SOMO;JITOE KWA MUNGU

SOMO:JITOE KWA MUNGU KAMA MKRISTO NDIO KIPIMO CHA UKRISTO

Tufunue Vitabu hivi Tusome 👉 Warumi 6:13👉 Waebrania 9:25👉2Nyakati:30:8

Naitwa Pastor Richard Kama Ndio Mara ya Kwanza Kunifatilia
Nipo Morogoro Veta Dakawa Askofu na Muasisi wa Makanisa ya Holy Spirit Tanzania

Karibu Leo Tukumbushane haya Kama Wakristo Na Wajibu wa mkristo katika JUKUMU la Kujitoa Kanisani Mali zako na Pesa ZaKo Kuhakikisha Unaipenda Nyumba ya Baba yako na Kuamua kubadilika mwili wako Akili Yako Na Elimu yako ulioipata ukaamua uvitumie kwa Ajili ya Kumtumikia Mungu

MAANA YA KUJITOA: Ni Kufanya Jambo kwa moyo wote linalompa Bwana Utukufu na Kuwaponya watu kiroho mfano Ijue Ndoto yako Shuhuda na Masomo yamekuwa  Baraka na Wengi wameokoka toka mwaka 2015 Nilipoanza kutuma Masomo mtandaoni huu Ni mfano was kujitoa
Kupitia mtandaoni Ukawa unatoa Elimu ya kuponya watu kiroho

KUJITOA KWA ELIMU

Mfano wewe Daktari;
Unaweza Kuadaa Masomo ya Afya Tu Ukajitoa Kuwafundisha watu bure

Mfano wewe Ni Mwalimu Unaweza Kuadaa SoMo Tu Ukadili na lika furani kanisani ukawa unatumia Elimu yako

Mfano wewe interpret (mtafisiri) Unaweza Kukaa na mchungaji mkafanya ibada ya kigereza nawewe Ukajitoa Kumtumikia Mungu.

Mfano Unaelimu yoyote Unaitumiaje kwa Ajili ya Mungu wewe Hii ndio maana ya Kujitoa Kwa Mungu

KUJITOA MWILI WAKO
Ni kwenda kufanya shughuli za Kanisani Kudeki Kufua

Kuwashuhudia watu mtaa kwa mtaa

Kuwaleta watu ndani yakanisa

Kuwashuhudia nakutangaza Matendo ya Bwana

KUJITOA PESA NA MALI.

Toa nyumba yako,Gari lako,Kiwanja Kwa Ajili ya Kazi ya Bwana isimame Wachungaji Wanatumika katika Vipindi Vigumu kuiombea roho yako nakuilea roho

Toa Mshahara wako mwezi mmoja wote unamtolea Bwana Unajiweka Kwa Mwaka nitatoa mshahara wangu wote Mara mbili tu.

Toa Fungu la Kumi kwa Uaminifu Kila Mwenzi/wiki

Toa Spika Vyombo Au Viti Vitambaa Au Tofali Jenga Kwa Bwana Sio ukitoa Mara Moja ndio Unajua Hapo mtoaji hapana Uwe utaratibu

Fanya ZOEZI la Kujitoa Katika hivi nilivyoeleza Viwe Kila Mara kwako Kama Mkristo

Mkristo Asiyejitoa hufananishwa natawi lisilo zaa matunda Ambalo Bwana Yesu Alisema Ataliondoa Lisiwepo Kabisa.

Wakristo walio hai huwa Wanajitoa Kwa Mungu nakuujenga Ufalme

Wakristo waliokufa huwa hawajitoi Kwa Mungu Nakuujenga Ufalme wa Mungu.

HITIMISHO
Wakristo walio hai Tufanye Kitendo Cha Kutoa Chochote ulichonacho Leo Nataka Nione wagapi wanabarikiwa na Huduma hii inayotolewa na Pastor Richard Tuma Sadaka Yako kuisaidia Iendelee Kuwa hewani +255759861768 Namba ya Mpesa
Halotel +255628355985 Jina Richard Julius Kushoka

Kila Atakae Tuma Ataenda Kuwa Tunda  Nataombea Baraka Kwenu Tu.

Karibuni Tuaze Zoezi

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.