SOMO:Roho wa Bwana
SOMO:Roho wa Bwana*
2samwel.23:2 1Samweli:10:6 19:20 1Falme:18:12, 22:24 Mika:2:7 Isaya 61:1 Ezekiel 11:5
👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👂🏼
Roho wa Bwana Huyu Huwa ni Roho anayejishungulisha na Maisha ya Mtu kuyafanya yawe na ushirika Au Uhusiano mzuri kati ya Mtu na Mungu
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
*ROHO WA Bwana Anavyopatikana Ndani ya Mtu*
Kuna vitu viwili tu Humfanya Huyu Roho akae na mtu
1:Akiwa Mtu wa Ibada na Mungu
2:Akiwa Mtu mwenye kujitoa kwa Mungu
👏🏽 *👏🏽ANAVYOMSAINDIA MTU* 👏🏽👏🏽
Huyu Roho wa Bwana Ndiye Humfanya Mtu Apate Ujasiri wa kusonga Mbele katika Ibada na Maombi Asiwe mtu wa wa kubebelezwa
Huweka msukomo Au shauku ndani mwa Mtu Aweze kumtafuta Mungu Kwa Bidii zote
Mtu mwenye Roho wa Bwana Lazima Awe na nguvu ya Kuponya kuamru kuvunja ngome za Shetani Katika Maombi yake
Mtu mwenye Roho wa Bwana Maisha yake huwa kielelezo kwa watu anakuwa wa tofauti na mwenye Kuumia asipoomba asipoenda kanisani
👏🏽 *👏🏽HUYU ROHO WA Bwana Anavyokaa na mtu aweje* 👏🏽👆🏽
Mtu anayetaka ampate lazima Awe na Uhusiano mzuri na Mungu Hasa katika Maombi Awe mwanamaombi
Awe Mtu mwenye kujitoa kwa kazi za Mungu asiyeangalia Mtu fulani
Awe mwenye Bidii na Kujiaibisha Kumtafuta Bwana
Awe Mtu wa sifa na kuabudu kinywa chake Kina Mtu kuzaa Bwana
🌲🌲ROHO WA Bwana KAZI ZAKE👆🏽👆🏽👆🏽
Kutenda Miujiza mbalimbali kuwaweka Huru wenye Mizingo
Kukumbusha Yakupasayo ufanye wakati wa uhai wako
Kutenda na Kufanya Yampendezayo Mungu
Hukufanya uwe na Hofu na Mungu
Hukupa Kuona umhimu wa kuwa na Mungu
Hukuongonza katika safari ya wokovu
Hukukinga na Vita VYA shetani
Hukemea usiku ukiwa usingizini akihisi Vita
Husumbukia Usiku ulizi wako kupambana Vita kupitia ndoto Au ndani Unasikia anakemea
🌲🌲MAOMBI KWA AJILI YAKE👏🏽👆🏽🌳
Huyu Roho Humpati kwa kuombewa Mbali kufundishwa Neno LA Mungu nawe kujenga Uhusiano mzuri na Mungu Tu
Faida zake
Utakuwa Mtu wa kutenda Miujiza na kufungua watu usipime
Atakuwa anakukumbusha yakupasayo Utende hapa Duniani
Fika Morogoro Veta DAKAWA Kwa Somo hili nakuombewa Ujazo wa Kutembea Na Roho Wa Bwana Mungu
Huyu Hutakiwa ufundishwe tu na Umwelewe Huyu Roho wa Bwana KAZI zake na Anavyotenda Kazi ndani yako Pia Kama watu
Maoni
Chapisha Maoni