SOMO;TULIA
👏🏽👏🏽SOMO; TULIA (Dhambi inaua)
🌳🌳
Tufunue Vitabu hivi Tusome Kabla hatujaendeleaa na SoMo Letu
Matendo;19:30-37 Yeremia;48;11 Mwanzo;1;2 Ruthu;3:18 Zaburi;51;10
Ayubu;37;17 1wathesalonike;4;11
👏🏽👏🏽 UTANGULIZI🌳🌳
Tulia Ni Neno ndogo Sana Lenye herufi Tano TU lakini limebeba mafanikio mengi FAIDA nyigi Kazi nyigi USHINDI mwingi katika maisha Yetu endapo tukilishika na Kuliishi Neno Kutulia.
Kutulia hii Ni Sifa kuu ya Mungu Kutulia au Utulivu na sio kuruka ruka au Kuwa mtu wa makelele kujichaganya njia zako au katika ndoa yako Mara Upo nyumba ndogo Mara mme huyu au MKE huyu Kila mwanamke wewe MKE wako au Kila mwanaume mme wako au Mara Upo na mchumba huyu kesho mmeachana kesho Tena Upo na huyu
Halafu unaaza kusema Mungu hakukusudia niwe na huyu Mungu ndio maana tumeachana Unaanza Kumwambia Mungu akupe mme au MKE.
Shida sio mme au MKE shida nikulikosa Neno Tulia Au Kutulia Unashika Neno kurukaruka.
Karibuni wanangu Leo Nataka Tumponye Yule mtu AMBAYE hajatulia anarukaruka Mara huyu kesho yule hatulii katika mahusiano Yake.
Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa
Mwanzilishi wa Huduma ya ROHO MTAKATIFU (Holy Spirit Ministry Tanzania)
Tunaposema Tulia au Kutulia Tunamanisha Kaa Shikilia Neno moja TU Kama unamme au MKE au mchumba Shikilia Uaminifu tu.
Mtu AMBAYE hawezi Kutulia hivyo hata Mungu hawezi kukaa nae ndani Yake kutokana Na Tabia zake Anamchaganya.
Kunawatu hawapokei majibu au kumuona Mungu Kutokana Na Kutokutulia kwao katika mienendo Yao Leo hii wanamlalamikia Mungu amewasahau au wanateseka kumbe wao wenyewe wameshikilia
Tabia ya Shetani ya Kutokulia Wajanja Wajanja na Waongo Waongo
ILI TUTEMBEE KATIKA MUNGU TUTULIE Tusiwe Tunafanya Mambo bila kufikiria Tunafanya Nini na Matokeo juu ya Tunayoyafanya
Mungu awabariki Sana
Naomba Wewe Unaeokoka Unipingie Simu Pastor Richard nikuombee+255759861768
Shika Neno Tulia au Kutulia Nawe Hutalalamika Tena
Tulia na Msimamo unaouona kwako utakupa FAIDA na Shikilia Neno Tulia katika vipindi vyote vigumu na vyepesi Tulia Na Wokovu Tu
Maoni
Chapisha Maoni