SOMO: MAMBO YANAYOKUFANYA UWE Masikini

SOMO;MAMBO MANNE YANAYOKUFANYA UWE MASKINI.
Mwal. PASTOR RICHARD 
MOROGORO VETA DAKAWA 
WHATSAPP +255759861768

1:WAZO LA KUJIONA UMESHINDWA.
Matokeo ya ulivyo nikutokana na Wazo ulilokuwa Unawaza huko nyuma.

Huwezi kuwa Tajiri wakati Unawaza Umasikini Huwezi kuolewa wakati unawaza Kuwa Singo.
Zaburi 94:11
[11]BWANA anajua mawazo ya mwanadamu, 
Ya kuwa ni ubatili. 
The LORD knoweth the thoughts of man, that they are vanity.

2:KUCHUKIA MAFANIKIO  YA WENGINE.
Hapa Tusome; Mwanzo:4:1-10
Huwezi Ukawa mtu unayechukia maendeleo Ya wegine ukifanikiwa. 

3:MATUMIZI MABAYA YA KINDOGO UNACHOPATA.
Huwezi Kumiliki Ukathamini Kitu Kikubwa wakati kidogo unadharau 

Mfano umepata 10000 
Yote inaisha usiweke skiba lazima uwe maskini.


4;JIFUNZE MAKOSA YAKO KWANINI NI WEWE  UPO HIVYO.
Mtu anayetaka Kufanikiwa Lazima Ujifunze upate ujuzi juu ya unachoenda kukifanya. 

HITIMISHO 
Epuka umasikini Ambao Unaweza ukaepuka kupitia haya tuliojifunza

WhatsApp Pastor Richard mtumie ujumbe
Ukiitaji Kufika madhabahu ya moto wa Yesu  
+255759861768

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

MAOMBI YA USIKU WA MANANE 2025

KITABU IJUE NDOTO YAKO