Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2023

MAOMBI YA KUONDOA HOFU MBALIMBALI

MAOMBI YA KUONDOA HOFU MBALIMBALI NDANI YAKO ZINAZOJITOKEZA KUKUTESA Mstari wa kutuongoza ni huu.👇👇👇 Ayubu 18:11 [11]Matisho yatamtia hofu pande zote,  Na kumfukuza karibu na visigino vyake.  . Matisho au Wasiwasi Husababisha mtu awe na hofu na Anapotengenenza hofu tayari hutengeneza Ugonjwa Ambao huathiri mifumo ya ufahamu kwake nakupelekea Awe na hofu uliobatana na Woga. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni Kanisa la Holy Spirit church Tanzania  WhatsApp +255759861768 KABLA HUJAOMBA TAMBUA HAYA. 1.Hofu imekujaje kwako kuna habari umesoma imekutisha au taarifa umepokea. 2.Anza Kwa Kufuta hiyo Taarifa au Video uliyotazama ikakutisha Sababu ndani yake adui ametumia hilo neno akuingie. 3.Omba kwa kufata maelekezo ya kwenye ombi kila uombalo. 4.Ukimaliza andaa Sadaka yako uliyonayo Mwishoni mwa maombi kuna maelekezo ya uombeaji Sadaka yako ukiituma unanipigia unaniambia ulikuwa maombi fulani 5.Maombi haya utaomba siku ta...

MAOMBI YA UKOMBOZI KUTOKA KWENYE ROHO YA KUKATALIWA

MAOMBI YA UKOMBOZI KUTOKA KWENYE ROHO YA KUKATALIWA. Kukataliwa ni kukosa kibali kwa wanadamu kila unalofanya Wanakudharau na kukucheka saa nyigine Kukudhihaki. Ukiwa una roho hii utapata wachumba wanakukataa ukienda kuomba kazi napo wakupokelea documents lakini nafasi za kazi hakuna kama ni kijana mwanamke anakuwa hakupendi kila unayemtongoza hakukubali hii roho kwa ufupi ni mbaya.sana. Nayekuletea maombi haya Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Twende Tukaombe Wote MSTARI TUTAKAOSIMAMA NAO. 👇👇👇👇👇👇 1 Timotheo 4:4-5 [4]Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani;  [5]kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.  HATUA ZA KUFATA MUONGOZO WA KUOMBA           1.ANZA NA TOBA  Omba toba kila eneo ulilokosana na Mungu        2.MSHUKURU MUNGU  Mwelezee uzuri wake  mwambie umeniumba vizuri nafurahia uzuri ulionipa Bwana. MTIRIRIKO WA UOMBA...

SOMO; NYOTA YAKO NI UTAMBULISHO WAKO KIROHO NA KIMWILI

SOMO:NYOTA NI UTAMBULISHO WAKO KIROHO NA KIMWILI. UTANGULIZI. Tunajifunza Biblia Leo Tunaona Watu waliotambulishwa kwa nyota zao Yesu Wakuu wa nchi walimtambua na Wasomi mbalimbali. MUSA ni watu waliotambulishwa kuwa wananyota ya uongozi Mungu akaona anakitu. Kutoka sura 3; Tunaona Haruni naye anatambulishwa Ananyota ya uongeaji kwa hiyo Mungu akaamua ampe Musa Haruni kutokana Haruni alikuwa ananguvu ya ushawishi lakini hana uongozi ndani yake Kama Musa na Yoshua. Lakini Tunaona watu wengi kama Daniel Yusufu Kina Daudi Sara Hanna Kina Mariamu Biblia inawatambua kama watu waliokuwa na nyota Ambao Mbingu ziliwatambua ndiyo maana wakaitwa wanawake bora kuliko wote. Na wakapata upendeleo kwa Mungu kutokana na nyota. Soma. MATHAYO;1;18-24 Mathayo 1:23 [23]Tazama, bikira atachukua mimba,  Naye atazaa mwana;  Nao watamwita jina lake Imanueli;  Yaani, Mungu pamoja nasi.  NAITWA PASTOR RICHARD  NIPO MOROGORO VETA DAKAWA  WHATSAPP +255759861768  A:MAANA YA NYOTA...

SOMO:MJUE MTU ALIYEFUNGWA NA Maroho Bila KUJUA

SOMO: MJUE MTU ALIYEFUNGWA NA Maroho Bila KUJUA.  Karibu katika Somo hili uweze kujitambua namna ya kushughulikia roho zinazokutumikisha Katika Ulimwengu wa roho bila wewe Kujua au Kutambua kama unateswa na roho. Somo hili unaruhusiwa kushare nakuwafundisha wegine. Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  WhatsApp inbox +255759861768 TUSOME MISTARI HII Mithali 1:7 [7]Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.  1 Wakorintho 12:7 [7]Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana.  👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Nitaenda Kuongelea Vifungo na Pepo linalosababisha hilo tatizo ili kukusaindia kujua ushughulike vipi unapojifungua au kuomba. KUNA WATU MAPEPO YAO YANAWATUMIKISHA KULA VITU VIFATAVYO:_ _________^^^^^^^_______^^^^^^^_____ 1:KULA UNDOGO WOWOTE =Jini nyoka Ukiona unakula undogo unapepo la nyoka kemea. 2.KULA MKAA= Jini Cheketu. Ukiona mtu anakula mkaa anapepo hili linamtumikisha Kemea. 3.KULA NGODORO= Jini la Uvuvi. Ukio...

SOMO:ROHO MTAKATIFU

SOMO: ROHO MTAKATIFU  Roho Mtakatifu Ni Nani..? Ni mshirika wa tatu wa Uungu unaowakilisha Nafsi Ya Mungu. Yeye ni Sawa na Mungu Baba Yeye ni Msaindizi wako katika maisha yako ya Wokovu. Roho Mtakatifu Siyo Nafsi Tu ni Nafsi ya Ki Mungu. Huitwa Mungu mwenyewe.       Karibu Somo hili Linaletwa na Pastor Richard Kwa Msaanda Wa Roho Mtakatifu. Nipo Morogoro Veta Dakawa  WhatsApp +255759861768. A.ROHO MTAKATIFU ANAZO SIFA AMBAZO NI MUNGU PEKEE NDIYO MWENYE SIFA HIZO. 1.Ana Sifa ya Umilele Hafi Wala Hazikwi. Ebrania;9:14 Soma. 2.Ana Sifa ya Kuwa Kila Mahali Kwa Wakati Mmoja Dakika Moja Anaweza akawa Arusha Dar Na Zanzibar Kwa muda mmoja akihudumia watu. Zaburi:139:7-10 soma 3.Ana Sifa Ya Kufahamu Yote Hadi mawazo Yetu Nia Zetu 1Koritho:2:10-11 Soma  4.Anaweza Yote. Kila Kitu Anaweza Kukifanya chochote kile. Luka:1:35 Soma 5; Hushirikishwa Majukumu Sawa na Baba na Mwana Katika Utendaji Kazi. Mathayo;28:19 Soma 6.Alishiriki Katika Mpango wa Ukombozi wa Mwanad...

MAOMBI YA KUG,OA ROHO ZA KULA MKAA PEMBA nk

MAOMBI YA KUG,OA ROHO ZA KULA MKAA PEMBA UDONGO UNGA NK. Kuna watu humu wanatabia ya kula mkaa Unga udongo nk hii huwa ni Pepo la nyoka linajifanya kukupa hisia za kutamani ule udongo tu au mkaa au Pemba nk. Unatakiwa uombe nami Sasa uvunje hiyo roho kama huipendi lakini kama mwenyewe unaipenda unataka uendelee basi  hata ukiomba haitasaindia chukia hiyo hali kisha tuombe wote. Neno linasema hivi Pepo la nyoka huwa linajifanya Lierevu humshawishi mwanamke kula vitu vilivyokatazwa na Mungu. Mwanzo 3:1 [1]Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya BWANA Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?  OMBA HIVI  MARA TATU KWA SIKU 2 Tu 1.Nakata kiu ya kula udongo ndani yangu katika Jina la Yesu kila Pepo  aliyekuwa Ananiamuru kula udongo, mkaa ,pemba,Unga ninakataa kuanzia sasa sitatumikishwa katika Jina la Yesu.Amen  Rudia ×4 2.Hela yangu au miguu yangu au mikono yangu haitafata pepo a...

MAOMBI YA KUJENGA UCHUMBA

MAOMBI YAKUJENGA MADHABAHU YA UCHUMBA NA NDOA Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  Nakukaribisha uombe nasi. Katika ulimwengu wa roho kuna kitu kinaitwa madhabahu inayobemba ubavu wako nakukuletea wewe hii madhabahu adui anapoivunja au Kuibomoa Yeye Ajengaye mahusiano au uchumba unakuwa unajenga palipobomoka hakuna nguvu inayowauganisha mkae mume na mke unakuta tayari shetani au falme zake zimejenga madhabahu ya kutoolewa yaani wachungaji wataomba sana bila matokeo. Pia zipo ndoa nyigi shetani Amejenga madhabahu zake na Amezifanya zisiwe na Amani au furaha zingine zimevunjika. USIPOJENGA MADHABAHU YA BWANA NDANI YA NDOA YAKO AU UCHUMBA WAKO TENGEMEA SHETANI ATAITESA. ISAYA anasema utapajenga palipoharibiwa Na Kubomolewa Adui Ameharibu mahusiano yako umri unaenda huowi au huolewi shinda hakuna nguvu ndani yako yenye kuongea nakukutanisha na wako sahihi. Tusome mstari huu👇👇👇 Isaya 58:12 [12]Na watu wako watapajenga mahali palipokuwa ukiwa; utaiinua misingi ya viz...

SOMO:NGUVU YA MAOMBI YA KUOMBA KATIKA ROHO MTAKATIFU

SOMO; NGUVU  YA KUOMBA KATIKA ROHO MTAKATIFU. Vitabu: rejea Warumi:8:26 Waefeso.6:18 Kuna Watu Wanaweza Wakawa Wameelewa Namanisha Nini KUOMBA KATIKA ROHO Lakini Wegine Wanaona Kichwa cha Somo tu na hata hawaelewi hata hawajawahi Kuhisi nguvu na mtetemeko WA Roho Wakiwa Katika Kuomba. KWANZA UJUE ROHO MTAKATIFU NI MUNGU  MWENYEWE ndiye Anayekufundisha Kuomba na Kukuongoza Katika Wokovu wako.  Leo Tunataka Tujue Ili Mungu Tuweze Kumfikia Lazima Tujue hili. Kuomba katika Roho Mtakatifu ni Nini? Nikuomba Maombi Yenye hisia za Kumfikia Mungu na Kuwa Connect naye mfano nichukue mauganisho ya umeme yanavyoleta nguvu ya UMEME KUTOKEA Mwanga Ambayo huuganishwa. Nawewe Maombi Yako Ili Yawe Connect Lazima Ujue Kujiugamanisha na Unakiomba. AINA TOFAUTI ZA MAOMBI YA KUMFIKIA MUNGU AOMBAYO MWANADAMU. Watu Wamekuwa na Aina tofauti tofauti za maombi ambayo Yanatusaindia Tumfikie Mungu Kutokana ROHO MTAKATIFU kuwafunulia kwa karama zao mbalimbali za uombaji. 1:MAOMBI YA KUTAFAKARI. Haya ...

SOMO; MAOMBI YA UKOMBOZI WA ARIDHI

SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WA ARIDHI. Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  Jifunze kitu kupitia haya maombi. Aridhi Usipokuwa na nguvu ya kuitawala Adui na roho zitakutesa Sana. KILA Jambo liwe la Baraka au Laana Hushirikishwa Aridhi Adui anayetaka aharibu maisha yako hawezi kukudhuru endapo Aridhi na Anga ukiwa umevimiliki Ndiyo maana maandiko yanasema Ibarahimu Mungu alipotaka kumbariki alimwambia ondoka katika aridhi ya Baba  Yako na mama yako na Jamaa uende mpaka nitakapokupa. Kwanini Asigembariki pale kutokana aridhi ya hapo alipokuwa Ibrahimu haikuwa aridhi iliyoandaliwa kwa ajili ya Baraka zake ilikuwa imebemba laana tu.   SOMA👉Mwanzo:12 MUNGU Akasema  Mwanzo 1:28 [28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.  Nataka nikuambie ukitaka kumiliki Mfano. Kazi Biashara Pesa Kilimo Majumba. HUDUMA...

SOMO; MAVAZI NI UTAMBULISHO WAKO ULIYAVAA.

SOMO: MAVAZI NI UTAMBULISHO WAKO WEWE ULIYEYAVAA. Nakukaribisha katika Somo hili; Mavazi unaweza Kuvaa wewe mwenyewe unavyotaka Jamii ikutambue au Mbigu zikuelewe. Mavazi ni uhuru wa mtu kuvaa anavyoona nafsi yake yafaa. Lakini tambua Kila Vazi ukilivaa Tunajua huyu ni nani. Mfano ukivaa Joho na kofia tunajua huyu mhitimu amesoma Ukivaa Sale za kazini kwako tunatambua kupita mavazi uliyovaa. Nakukaribisha upate kuongeza maarifa KUNA AINA NNE NIMEPATA KATIKA UVAAJI 1:UVAAJI WENYE UTUKUFU Haya ni mavazi yanayompa utukufu Mungu yenye heshima yaliyoshonwa vyema na kwa kitabaa safi isiyoonesha maungo yako ya ndani Soma 👉Luka;7;25 Kutoka:31:10  Walawi:16;32 2:UVAAJI WA KITUMWA. Haya ni mavazi yanayomtambulisha mtu anatumikishwa na kitu au amefungwa mfano. Chizi, mtu aliyefungwa uvaaji wake utajua tu. Ukija kuvaa mavazi hayo wewe ambaye siyo tayari jamii na watu tutambua umetekwa na roho wewe unatumikia kifungo fulani. TUSOME ANDIKO. Kumb.Torati:21:13 3.UVAAJI WA KIKAHABA Kahaba ni mwana...

SOMO:FIKIRI KABLA YA KULALAMIKA

SOMO:FIKIRI KABLA YA KULALAMIKA MUNGU HAKUJIBU. Kuna maandiko Ambayo yanakupa picha na mwelekeo katika maisha yako ya wokovu ni vyema ukayajua nakuyashika Kabla hujaanza kutupia lawama Mungu hakujibu hakusikii. Wapo wegine wanawaza kufa wegine waache kanisani kisa Mungu hatendi Kumbe matatizo mengine shida ipo kwako unaona yaleyale hutaki kuona ushindi Muulize batrimayo kipofu alibadili mtazamo akaanza kuona ushindi mafanikio  kustawi Nawewe fikira zako ziponywe kwa jina la Yesu. Nakukaribisha katika Somo hili ninayekuandalia Pastor Richard kwa msaanda wa Roho Mtakatifu.  Nipo Morogoro Kanisa la H.S.C.T 1;JAMBO LA KWANZA MPENDE MUNGU KWA AKILI  ZAKO ZOTE NAFSI YAKO ZOTE. 👇👇👇👇👇 Mathayo 22:37 [37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.    Vipimo vya Kumpenda Mungu Kweli. 1.Uvumilivu wako katika nyakati zote anapochelewa kujibu. 2.Kujitoa Kwako kwa Kazi ya Mungu katika Sadaka zako Viwanja magari na...

SOMO;MAOMBI YA KUOMBA MUNGU ATIMIZE NENO LAKE KWAKO

SOMI;MAOMBI YA KUOMBA MUNGU ATIMIZE AHADI ZAKO KWAKO ALIZOKUAHIDIA Karibu; Kuna wakati Mungu anaweza Sema nawewe atakufanyia kitu au nyumba yako au watoto wako au ndugu zako na ukasimama katika maangizo yake vizuri kabisa kama Ibrahimu cha ajabu muda ukazidi kwenda Hajibu Unachotakiwa Usiache kuendelea kuwa mwaminifu kwake na kufata alichokuagiza lakini utaingia kumkumbusha ahadi yake. Zipo ahadi zetu huibiwa na Adui  kwa kupitia dhambi au kumuasi Mungu au kuto tii maagizo yake. Mwadaaji wa Maombi haya Pastor Richard Kwa muongozo wa Roho Mtakatifu  Yupo Morogoro Veta Dakawa  Walengwa ni walioahidiwa Ahadi na Bwana hazijatimizwa mpaka Leo. Nakukakaribisha Soma kwa rudia rudia uelewe vyema. TUEPUKE HAYA ILI KUMFANYA ATIMIZE ALIYOTUAHIDIA. 1:TUSIACHE KUTII ANGIZO LAKE. 2:TUSIMUASI MUNGU TUKARUDIA DHAMBI TULIZOZIACHA. MAMBO AMBAYO YAFANYE KUFIKIA AHADI YA MUNGU. 1:UWE NA MOYO WA TOBA. 👇👇👇👇👇 Mungu anapeñda uwe mwepesi wa kutambua hili namkosea Mungu hili niko sahihi kisha...

SOMO:MAOMBI YA UKOMBOZI WA NYOTA

SOMO ;MAOMBI YA UKOMBOZI WA NYOTA YAKO  UTANGULIZI : Karibu Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa  Tulia usome kisha tuombe wote tukomboe nyota zetu. Fatana nami katika  Somo hili Ujifunze uelewe nyota kibiblia. Kila mtu huwa amezaliwa na nyota yake kabisa isipokuwa katika kuishi watu wengi hujichanganya kwenda kwa waganga na kuanza kushiriki vitu vya kiganga au kuchanjwa chali kama watoto hawakufanya wazazi inawezekana walienda kwa waganga. NYOTA; huchukuliwa katika mazingira yafatayo  -Kwenda kwa waganga  -Kuishi maisha yakuzini unatubu unaridia kuzini -Dhambi ya uasi huharibu haraka nyota yako .UDHIBITISHO WA DHAMBI  Mwanzo 3:9 [9]BWANA Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi?  Dhambi ilisababisha uhusiano wa Adamu na Mungu kutoweka kuna kitu ndani ya Adamu kiliondoka. Nyota ya kuonekana ikapotea ndiyo maana Mungu anauliza upo wapi Adamu.  MAANA YA NYOTA; NYOTA: Ni utambulisho wa wewe ni nani katika maisha haya hatima yako ni ipi K...

TANGAZO LA HUDUMA YA WACHUNGAJI

KANISA LA HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA 2024 🇹🇿 (H.S .C.T) NA. SA.21139 Chini ya Muasisi na mwanzilishi wa Makanisa haya  Richard Julius Kushoka(Pastor Richard/Bishop Richard) Tunakufikia wewe Mtumishi mwenye wito wa kutumika Katika huduma zifatazo. A.Mwalimu B.Mchungaji C.Nabii D.Mtume E.Mwijiristi KWA UFUPI KUHUSU KANISA LETU Kanisa hili limeanzishwa na mtanzania halina mfadhili wala ushirika na shirika lolote la nje . Lipo Morogoro Wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni likiwa limetimiza Usajiri wake CPCT na WIZARANI NA;  21139 Linatenda Kazi zake za kuhubiri injiri kisheria na kwa uwazi kupitia njia za mtandaoni ,kawaida,radioni Nk OFISI KUU ZIPO: Zipo Mkoa wa Morogoro Wilaya Ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni MISINGI YA KANISA LETU NI YA KIPETECOSTE  AMBAYO IMEHAKIKIWA NA CPCT  TAIFA IKAPITISHWA KISHERIA. VIGENZO VYA WATUMISHI TUNAOLEGA KUWAFIKIA KUTUMIKA PAMOJA NAO Sifa zao -Umri kuanzi miaka 20 mpaka 45 -Wawe wana wito na nia ya kutumi...

MAOMBI YA UKOMBOZI WA NDOTO

MAOMBI YA KUJIKOMBOA NA NDOTO MBAYA ZOTE. UTANG: Majeshi ya shetani huweza Kumfata mtu usiku na kuuganisha uharibifu au matatizo ndani ya mtu usiku hasa wale watu wasiomba usiku au watu wasiopenda ibada. Watu wengi wanaota Wanafanya mapenzi,Wanakula vyakula, Wanasoma shule ya msingi wanakimbizwa, Nyoka au Kuota misiba kuongea na watu waliokufa. Ni 80% Kati Yao Wanateseka eidha na mahusiano eidha uchumi eidha maisha ya kiroho. Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  Dumila wilaya ya Kilosa WhatsApp +255759861768 UNAPOTAKA UJIONDOE KWENYE KUOTA NDOTO MABAYA VAA SILAHA TATU ZITAKUKINGA NA NDOTO  👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 KATIKA MAOMBI YETU TUNASIMAMA NA  👇👇👇👇👇👇 WAEFESO:6:10-20 Silaha ya Kuvaa Kujilinda na Ndoto mbaya ni Tatu Tu 1;SILAHA YA KWANZA VAA MAOMBI. Watu wengi ambao ni baridi katika maombi adui lazima awatese Sababu wao kuomba wanasema hawawezi mpaka mchungaji wao awaombee lakini Yeye kuomba yupo bize Sana hana muda tengemea Shetani ataendelea ...