SOMO; UKOMBOZI WA WAWAKATI
SOMO; UKOMBOZI WA MAJIRA NA WAKATI
KUTOKA;16;8-13,40;37-38 Yoshua;14;10-11 Waefeso;5;15-16
Muhubiri;12;1-5
MAJIRA NI Kipindi unachokipitia Unapaswa ukomboe Kipindi hicho ukivuke Salama.
KATIKA MAISHA HUWA TUNAKOMBOA VIPINDI 4
Karibu unifatilie kwa umakini Ukombozi wa Wakati.
1: UKOMBOZI WA ELIMU.
Huu Ni Ukombozi unaolenga Elimu Dunia na Elimu darasani
Maisha Yanaitaji Elimu kila paitwapo Leo.
MATOKEO YA KUKOMBOA ELIMU
1:Utakuwa na Elimu juu kile ulichojifunza
2;Utaongeza maarifa na Ufahamu
3;Utakabiliana na Changamoto Mbalimbali.
2; UKOMBOZI WA UCHUMI.
Hii huhitaji Ukombozi wa Uchumi na vyazo vyake.
Kuhakikisha kiuchumi unasimama vizuri.
MATOKEO YA UKOMBOZI WA UCHUMI
1;Utamiliki Uchumi na kuutawala
2;Utatumia muda wako vizuri kutafuta Uchumi
3:Utasimama imara kiuchumi
3: UKOMBOZI WA KIROHO
Huu Ni Ukombozi wa Kiroho na mwili Kutembea Katika misingi mizuri ya Mungu
MATOKEO YA UKOMBOZI WA KIROHO
1;Utamjua Zaidi Mungu
2:Utakaa katika Mapenzi ya Mungu
3;Imani itakuwa na kuogezeka
4:Utapenda NENO LA MUNGU utampenda Mungu.
4; UKOMBOZI WA FURSA
Huu Ni Ukombozi unaolenga kuchangamkia fursa Mbalimbali zinazotokea.
MATOKEO YA UKOMBOZI WA FURSA
1:Utakimbilia Kufanya kazi
2:Hutaziacha fursa zikupite
HITIMISHO
Umeukomboa wakati wako au bado
Wito
Umejifunza Nini na unaongezea nini
Maoni
Chapisha Maoni