KARIBUNI KATIKA BLOG YA KWANZA DUNIANI INAYOTOA MASOMO NA MAFUNDISHO KWA UOGOZI WA ROHO MTAKATIFU
Inayosimamiwa na Askofu want makanisa ya Holy Spirit Ministry Tanzania yenye Makao makui Morogoro veta Dakawa
KARIBUNI WOTE
Pata kiungo
Facebook
X
Pinterest
Barua pepe
Programu Nyingine
KARIBUNI NDUGU ZANGU KATIKA MAFUNDISHO HAYA YATAKAYOKUJENGA NA KUKUINUA KIROHO YANAYOENDESHWA KATIKA UFAHAMU NA ELIMU YA KIROHO MTAKATIFU.
NDOTO ZA SHULENI ZIJUE MAANA YAKE. AYUBU:33;14-15 Mathayo:2:12-13 Matendo:2;17 Mwanzo:41:1-32 NDOTO✍️Ni Taarifa inayomlenga muotaji Ikimjulisha Yaliyopo Katika maisha Yake au Yanayokuja Katika Maisha Yake au Yalishapita Katika maisha Yake. NDOTO Huoparetiwa au Kuendeshwa Na Mungu mwenyewe au Shetani Hawa hukufanya uote mtu asiyeota ndoto au Kukosa Maono hawezi Kufika Anakoenda au hawezi kuijua njia.✍️ Masomo haya yapo WhatsApp+255759861768 Youtube✍️https://youtu.be/0z6oPMGtVyY ✍️ Ukiigia Subscribe Utakuwa umejiuga YouTube ✍️✍️Pia Website: www.mchungajirichardi.blogspot.com KARIBUNI TUJUE MAANA YA NDOTO ZA SHULENI. 1:Ukiota Upo mazingira ya shule msingi na Unifom✍️ Unajulishwa Umefungwa Usifanikiwe waitajika uombe kukemea 2:Ukiota Upo shuleni unamwagilia mimea✍️ Unajulishwa Watu Utakuwa unawafanya wanafanikiwa kwa ulicho nacho wewe hutafanikiwa. 3;Ukiota Upo Palendi(Mstarini...
JENGA UFAHAMU Kujitambua ni hatua ya muhimu katika maisha ya mtu yoyote duniani na ni hatua ambayo hakuna mwanadamu anaeweza kufika hatima ya maisha yake kwa ubora na matarajio bila kuipita. Kujitambua ni matokeo ya kupata ufahamu sahihi juu eneo Fulani, ingawa pia inawezekana mtu akajitambua kwa kupata ufahamu usio sahihi utakaomfanya aishi maisha yanayolingana na ufahamu alioupata. Ufahamu unapatikana kwa kutafuta, kuchunguza na kudadisi taarifa mbalimbali lugha rahisi ufahamu ni gharama. Matokeo ya ufahamu ulionao yatafanana na ubora wa maisha unayoishi. Kila taarifa unayoipata ina kusudi au lengo lake, uwe unajua au hujui na ni muhimu kuzingatia kuwa kiwango cha matokeo ya kujitambua kitafanana na ubora wa taarifa ulizozipata. Udhihirisho wa maisha ya kujitambau ni hatua ya juu kabisa ya kuthibitisha kwamba kweli umejitambua. * Maana ya Kujitambua “ Kujitambua ni hali ya kuwa na ufahamu au uelewa ...
SOMO: ADUI NA JINSI YA KUMPIGA ADUI YAKO Tufungue Biblia Zetu ✍️✍️ISAYA: 26;12✍️LUK;1;71-75✍️WARUMI:8;7 ✍️MATHAYO: Kuna Kipindi Adui auTatizo linaweza Kuwa Nguvu Likapata Kukuzidi likakushida Kwa Kukosa Kuwa na Maarifa ya Kupambana nae Kiroho au KIMWILI Lakini Leo Nataka Nikufundishe Jinsi Ya Kuliangusha Tatizo lako Karibu Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Unaweza Fatilia Masomo haya hapa 👉www.mchungajirichardi.blogspot.com Facebook; MOTO WA Yesu YouTube: Moto wa Yesu Pastor Richard WhatsApp+255759861768 Karibuni Wote Kupindi Ni Neno la Mungu Lengo la SOMO;✍️👉Kukupa Mbinu ya Ushidi Dhima Yetu MOTO WA Yesu✍️👉 Ni Ukombozi kwa Watu Wote. MAANA YA ADUI; Adui ni Nini..? Adui Ni Shetani. Shetani Ni Roho. Roho humwingia mtu nakufanya au Kumfanyia mwezake Mambo mabaya ya Kishetani Bila mtu kujua anatumiwa na Shetani au Anamuwakilisha Shetani Kw...
Maoni
Chapisha Maoni