MAOMBI YA ASUBUHI NA BWANA


MUNGU NAKUSHUKURU.ZABURI.118:21
nakushukuru mungu wangu asubuhi naianza baba naomba ukaanze nami ukamalinze nami salama siku yangu kanipe wepesi penye nzito palipo pa ngumu kapamalinze mwenyewe


naomba nakuamini hayo
katika jina la yesu.AMEEEE

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.