PEPO ANAVYOMUINGIA ALIYEOKOKA

🌳🌳 *CHAKULA CHA SAFARI 2018*🌳🌳 tar _9/1/2018_

*PR : PASTOR  RICHARD*

_JE MTU ALIYEOKOKA ANAWEZA AKAWA NA PEPO_

*Mathayo. 15:26* *LUKA 13:16*

Jibu ni ndio shetani na Mungu wanauwezo wakukaa Pamoja Na Kila mmoja akaanza kumtumikisha Mtu mmoja.

Utaona kwa Mwanamke aliyeteseka miaka 18
Alikuwa kanisani anaenda anafunga wakati huo huo shetani anamtesa kwa maradhi na Mungu anamtumia kumtumikia

Utaona kwa mfalme sauli  kwa mfalme Daudi mpaka akaingiwa na shetani Akazini na Mke WA MTU PIA AKASHAWISHIKA

KWA YUDA napo Utaona alivyomsalit Yesu

Utaona Kwa Ayubu Ukisoma Biblia utawaona hao Watumishi walisimama Na Mungu Na shetani aliwaingia na kumtumikisha

🌳🌳 *HATUA ZA MTU  ALIYEOKOKA* 🌳🌳

1: _ANATAKIWA AFUNDISHWE NENO LA MUNGU ANAPOOKOKA_

2: _ANATAKIWA AJIFUNZE KATIKA ROHO MTAKATIFU_

3 _:ASIMFATE MUNGU  KATIKA  MWILI ATAANGUKA  KIROHO_

1samweli.16:14-15
Ayubu 2:7 Ezekieli. 8:17

🌳🌳 *PEPO  HUKAA WAPI ANAPOMUINGIA MTU*🌳🌳
1wathetholonike.5:23

1:Mwili

Huwa kiungo cha kwanza kinapokuwa kipo kimawazo ya mwili Yaani aliye nao mwili asipouongoza vyema humpeleka Pa mbaya na Pepo humvaa mtu.

Mwili huo ukiuongoza  vizuri . Mtu humfanya awe msafi na Pepo asimvae

2:Nafsi
Pepo hukaa kwenye Fikira moyo matamanio ya mwili

Mtu Fikira na MAWAZO yake yakimpotosha Shetani humvaa

3:Roho

Huwa ni Imani anavyotumaini Mtu na kuwazia Akikosea humpa nafasi shetani

Mkristo aliyeokokoka yeye ni hekalu la MUNGU endapo akiutendea vyema mwili wake

🌳🌳 *MAPEPO HUATHIRI NINI YAKIMVAA MTU* 🌴🌴

Marko.7:21-22   Efeso. 4:30
1wakoritho.2:1 6

1:Hushambulia Mwili

2:Hushambulia Fikira MAWAZO nia Akili Malengo yetu.

3:Hushambulia maono na Mipangilio yetu

4:Huleta Machafuko Amani kutoweka nk

🌳🌳 *VITU VINAVYOMPA NAFASI PEPO  KUMWINGIA MTU* 🌳🌳

1:dhambi ya asili (Yaani kurudiarudia dhambi)

2:KUTOKUAMINI MUNGU ANAWEZA

3:KUABUDU Miungu

4:Tabia ya kutobadilika

5:kutokumanisha Kumfata YESU

6:Mienendo YA Mtu

7:Ufahamu wa kutokupambanua

8:Roho ya majivuno

9:Hila za shetani

10:hofu mashaka

🌳🌳 *MILANGO INAYOMUINGIZA PEPO  NDANI YA MTU* 🌳🌳

_1:Tamaa ya Mwili_

Hali ya mtu kutembea katika tamaa mbalimbali za mwili

Kama Uzinzi fitina nk

_2:TAMAA YA MACHO_

Huwa ni pale Macho yakikusesha unamfugulia Pepo akuingie

_3:TAMAA YA KIMAISHA_

Huwa ukitaka ufanikiwe Yaitaji subira usitafute mkato katika kufanikiwa

_4:Majivuno_

Huwa Hali ya kujigamba Mtu kujiona bora zaidi ya mwingine dharau kashifa nk

_5:Tamaa YA Pesa_

Huwa mtu mwenye tamaa ya pesa Pepo Hukuingia kiurahisi sana

🌳🌳 *FUNGUO ZINAZOFUNGUA MILANGO YA MAPEPO  YAKUTESE*

1:UASI

2:WIVU

3:HASIRA

4:CHUKI

5:MAUAJI

6:KISASI

HAYA ndio huchochea matatizo yakutese

🌳🌳ULIZA AMBAPO

PASTOR Richard

Fb:Moto wa Yesu

WhatsApp +255759861768

Tovoti www.mchungajirichardi.blogspot.com


*Share kwenye Group zako*

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.