUMI, AFYA,KIBALI.
✍🏾✍🏾IJUMAA ✍🏾✍🏾
TUTAFUNGA GROUP NZIMA.
Tutaombea Kila Kitu na Tutaambatanisha Sadaka za Maombi Tutakazozituma na kuabatanisha maombi kabla Pastor Richard hajapanda madhabahuni Saa.2:00 Usiku.
✍🏾✍🏾JUMAMOSI✍🏾✍🏾
Tutaombea
Karama za Roho Mtakatifu, Wachungaji,Wajawazito,Wazazi ,nchi yetu na utawala wake,Pastor Richard na Huduma hii nk
✍🏾✍🏾JUMAPILI ✍🏾✍🏾
Tutaombea
IBAADA, WAHUDUMU,WANASIFA na UJUMBE TUTAKAOHUDUMIWA KIROHO.
✍🏾✍🏾Kila siku Tutakuwa na Mafundisho ya Neno la Mungu mahusiano na ndoa
✍🏾✍🏾Tutakuwa Tunafungua Audio za maombi zitakazokuwa zinatumwa na Bishop Richard zitakazokufungua vifungo vyako mbalimbali vinavyokutesa.
✍🏾✍🏾RATIBA YA KUHUDUMIWA NA PASTOR(Bishop)RICHARD KWA WANAGROUP
_________________________________
JUMATATU na JUMANNE
Huduma itakuwa ya Ushauri, maombezi ya watu mbalimbali kuanzia saa 2:00 Asubuhi mpaka saa: 2:00 Usiku
JUMATANO MPAKA IJUMAA
Huduma itakayotolewa.
Huduma ya Macho ya Kiroho( kujua tatizo chazo nini na kinachokutesa na kusaindiwa kiroho zaidi)
Muongozo wa Roho Mtakatifu kadiri Atakavyosema Juu yako kuligana na Tatizo lako.
Kuanzia Saa.9;00 Asubuhi mpaka Saa.12:00Jioni Zingatia Muda
NAMBA ZA KUTUMIA KUONGEA NA PASTOR RICHARD
Tigo+255710889892
VODA +255759861768
Karibu Kanisa la Holy Spirit Tanzania 🇹🇿 Moto wa Yesu(2wakoritho.3;6)
Lipo Morogoro Veta Dakawa
Makao makuu Kata ya mbigiri wilaya ya kilosa Mkoa wa Morogoro Nchi Tanzania Bara la af Africa 🌍
Maoni
Chapisha Maoni