SOMO;SI KILA TATIZO LITATOKA KWA MAOMBI
🥦S0MO : 🙋SIO TATIZO LITATOKA KWA MAOMBI.🥦 Tufunue Biblia Zetu;Mithali:12;1-4;Hosea;4;6;Warumi;10:2 Mithali:Mlango 8: 10 Pokea mafundisho yangu, wala si fedha,Na maarifa kuliko dhahabu safi. Isaya: Mlango 33:6 Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼 KARIBUNIKATIKA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU LEO HII JUMAPILI YA Tarehe 29/11/2020 Nataka Niseme na Mtu mmoja TU Ambae Amekuwa Akinifatilia Amekata Tamaa Kuligana Nakuombewa nakuhagaika Tatizo lake Bila mafanikio. SI KILA TATIZO LINALOKUSUMBUA LAITAJI MAOMBI Ni Somo lenye Ufahamu na Maarifa ya Kukusaidia wewe Kama Mtoto wa Mungu namna ya Kutatua Changamoto Ambazo Zinakutesa Mimi Ni Mtumishi wa Bwana Yesu Pastor Richard NIPO MOROGORO VETA DAKAWA WhatsApp number+255759861768 Kwa msaada we Kiroho Piga Jioni saa12;00 NINI MAANA YA SIO KILA TATIZO LITATOKA KWA MAOMBI? Ni kukanusha Usemi wa Kutengemea Kuvuka Changa...