SOMO. KAZI ROHO MTAKATIFU. ISAYA.11:2-6

RROHO MTAKATIFU NI NIN?
ni msaidizi wako katika njia ya mbiguni ili
uweze kutembea na mungu lazima uogonzwe na mungu kupitia roho mtakatifu yeye hatakupotosha.


KUNA SEHEMU KUU SABA ZA ROHO MTAKATIFU ZOTE HIZI ZINAKAZI YAKE NDANI

1" ROHO YA BWANA. WARUMI.8-11
huyu roho anakupa kuwa na mamlaka makumbwa katika kazi ya bwana

huyu ukupa upako wa kuponya kitu


2"ROHO WA HEKIMA.  MHUBIRI.7-12

huyu roho hukufanya utende mambo yanayoonekana ya maana.
anakupa uelewa na ufahamu wa kutenda
kazi yako vizuri kwa umakin


hukupa uelewa wa kuongea mungu anakufundisha kuomba mbele za baba kwa utiifu na heshima.

maombi yako yatajibiwa haraka


3"ROHO WA  UFAHAMU
YOHANA.16:7-8

huyu anakupa kujua  mambo yajayo na yaliyopita yaliyopo.

huyu roho hukufanya uone vosivyoonekana kwa macho

hukufanya umjue mtu kiudani

atakujulisha siri zote za mti au maisha yako.


4"ROHO WA USHAURI
1wakoritho.3-9
huyu roho anakuonya na kukukemea
katika njia mbaya.

anakushauri yaliyo  manzuro na kukuuongoza njia nzuri.

anaumia unapokuwa  humwelewi
ndio maana waweza kukosa amani gafla


anapatanisha na kurekebisha yaliyo magumu kwako.

pia huazibu usipomsikiliza asemacho.


5"ROHO WA UWEZA.
ZABURI.50-15
anakupa nguvu na akili ya kutatua yaliyo magumu.

anakupa kupenya palipo pa ngumu.

anakupa kuweza ulipozani hutoweza.

ukiwa na huyu akuna litakalo shindikana  kwako wala  ambalo halitaenda

huyu roho ashindwi kitu.



6"ROHO WA MAARIFA.
zaburi.112:1-2
huyu roho anakupa kumbuni na kuomba
kupambanua roho ya kweli

anakupa akili ya kufanya kazi

anakupangia mipango ya kkufanya

anakupanua ufahamu wako

anakupa binu ya  mafanikio ufanye kazi
ngani  ili ufanikiwe.

anakupa kujua karama yako.

anafichua vipawa vyako.


7" ROHO WA KUMCHA BWANA
luka.2-5

anakupa moyo wa kumpenda  mungu.

anakupa moyo wa ibada mungu.

anakupa moyo upende kanisani.

anakupa uaminifu katika sadaka.mafungu.malibuko

anakufanya usome biblia

anakufanya usali maombi

anakupa kuelewa neno la mungu


anakufanya uwe moja ya watoto
wa mungu.


HIZI NI MATAWI  SABA YA  ROHO MTAKATIFU KILA MMOJA TUMEONA KAZI YAKE.

JIAGALIE YUPI HUNA HAPA NA UMTAFUTE AKUSAINDIE KATIKA SAFARI HII YA MBIGUNI.


MIMI NAITWA MCHUNGAJ  RICHARD FROM NZEGA.


KUTOKA HUDUMA ZA KIROHO
MAOMBEZI NA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU

NENO HILI LINAFUNGUA NA KUWEKA HURU WATU WENGI PENDA
NENO USIPENDE MIUJIZA TU


WASILIANA NAMI
SIMU.+255759861768
EMAIL.mchungajirichard@gmail.com


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.