SOMO: MBINU ZA MAOMBI

DARASA LA UJUNZI WA KUOMBA 

SOMO: MBINU ZA MAOMBI


1wafalme:8:28-45, Zaburi:6;9,๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ17:1,๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ39:12

Kuna mtu mmoja Anajiuliza Kwanini Ufalme wa ngiza Bado unamtawala Wakati Kuomba Anaomba Sana TU Hakuna Unafuu Karibu Ujifunze Mbinu na Tarata Ya Kuomba Katika Maarifa.

Naitwa Pastor Richard
Nipo Morogoro Veta Dakawa
WhatsApp Number+255759861768

MAANA YA NENO MBINU ZA MAOMBI
Ni ujuzi wa kuwasilisha mahitaji mbele za Mungu nakupokea.

MBINU ZA MAOMBI ๐Ÿ‘‰๐ŸฟMaarifa ya uombaji kwa mtu anaeomba

SABABU YA SOMO HILI KUFUNDISHWA
Ni kumuwezesha mwanamaombi aombe Vizuri na alete MATOKEO
Ni Kuuteka ulimwengu wa Roho Mtakatifu Nakuumiliki
Ni Kuwa mtawala na Mmiliki wa Ushindi wa Maisha Ya Kiroho.

KUNA MAKUNDI MAWILI YA UTAALAMU NA UJUZI WA KUOMBA

1:MBINU YA MAOMBI YA KIJESHI๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ{1samweli;17:25-58)
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
2:MBINU YA MAOMBI YA KIFALME๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ{Esther:2, Yakobo;2;8,1Nyakati;29;25
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
3: MBINU ZA MAOMBI YA KIKUHANI๐Ÿ‘‰๐Ÿฟ{Kutoka:19;6-24 Waebrania:7;10-28}
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️

MBINU ZA MAOMBI YA KIJESHI
Haya Ni Maombi Yanayomtaka mkristo mwanamaombi Aende mbele za Maombi Kwa Kuuharibu ulimwengu wa roho Kuupiga nakuteka Baraka zilizo imbiwa kwa kumiliki ulimwengu wa roho nakuutawala Kisha kuudhihirisha Katika Mwili.

MAOMBI YA KIJESHI lazima kitu ukifate na Upambane Mpaka umekipata

JINSI YA KUTAMKA UNAPOOMBA.
Kuanzia Leo naufata Uchumi wangu ulikamatwa ulimwengu wa roho napinga naangusha kila aliyeshika nashika Uchumi namiliki Katika Jina la Yesu ๐Ÿ™ Amen ๐Ÿ™
-Ninaufata au Ninakifata Ninakidai
-Nabomoa Naharibu Napinga
-Naushika Naumiliki Nautawala
Tumia mtririko huu wa Kuomba Maombi haya.

๐ŸŽ™️ MBINU ZA MAOMBI YA KIFALME
Haya Ni Maombi Yanayomtaka mkristo mwanamaombi Autawale Ulimwengu wa Roho na Kuumiliki Kisha aulete uhalisia wa nguvu hiyo ya utawala Katika Ulimwengu wa Damu na nyama.

Mfano; Huwa unaanzisha mahusiano Yanavunjika hiyo Ni Dalili ulimwengu wa roho Kuna Kitu Kilichokufunga kwa hiyo Unatakiwa uaze na Maombi ya Kijeshi Kumfata MKE wako au mmeo Ambaye Amekamatwa ulimwengu wa roho Kisha Uombe uyatawale mahusiano Mpaka ndoa uitawale.

JINSI YA KUTAMKA UNAPOOMBA
Natawala mahusiano nakuyamiliki Kwa Jina la Yesu Mimi Ni mfalme ninanguvu ya KIFALME na uharibu ulimwengu wa roho

-Ninatawala na Kuumiliki
-Ninanguvu ya KIFALME ninasauti ya KIFALME
-Hakitatoka mkononi mwangu nashika....

Tumia mtririko huu wa Kuomba Maombi haya

๐ŸŽ™️ MBINU ZA MAOMBI YA KIKUHANI
Haya Ni Maombi Yanayomtaka Mkristo mwanamaombi Autambulishe na Ajitambulishe katika ulimwengu wa roho yeye Ni kuhani ndani Yake Kuna nguvu ya kikuhani  Kisha Kuuleta ulimwengu wa Damu na nyama Kuishi katika nguvu ya Ajabu

JINSI YA KUTAMKA UNAPOOMBA MAOMBI HAYA
Mimi Pastor Richard Ni Mtumishi wako uliyenikabidhi nguvu ya kikuhani ndani yangu Leo hii namtambulisha Shetani na majeshi Yake hamuwezi kushika uchumba,au Uchumi au Elimu Yangu Kwa Jina la Yesu ๐Ÿ™ Amen

-Tambulisha wewe Ni Nani ulimwengu wa roho ukujue
-Omba kwa Ukakamavu
-Tamka maneno yaeleweke.
Tumia haya unapoomba

FAIDA ZA KUWA NA MBINU ZA MAOMBI
1:Utaukamata ulimwengu wa roho Nakuumiliki
2;Utalenga Shabaha Juu ya Tatizo
3:Utaomba Maombi Yaletayo MATOKEO
4:Utaona vitu vinabadilika nakwenda vizuri

HASARA zake Ni KINYUME Cha haya

HITIMISHO
Pendelea Kujifunza Maombi Ili uwe mwanamaombi uliye motoo
waalike wengine wafatilie Ukurasa wa fb Moto wa Yesu au Bishop Richard YouTube Kanisa la Moto wa Yesu

WITO
Tupende Maombi
Share kwa wengine

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.