Somo;Sifa 15 Za Kupendwa

✍️✍️👇👉SOMO: SIFA 15 ZA MWANAUME ANAYEPENDWA NA WANAWAKE AMBAZO MWANAUME UNAPASWA UZITAFUTE.

Isaya:58;12✍️  2wakoritho:4;6

✍️✍️DARASA LA WANANDOA
Mwal: Pastor Richard
Morogoro veta Dakawa
Simu+255759861768

Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao lakini akapenda mweyevigezo vichache. Vitafute vigezo hivi 15 ambavyo wasichana wengi hupenda kutoka kwa mwanaume ili nawe uwe miongoni mwa wanaume wenye kupendwa.

✍️✍️SIFA HIZI

1. Mcheshi

2. Kujiamini

3. Mwenye utashi

4. Anayetoa msaada unapohitajika

5. Anaetunza siri

6. Mwenye kujithamini

7. Mwenye malengo / makini

8. Mwenye mawazo mapana

9. AliyeMuwazi na mkweli

10. Anayeridhika

11. Aliyeshupavu na jasiri

12. Mwenyehuruma

13. Anaesamehe

14. Mwenye Hadhi na heshima

15;Hisia ya uadilifu.

✍️✍️ MWANAUME Ukiyashika haya Utapendwa na mkeo Mchumba au mwanamke unayengombana nae Kila siku

Kuna vitu vidongovidongo Sana hufuta upendo

Naitwa Pastor Richard
Masomo ya wanandoa

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.