SOMO: LAANA -CURSE BOOK. GEN:8-21 LUK.6-28.ROM.12-14 ,


LAANA NI NINI?
Ni matamshi unayotamkiwa na mtu yasiyokutakia meme mbeleni  au katika maisha yako.


KUNA SEHEMU KUU MBILI ZA LAA KWAKO ZIELEWE
1.LAANA WATU.
2.LAANA YA FAMILIA.


LAANA YA WATU.
ሸi maneno mbaya unayotamkiwa na watu.
mf.bint huyu malaya kaka huyu anajifanya.haazai.hataolewa...


HASARA YA KUTAMKIWA MANENO.

1"maneno hutimia usipokanusha.
2"unamkaribisha shetani asimamie hapo kukuangusha
3"itakutesa  mpaka uje ujue ndipo ujinasue.



FAIDA YAKUTAMKIWA MANENO MABAYA.

1"INAKUONGEZA IMANI YA KUWAZOEA WANADAMU.

2"MUNGU ANAKUVUSHA ILI AFUNGE MIDOMO YAO.


3"UNAKUWA JASIRI WAKUPITA VIZINGITI.



4"MUNGU ANATENGUA KAULI ZAO WALIKUWA WATU WAKUKUDHARAU LAKINI WATAKUHESHIMU.


5"UNAKUWA SHUJAA WA IMANI.



NINI UFANYE KWA WANAOKUTAMKIA MABAYA.

LUKA.6:27-28

1-FUTA MANENO MABAYA ULIOTAMKIWA.

2-MBARIKI AKUTAMKIAYE MANENO MBAYA.

3-FURAHIA WANAPOKUTAMKIA MABAYA MAANA UNAINILIWA.


4.TUNZA ANGANO LAKONA MUNGU

5-MUNGU ANAKUTAMBUA WEWE MTU JASIRI.




USHAURI WA KIROHO UNAEPITIA HAYA.

AGALIA SANA MANENO UNAYOTAMKIWA KAMA YA KUKULAANI YAKATAE KWA KUSEMA HAITAKUWA HIVYO KISHA BARIKI ANAEKUTAMKIA MAANA ANAKUPELEKA PENGINE NA KUMPITA YEYE NAE ANAKUWA AJUI KAMA ANAKUPA FAIDA YA MUNGU KUKUJUA KUWA WE JASIRI.


UKIMLAANI ANAEKUTAMKIA WAJISABABISHIA MATATIZO



LAANA YA WAZAZI.
ሰi  maneno mabaya wanayo watamkia wazazi watoto wao.

mf.nyinyi watoto mtazalia nyumbani.
  nyinyi vijana hamtatukumbuka.
hamtaolewa. mbwa nyinyi. fisi.shetani wakumbwa nyinyi.
hamtasoma ninyi.
haya ni baadhi ya maneno wazazi huwalaani na baadae watoto huenda njia hizo.

EBU SOMA USHUHUDA HUU WA CHRISTINA.
kilistina alizaliwa mara akaenda dar kutafuta kazi alipofika huko alianza kuuza bar akiwa anamiaka kumi na saba wateja wakawa wanamshika na mwishowe alijikuta ameingia kwa wanaume
siku moja alisoma somo langu fb ktk akaunt yangu ya moto wa yesu alisikia sauti ikimuuliza kwanini wafanya uchafu
mpingie mch. uokoke umweleze alinipingia akasema mch. naomba uniombee rehema kwa mungu nataka niokoke akaelenza chanzo wazazi baada ya kuokoka alibadilika tabia ya kubadilisha wanaume sasa ameolewa yupo zanzibar.


huu ni ushuhunda wa christina pita

wazazi tuangalie matamshi kwa watoto tunapokuwa tunawatamKIA MAbinti huyu christina yamkini kama wazazi wake wagekaa nae wakamweleza anapokosea asigepotea  lakini walimuuita mbwa.malaya.wakafuta upendo kwake akaamue aende dar..

CHANZO PIA WATOTO MWASABABISHA WAZAZI WAWALAANI.
-WATOTO WENGI HAMNA HESHIMA KWA WAZAZI WENU.

-VIJANA  MMEKOSA HESHIMA KWA WAZAZI NA WALA HAMUWAPI NAFASI YA KUWAELEZA SHINDA ZAO.

-WAKUMBUKENI WAZAZI

ILI UPATE BARAKA KWA WAZAZI

-WAHESHIMU
-WAPENDE
-USIWEKE UADUI NA WAZAZI
-WAPE NAFASI YA KUSEMA NAWE
-WAKUMBUKE NYUMBANI
-WANAPOKUKWANZA WAELEZE.
-POKEA MAUSIA YAO YAFANYIE KAZI

END……

MUNGU AKUBARIKI NINAIMANI UMEVUNA MENGI KATIKA SOMO HILI
MUNGU AKUBADILISHE KUTOKA HAPO ULIPO..


SWALI

KUNA TOFAUTI GANI KATI YA LAANA YA WATU NA WAZAZI?


KWANINI   WAZAZI WEPESI WAKUTAMKA LAANA KWA WATOTO KULIKO BARAKA?


UMEJIFUNZA NINI NA UMECHUKUA HATUA ZIPI BAADA YA KUJIFUNZA?


JIBU MASWALI HAYO

WAWEZA KUANDIKA SEHEMU YA MAONI AU UKAANDIKA NYUMBANI


ASATENI WOTE MNAOKUWA MNASHIKISHA NA WEGINE KUJIFUZA



NI NDUGU YAKO MTUMWA WA KRISTO MCHUNGAJI RICHARD


SIMU.+255759861768

email.mchungajirichard@gmail.com





Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.