SOMO :KUTODUMU KWA MAHUSIANO unaanzisha mahusiano yanavunjika ndoa kuvunjika
Bwana YESU Asiwe watoto Wa MUNGU
Karibu kwa majina Naitwa PASTOR RICHARD
SOMO LETU linaongozwa na vitabu hivi
. Kutoka:34:15-16
2wafalme:9:22
HOSEA 2:2
Ezekieli 23:35,45
2Petro :2:14
SOMO hili litakufungua
KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO HUWA SIO HALI YJAMBOA KAWAIDA AU LA KUCHUKULIA KIMAMZAHA USIOMBEWE
TATIZO LA WALIOPENDANA KUACHANA
huwa ni njia za shetani ambazo huzitumia kwa kutumia roho zinazomfanya mtu Awe kwanzo kwa mwezake na hii imefaulu kwa watoto wengi wa MUNGU shetani kuvuruga na kuyaachanisha mahusiano yao Juu ya watu waliowapenda na kufikiri hawa ni chunguo sahihi kwa kuwa kazi ya shetani ni uharibifu huwa siku zote yeye hupingana na angizo la Mungu Na hii huwasumbua sana watu ambao hawajasimama kiroho au kutambua kuwa shetani YUPO na mabint na vijana wengi wameishia Kuumiza au kuumizwa
MAMBO YANAYO MFANYA SHETANI APATE NAFASI
Huwa ni Pale wewe uliyeokoka au mwenye Imani ya Wokovu Unaanzisha Uhusiano na mtu asiyeokoka au kumjua MUNGU
-mlevi wewe si mlevi
-Mwisilamu wewe mkristo
-Mshirikina wewe si mshirikina
-Mzinzi wewe si Mzinzi
Nk
Kupitia Watu hawa anapowatumia Shetani hulenga baadaye iwe uharibifu endapo hutakuwa na ufahamu wa kujilinda au msimamo wa ndoa
Mtu ukianzisha Mahusiano huwa Baraka sana mkielewana msizini mpaka mmetabulishana
Pia kwa Wanandoa wakiolewa kama mmeo mlevi hiyo ujue vita kama Mzinzi ujue vita usikimbilie Kuvunja ndoa yako Baadala yake wewe mwenye ndoa yenye huzuni Mmeo kakuacha nk
UNATAKIWA Usimame tu kimaombi na Kutuma Fungu la kumi tu
Ndoa itakuwa na Amani na mmeo mkeo atarudi usiposimama kwa haya huwa Ngumu sana
NJISI INAVYOFANYIKA VITA ZIDI YA MTU KUTOOLEWA AU KUOA
Shetani huwa ni roho inayomwingia mtu na kumpelekea kuwa mtu wa Tabia tofauti na matakwa ya MUNGU huwa inamfanya mtu aishi katika mateso mahagaiko asijue kwanini anateseka
Shetani huwa Anatumia Uzinzi Au Kuzini ili kuingiza Ndani yako Pepo Yaani Jini Aitwaye Anzura ili kusababisha usiolewe au usioe Kila ukianzisha Mahusiano yako yanavunjika Hutakaa uolewe endapo hujapata ufahamu wa kumjua MUNGU ukasimama kwa haya mawili
1:Kuwa Unatuma Fungu la kumi huku kama wezako
2:Kusimama Na Mungu hasa bila Kurudi nyuma
Pia kumtumikia MUNGU kama Unaguswa Holy Spirit Ministry kuifanya iwepo na hapo utapokea mme Mwema na Utasema ukuu wa MUNGU
HUINGILIA WAPI Jini huyu
Kupitia wazo la kuzini na Kisha hupenya katika uume kwenye Njia za kutolea Mbengu za kiume na Huingia kwenye uke hupenya hivyo akiingia kwa kuwa ni roho huaza kutuma uharibifu na uvunjifu wa ndoa na Kuvunja ndoa yako Huwa anakuja kumvisha mtu sifa ya kuzini au kutokuolewa Kila mahusiano hayadumu
HUWA KUNA Jini maradi huyu hushughulikia Kuvunja ndoa Huyu naye humwingia hivyo hivyo Na kumpelekea kuwa Mzinzi kutokuridhika na ndoa yake hatimae kumwelekeza ahamie nyumba ndogo au kuzini
Yote usiposimama katika maombi utashagaa Kila siku unalizwa maana ni roho itendayo kwa kasi na imeangusha watoto wengi
Simama kuwa unatuma fungu la kumi na kulinenea mahitaji Matatu
Simama katika maombi
Simama Usichukulie Hali ya kawaida
KUTUBU huwa unapaswa uchukie uzinzi na mfanye hivyo mkishatambulishana na Uwe na sifa ya mme au mke unayeona anakufaa
Hali ya kuwa unavunja mahusiano si ya kupuuzia
Kwa Msaada zaidi +255759861768
Inbox WhatsApp nitakujibu
Mbarikiwe sana Naona wengi mmefunguliwa
. Naitwa PASTOR RICHARD
Kutoka VETA DAKAWA Morogoro
Maoni
Chapisha Maoni