✍🏾SOMO: NJISI YA KUMFUNGUA MTU ANAYETESEKA KUPITIA KINYWA CHAKE 

✍🏾✍🏾SOMO: NJISI YA KUMFUNGUA MTU ANAYETESEKA KUPITIA KINYWA CHAKE  AMEKUWA NA KINYWA KICHAFU KILA MTU ANAPISHANA NAE✍🏾✍🏾

Warumi;3;19;2Wakoritho:11;10 ✍🏾✍🏾Mathayo:12;34✍🏾✍🏾Luka:6;45
Mithali;10;5-32
        
                   👉🏽👉🏽✍🏾✍🏾✍🏾 UTANGULIZI🌳🌳🌳🌳

BWana Yesu Atukuzwe Wanangu Pole na Hongereeni kwa Kuzidi Kuponywa na Kukua Kiroho Mimi Kwa Wageni Ambao ndio mmejiunga katika Ukurasa wangu Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa

Karibu Leo Nataka Nikamfungue yule Ambae AMEKUWA na Kinywa kinachotoa Lugha chafu Kauli chafu dharau na Mambo ambayo ya uchonganishi hachoki kungombanisha watu Ameitwa Kidudu mtu AMEKUWA kinyonga Anabadilika badilika Kinywa chake kila Siku kinajua kuongea Utukufu wa Shetani Kukiri magonjwa Kukiri kushindwa

Agalia Saivi Kila Anapoenda hawamtaki Ndugu hawamtaki mchumba wake hamtaki Ndoa Kuolewa hataki Kufanya Kazi Huyu mtu hataki Kwanini hataki Anasema Yeye hapendi kufanya kazi Amekaa nyumbani umri unaenda Yeye Bado Tu Anasema Mimi nimefungwa nisiolewe nisipate mchumba Au Shangazi hanipendi

Acha Kusema Hupati wanaume wa kukuoa wanaume unawapata Sana Lakini saivi  mpaka huyo TU uliye nae watano au watatu jiulize kwanini wanaume wanakuacha kwa Sababu ya Kinywa chako Unatoa Maneno machafu wewe pia kauli zako zinabomoa uchumba na ndoa Baadala ya kujenga Angalia Sasa Ndugu hawakutaki wamekuchoka sababu wewe mchonganishi unavimaneno Maneno vya kichonganishi

Hebu jiangalie wagapi umewangombanisha wagapi umewadaganya Kupitia kinywa chako Leo Unafunga na Kuomba upate mteja was kununua kiwanja chako Hupati sababu ya Kinywa chako

Huduma yako imekufa au Uchungaji wako umekufa huendelei mbele sababu wanaokuja kwako Kuombewa unawachonganisha na kugombanisha Waumini Kanisa Limetawanyika Sababu yako

Halafu unajua Mungu Atakudai Hebu Badilika kwenye Kinywa chako uaze kukichunga Kinywa chako Kiri USHINDI unakiri kuumwa umwa ooh Mara unakiri madeni Mara unakiri unataka uzae TU usiolewe

Umejifunga magapi Kupitia Kinywa chako Maneno magapi yameharibu Kanisa au kuvunja ndoa za watu Kupitia kinywa chako

Nawakaribisha Katika SoMo Hili
endeleaaaaa

👉🏽👉🏽✍🏾✍🏾✍🏾KINYWA NI NINI🌳🌳🌳🌳
Kinywa Ni Kiungo kimojawapo kilichopo kwenye mdomo Tunaposema Kinywa Ni Kitendo Cha mdomo kuongea kula kutamka kwa Pamoja huwa tunasema Kinywa Maneno yanayotoka mdomoni mwetu.

Kinywa Huongoza viungo vyote

Mfano ukisema Niende nikale
Utafanya hatua ya kwenda kula

Ninaumwa Tumbo
Utaanza kuona Hali hiyo

Nimepona
na mwili utauona umepona

Kumbe Kinywa huwa kinamamlaka ya kutamka na viungo vyetu vya mwili vinatiii

Kama uwezo wa Kinywa chako ukiongea ndivyo Unafanya Basi hivyo hivyo katika ulimwengu wa roho huwa ukiongea kitu unajifunga unajiharibia unajenga kitu.

Wapo watu Leo hii Hawafunguliwi kwa kuwa walikuwa walishajinenea nakujitamkia Leo hii wanateseka tu

Wapo wengine huwa Maneno Ya ndani ya Mme wake na MKEWE Anaenda kumweleza shoga Rafiki na anaemwelezea Yeye mwenyewe ndoa imemshida Kinywa kinasema muache si unaona Mimi nipo singo nakula raha Kuolewa kujipa stress tu Akirudi kwa mkewe au mmewe atafanya Kitendo Kama Kinywa kilivyo mwamuru

Unakuta mtu Yupo fb Mara mtu anamuinbox nimekupenda Nataka nje unaishi wapi Yule mtu Atafanya Kama Kinywa kilivyonena.

Wapo watu humu wanaanzishaga uchumba akifikisha miezi tu anaanza kusema sipokei Simu Yake kwanza niachane nae Kitakachofata nikutimiza Kama alivyonena Kinywa

Kinywa pia Kinamtiisha Shetani chini yaani roho Zote ninapingwa na Kinywa tu

Mfano Pepo ukisema Pepo salendaer kwa Yesu wangu linatii ugua Moto uteseke Pepo anatii nakuamuru ondoka Pepo atamtoka mtu kumbe Nini kinachoamuru Kinywa chako tu.

Kinywa Kikisema Nataka nisiolewe au nioe mwaka huu utaenda kufanya hivyo

Je Nini Kinywa chako kinaongoza maana Chunga Kinywa chako maana ndio kimebeba kukuweka huru au kuteseka

Linda Kinywa chako maana ndiko mema yote na mafanikio yalipo

Kinywa chako kitoe yenye Ushindi siku Zote uepukane na Mateso

JIFUNZE Sasa kukotro Kinywa chako ILi ufanikiwe kiuchumi Kihuduma nk

Motoooo wa Yesu Tunazidi Kuwaka Kila Kona NA Baba YETU Bishop Richard Akaendelee kug.araaa nakumulika kila Kona mamilioni
Na mabilioni yakazidi kufunguliwa nakumpokea Yesu Kristo nakukabidhi maisha Yao kwa Bwana.

Ni mtumwa wa Kristo kwa wa wote Pastor Richard

Simu+255759861768
Nipo Morogoro Veta Dakawa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.