SOMO;MUNGU WA FOMULA

SOMO ;●MUNGU WA KANUNI KATIKA UTENDAJI WAKE 
___------____-----____--____------___^^^^^^^*****
Mungu wetu hutumia Kanuni rahisi Sana Kutembea nasisi Watoto Wake Isipokuwa sisi Wanae hatuna Uelewa Kuhusu Fomula au Kanuni Za Mungu Basi Nakukaribisha Baadhi Naenda Kuzieleza.

Karibuni Tujifunze Kanuni za Kimungu Katika Kitembea naye.

1:UKIKATA TAMAA
KANUNI YA MUNGU ANAKUACHA KUKUTETEA UNASHINDWA NA ADUI USIJIBIWE ULICHOOMBA.
MAOMBI YAKO ANAMJIBU AMBAYE HAJAKATA TAMAA. Wewe anakuacha na hivyo mpaka uje uache kukata tamaa au kumunug,unikia

Mhubiri 2:20
[20]Kwa hiyo nikageuka kukata tamaa moyoni mwangu juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua. 

2:USIPOOMBA MUNGU  HAKUPI HITAJI LAKO
KANUNI YA MUNGU HAKUPI HAJA YAKO KAMA HUOMBI 
ANAMPA AOMBAYE  NDIYO ANAMJIBU WALA HAJISHUGHULISHI NAWE AMBAYE HUTAKI KUJISHUGHULISHA NAE 
Ukimuomba lazima Akupe utakacho au haki yako 
Yohana 15:7
[7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. 

3:UKIWA MWIZI WA ZAKA KWENYE MADHABAHU ALIYOKUPA
KANUNI YA MUNGU ANAFUNGULIA UHARIBIFU KWENYE HAYA YAFATAYO
1:Familia inakumbwa na MAGONJWA.
2:Afya Inaanza Kuteteleka
3:Uchumi Unaanza kuharibiwa
Unachotakiwa Utoe zaka kwenye madhabahu yako kwa uaminifu kila mwezi haijarishi upite katika wakati ngani toa zaka.
1 Samweli 8:17
[17]Atawatoza fungu la kumi..
Kitabu kigine;Malaki:3:10

4:LAZIMA UJENGE MADHABAHU YAKO ILIYOBOMOKA
Usipojenga Madhabahu Yako Yaani Usipojenga mahusiano manzuri kati yako na Mungu wako lazima Utakuwa unaombewa na kuomba hutendewi kwa kuwa huna mahusiano na Mungu 

Ujifunze kwa Elia.
1 Wafalme 18:30
[30]Kisha Eliya akawaambia watu wote, Nikaribieni mimi. Watu wote wakamkaribia. Akaitengeneza madhabahu ya BWANA iliyovunjika. 

5;UKIKATAA MAFUNDISHO ANAKUNYIMA MAARIFA NA UTASHINDWA NA ADUI KWA KUKOSA UFAHAMU WA TATIZO AU MAARIFA YA UFUMBUZI WA TATIZO

Mungu anataka ufundishwe Neno lake kutoka kwenye Biblia Takatifu ufanyie kazi unachofundishwa na watumishi wa Mungu.

Mithali 8:10
[10]Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, 
Na maarifa kuliko dhahabu safi. 
Receive my instruction, and not silver; and knowledge rather than choice gold.

6:UKIZINI MUNGU ANAKUACHA.

KANUNI Ya Mungu Anafungulia
Mapepo, Uharibifu wa ngozi yako,Kujichukia mwenyewe,Magonjwa,no

Mathayo 5:27
[27]Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; 


7:USIPOFANYA KAZI MUNGU HAKUBARIKI

KANUNI YA MUNGU HAKUBARIKI
Kumbe ili ubarikiwe fanya kazi kwa Bidii jitume acha kulala na Kukaa tu bila kazi.
Zaburi 127:1
[1]BWANA asipoijenga nyumba 
Waijengao wafanya kazi bure. 
BWANA asipoulinda mji 
Yeye aulindaye akesha bure. 


HITIMISHO 
Hizi ni Baadhi Ya Kanuni za Mungu 
Ipo hivi Mungu hawezi Kuacha Kazi Kwa Ajili Ya Mtu Ambaye hamuombi au atoi zaka au aliyejikatia Tamaa

Badilika Usiende Na Mungu Kimazoea Amua Kuacha Vitu vyote kwa ajili ya Bwana Siyo Bwana Aache kwa ajili Yako

WITO
Fika kanisani kwake Pastor Richard mfate WhatsApp akupe maelekezo Uende Ukachukue MAJIBU yako +255759861768

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.