MAMBO 6 YANAYOFANYA MWANAMKE AKUKIMBIE

SOMO;MAMBO 6 YATAKAYOKUFANYA MKE AKUKIMBIE AU MCHUMBA AKUACHE 

WANAUME Wengi huachwa na kukimbiwa na wanaume zao kwa sababu hizi karibu

Naitwa Pastor Richard 

1;KUKOSA UMAKINI NAE.

Msichana huhitaji Umjali na umsikilize mini anaongea anataji nini  uwasiliane nae asiposikilizwa mwanamke atakuacha au usipowasiliana nae simu unazima

2;USALITI.

Msichana anapoanzisha mahusiano na wewe huhitaji awe peke yake  kuaza mundo wa kuogea mara unachati na mwanamke uliyezaa nae akikuuliza unasema ananipa habari za mtoto wangu ni bora ukamchukue mtoto ukae nae au unaongea na mchumba wa zamani mwanamke atakuacha na hutampata kama huyo tena.

3:MUHESHIMU.

Mwanamke afokewi au Kupingwa mwanamke Usimfokee au usimfanyie Visa vya ajabu au Usitoe Siri Zake nje au kuwaeleza rafiki zako Ukifanya hivyo mwanamke atakuacha Na atakukimbia au utapata watakaokusaidia kuishi na mkeo. 

4;HISIA NAO ZA KIMAPENZI.

Mwanamke hupenda uwe na hisia Naye za mapenzi anapokuitaji Tendo la ndoa Aweze kufurahia Tendo la ndoa sio akuitaji umwambie nimechoka au sina hisia nawewe au sitaki mwanamke akisikia maneno hayo atakuchoka na atakuvumilia mwishowe atakuchoka.

5,KUTOKUMFUNDISHA NJIA YA MUNGU.

Ukiwa unakaa na mwanamke huwa hawezi hata kumfundisha Neno la Mungu hata kuomba hata kumuongoza atembee na Mungu kila siku anamwambia twende kwa Babu Nugu au Mwezi huu tukatembelee makaburi lazima mwanamke atakukimbia AKUACHE Sababu humuongozi katika njia sahihi.

6;UNAPOMKOTRO SANA.

Mwanamke  hapendi umkotro kila kitu mpe uhuru afanye kazi zake mambo yake ukifanya hivyo atakukimbia

FACEBOOK GROUP PASTOR RICHARD
πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ
BONYEZA Link chini Ujiuge
https://facebook.com/groups/387038394754746

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.