SEMINA ✍️ KUFUNGULIWA NA KUFUNGWA
SEMINA ✍️ KUFUNGULIWA NA KUFUNGWA
Zaburi:107:14-20 Matendo:16:25---30
YALIYOMO
1:MAANA YA KUFUNGWA NA KUFUNGULIWA
2: SEHEMU TATU ZINAZO MFUNGA MTU NA KUMFUNGUA
3:WANAOTEKELEZA KUKUFUNGA NA KUKUFUNGUA
4: UMHIMU
5:JINSI YA KUTUNZA
6: HITIMISHO
2: SEHEMU 3 ZA KUFUNGULIWA
Kuna sehemu tatu za mtu kufunguliwa na maisha ya Mtu Kuwa huru
1;SEHEMU YA KWANZA; MWILI
Mwili ni sehemu inayojumuisha viungo Vyote vya Mwanadamu
1;Milango ya Ufahamu
2;Milango ya taka mwili
3:Viungo vya mwili
Kwa Neno la pamoja tunaita mwili.
Adui huweza kuushambulia mwili kwa
1:Magonjwa
2: Ufahamu Akili kufungwa.
Mtu ili awe huru hutakiwa afunguliwe mwili wake kwaza.
Mambo yatakayokufanya mwili wako uwe vizuri.
1;Kupumzika hakikisha unalala.
2:Fanya Mazoezi
3:Usafi wa Mwili wako
4;Kula
5:Usiupe mwili wako Kazi ngumu Sana Zinazoufanya mwili ushindwe kukupa Taarifa ya kupaga mipago nakufikiri.
6;Ibada uzieshe Mambo ya ibada na Mungu.
MAMBO YANAYOWEZA KUUFANYA MWILI WAKO UKAFUNGWA
1:Kutokupumzisha mwili wako
Mwili usipopumzika hauwezi kufanya kazi au kukupa Taarifa Nzuri ya maendeleo yako.
2:Kukosa ibada na Mungu.
Ni rahisi Sana mtu asiye na ibada Shetani kumwagusha kiroho na Mwili wake, Usipokuwa na ibada na Mungu wa Kweli Shetani na Dhambi zitajenga ibada Nawe.
3:Kukosa Mazoezi ya Viungo
Kutokupiga Mazoezi inaufanya mwili wako pia uingie matatizo
4:Kutokula Vizuri:
Utafanya m
Maoni
Chapisha Maoni