Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2024

SOMO: MAOMBI YA KUVUNJA PATANO (AGANO) LA WACHUMBA WA ZAMANI

SOMO; MAOMBI YA KUVUNJA PATANO (AGANO) LA WACHUMBA(MARAFIKI) WAZAMANI. 🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴 Kuna watu walijiugamanisha Katika maagano ya Wanadamu nayo yamedhibitika Kwao Sasa hivi wanateseka Na hao wapenzi wao wa Zamani Hawaolewi au Kuowa Wengine Wameshindwa Kuwasahau Kabisa Akilini mwao wengine misimamo ya kuwaacha hata kama wao wamewaacha wao mioyo haikubaliani kabisa sababu ni lile Patano Ambao waliliweka Wakati nipo ofisini Kwangu nasikia Sauti wafungue watu wangu kutoka kwenye maagano yao ya kibinadamu kwa wachumba wao maana yanawazuia nisitende kwao. 🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉 Ipo hivi Agano huwa ni Patano yaani makubaliano linodhibitishwa na Mungu kuwa hai. 👇👇👇👇 TUREJEE MAANDIKO 👇👇👇👇👇👇👇 2 Wakorintho 3:14 ,17 [14]ila fikira zao zilitiwa uzito. Kwa maana hata leo hivi, wakati lisomwapo Agano la Kale, utaji uo huo wakaa; yaani, haikufunuliwa kwamba huondolewa katika Kristo;  [17]Basi “Bwana” ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.  👇👇👇👇...

SOMO:MAOMBI YA KUHAMISHA

SOMO:MAOMBI YENYE NGUVU YA KUHAMISHA KILA LINALOKUTESA. 🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣   Soma urudie rudie  ili Kuelewe   👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇   1 Wakorintho 13:2   [2]Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri   zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.  👇👇👇👇👇👇👇👇 Katika ulimwengu wa roho kuna milima inayokuwa inakutesa milima ya madeni milima mahusiano kuvunjika vunjika milima ya kutokulipwa Pesa zako ipo milima mingi Ambayo lazima ihamishwe na ili wewe uweze kupita au kuvuka. Eneo hilo. Nakukaribisha maombi haya Ya Kuhamisha Milima yaani matatizo. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni  Kanisa la Holy Spirit church Tanzania. MAMBO YA KUZINGATIA TUNAPOOMBA MAOMBI HAYA: 1:Tambua Matatizo au Tatizo ngani unataka uhamishe liondoke mbele Yako. Soma👇👇👇 Mithali 1:2 [2]Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;...

SOMO; MAOMBI YA KUJIKOMBOA KUTOKA KWENYE ANGA NA NGUVU ZA NGIZA

SOMO: MAOMBI YA KUJIKOMBOA  NA UFALME WA ANGA NA NGUVU ZA GIZA (HAYA MAOMBI YA HATARI NA YANAITAJI WAOMBE WATU WENYE IMANI) Nasikia Sauti Ya Mungu Ikiniambia Wafundishe Wanangu Maombi Ya Kujikomboa na Anga lilowashika na Falme mbalimbali Tulia uweponi nikufundishe nawewe uwasilishe kwa wanangu hii ni sauti. Watoto wengi wa Mungu hupambana Vita Pasipokujua ufalme wanaopambana nao huchukulia maombi kama mchezo na wengine hununa wakiambiwa kuomba Wapo wengi Hawapendi Kuomba halafu wanamipango mikubwa na malengo unajikuta mipango inakufa malengo hayatimii kumbe Kutokujua Ufalme Anaopigana nao. Karibu Naitwa Pastor Richard.   KABLA YA KUOMBA  LAZIMA TUUJUE UFALME TUNAOPIGANA NAO 🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝🏝 JUA ANGA KWANZA KIROHO ( Mwanzo:1:6-20) ANGA NI NINI..? Anga ni mpaka unaotenganisha kitu kigine na kitu kigne. Chochote kinachokufanya usipokee au kukutenga na kitu hiyo nguvu huitwa Anga. Anga linauwezo wa kuzuia na kufungua na Kuruhusu chochote kikupate. Kwa Mtu aliye...

SOMO:MAOMBI YA KUOMBA UNAPOTOA ZAKA,

SOMO; MAOMBI YA KUOMBA UNAPOTOA ZAKA(FUNGU LA KUMI). 👇👇👇👇👇👇👇👇 Soma Maandiko haya Tunayosimamia. Malaki:3:8-14, Luka,;18:10-12, Nehemia:13:12 Mwanzo;14;20 Kumb.Torati:14:22 MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUTOA ZAKA(FUNGU LA KUMI) 1.Usitoe Zaka Kama Siyo Kwa Baba Yako Wa Kiroho AU Madhabahu yako. 1wafalme;18;30-35 Mwanzo;22;1-19 2.Ukianza Kutoa Zaka Usimwimbie Tena Mungu au Kuacha maana utatembea na laana ya wizi wa fungu la kumi. Soma; Malaki:3:8-9 3;Fungu la Kumi ukilitoa Kwa Baba Yako wa Kiroho Katika Madhabahu yako litakubariki na Utainuliwa Juu mengi yatafunguliwa. Soma Malaki;3;10-14 4 Baraka mbalimbali  huja kwako unapokuwa na msimamo wa fungu la kumi  Kumb. Torati:28:1-20 5;Toa Fungu la Kumi ujue unayempa ni Mungu na Siyo Mwanadamu Ukitoa zaka mwambie Mungu nimekuwa mwaminifu wa Kutoa fungu la kumi fanya nami yangu haya. 1.Naitaji ndoa, 2.Naitaji nipande cheo kazi 3.Naitaji mapacha sita Naomba unibariki mpaka nishagae. Matendo;10;1-5, 1samweli.1;1-14 6; Weka Angano...

SOMO;NAMNA YA KUIFANYA IMANI ILETE MATOKEO

SOMO: NAMNA YA KUIFANYA IMANI ILETE MATOKEO; ,,,,,,,,,'''''""""""""",,,,,,,,,,,,^^^^^^^^^^ UTANGULIZI; Naitwa Pastor Richard Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania Moto wa Yesu Watu wengi Wana Imani Lakini Hawana Imani Yenye Kuwapa Matokeo Ya Kile Wanachokiamini Watu Wengi Huweza Kuomba Vizuri Lakini Imani Ya Kuwapa Wanachokiamini hapo ndipo palipo shinda.. Imani hubembwa na mtu mmoja Anayekuwa anauhitaji wa Kuamini Jambo fulani Akifanya au Akiomba Ataona matokeo  Imani huwa si kubashiri au Kutumaini Kitu Ambacho huna uhakika nacho. WATU WENGI HUJUA IMANI NI HAKIKA YA MAMBO YATARANJIWAYO 👇👇👇👇👇 Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.  WACHACHE HUJUA IMANI NI UKAKI WA KILE UNACHOKISIKIA AU KUKITAMKA SAWA NA ANDIKO HILI 👇👇👇👇🌴🌴🌴🌴🌴 Warumi 10:17 [17]Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.  Kwa Lugha rahisi Anaman...

SOMO: Maombi Ya kukomboa familia

SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WA FAMILIA  ZETU Kila mmoja aombee familia  Karibu katika maombi Ya Ukombozi wa familia Haya ni maombi yanayongusa maeneo makubwa matatu ukoo familia Taifa unapoingia kukomboa Jipange uwe na Sadaka kuanzia 50000 kima cha chini kama unakuwa hauna usiuchokoze huu ufalme.       Zingatia Haya Kabla hujaomba ________^%%%%÷÷÷%%______ 👉Tafadhali kama hujaelewa usiombe unipigie  Simu ueleweshwe 👉Unatakiwa tenga muda tulivu uombe 👉Maombi haya yaitaji utilizing Sana 👉Utakuwa na Sadaka yako Kwa Uzito wa ukombozi wa familia yako TUYAJUE HAYA KWANZA KABLA YA KUANZA KUOMBA Familia ni nini? NI KUNDI Linalomjumuisha mama baba na watoto. HAKI HUOKOA FAMILIA  Mwanzo 7:1 ''  BWANA akamwambia Nuhu, Ingia wewe na JAMAA yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki.'' Hiki Kitabu kinaongelea mzazi aliyepata haki mbele za Bwana Kwa Kukaa Vizuri na Kumtengemea Mungu na Mungu alipotaka Kuagamiza...

VIKUNDI VYA MAOMBI MIKOANI

UTARATIBU WA VIKUNDI VYA MAOMBI KILA MKOA TUTAKAVYOUONGOZA NA KUSIMAMIA SISI VIONGOZI  Tunalenga Kujifunza na Kuomba Bila Kukoma Kama Neno linavyotuangiza 👇👇👇👇👇👇👇 1 Wathesalonike 5:16-18 [16]Furahini siku zote;  [17]ombeni bila kukoma [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu.  👇👇👇👇👇👇👇 Kila mtu ni wajibu kujua kuomba na kujifunza kuomba Nami Kama Askofu mkuu wa makanisa ya Holy Spirit church Tanzania (Moto Wa Yesu yenye Usajili no 21139 )Yenye makao yake makuu Morogoro  Wilaya ya Kilosa Kata ya mbigiri Kijiji cha mateteni  Napitisha  Tuwe na Vikundi vya Maombi kila Tulipo ili kusaindiana Kiroho na Kujengana Kiimani hii baada ya wengi kuniomba tufanye hivi UTARATABU UTAKUWA HIVI; RASMI KUANZA:Mwezi wa Pili Tutaanza rasimi saivi Unachotakiwa waandae wanaopenda maombi kuomba na kujifunza nawewe utakayeanzisha hili hapo ndiye utakuwa kiongozi wa msimamizi wa maombi eneo hilo utakapokuwepo. JINA LA KIKUND...

SOMO; MAOMBI YA KUJIONDOA KWENYE NIRA ZA VIFUNGO

SOMO;MAOMBI YA KUJIONDOA KWENYE NIRA  ZA VIFUNGO ULIVYOFUGAMANISHWA NA WATU. Naitwa Pastor Richard ninayekuandalia SOMO  hili kwa muongozo wa Roho Mtakatifu.  Nipo Morogoro Veta Dakawa.  👇👇👇👇👇👇 NIRA NI NINI? Nira ni kiuganishi au ubao au chuma inayotumiwa kuvishwa ng,ombe wakati mkulima analima ili kumsaindia Wale ng,ombe kutembea katika Njia moja. ============================= Soma hapa👇👇 Isaya 58:9 [9]Ndipo utaita, na BWANA ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa. Kama ukiiondoa nira; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole, wala kunena maovu;  Inaonyesha Kumbe nira nikifungo kinachokuwa mtu kinamuongoza atamke maneno maovu yanayomfanya mtu ajibembeshe mzingo kupitia maneno ya kinywa chake kama kutukana kujifunga na kunug,unika. ASILI YA NIRA Nira asili yake imetokana na Neno La Kilatini I ugumu lenye maana kiuganishi au Fimbo ya kuvikia ng,ombe wanapolima. KIROHO NIRA NI KIFUNGO; Kifungo ni kitu chochote kinachomnyima uhuru mtu mwingine Kifungo mara...

DALILI ZA MTU KUFUNGULIWA ANAPOOMBA

SOMO: DALILI ZA MTU KUFUNGULIWA ANAPOOMBA. Tunapoomba huwa hakika ufalme wa ngiza tunaupiga na kuubomoa huwa Ni vita kwa sababu ule ufalme wa ngiza unakuwa ulishazoea kumtesa mtu na kumfunga na watu wanateswa na majeshi mengi mfano. Mtu unamkuta Anakuwa anahofu, Anakata tamaa,Ananug,unika,Anahasira, Mwoga anahirisha ahirisha vitu hili huwa jeshi la mapepo katika ufalme wa ngiza. Mwigine Anateseka na magonjwa yasiyoeleweka, Vitu vyake vinakufa kufa tu, Anashika mimba zinaharibika, Hashemi mimba au uume hausimami, Anasikia vitu sehemu za siri, kutokwa blidi isiyoisha, au kukosa blid nk. Hizi Dalili za Jeshi la Wachawi na Waganga Mwigine Atakuwa Anaota ndoto watu waliokufa anaongea nao, au anaota yupo makaburi,au misimba au yupo kijijini alikosomea,au kuota wamasai au wanyama kama ng,ombe nk Hili ni jeshi la mizimu  Mtu mmoja unaweza Kumkuta anateseka na haya majeshi yote Wachawi wanamtesa Mapepo na mizimu  huyu mtu anapokuja kuanza kujifunza kuomba na akaelewa kuomba kwanza anak...

SOMO:MAOMBI YA MWISHO WA MWEZI NA MWANZO WA MWEZI

SOMO:MAOMBI YA MWISHO WA MWEZI NA MWANZO WA MWEZI.  🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🍀🖍🖍🖍🖍 Wakati nafunga mwaka nikiwa katika kuwaombea mahitaji mliokuwa mmeyatuma nikiuganisha na ya kanisani maelekezo yaliyotoka katika kuwaongoza watu mliopo kwenye Group kutoka kwa Mungu mwenyewe Akasema mtakuwa na maombi ya mwazo WA MWEZI na Mwisho wa Mwezi yatakayokuwa yanaombwa mwisho wa mwezi maelekezo ya uombaji yalikuwa kama ifatavyo; Mungu wetu hutembea katika maelekezo hapa Yoshua anapata nguvu kusimamisha mwezi hata wewe mwezi ukakutii ukalete Baraka zako upokee ushuhuda  kila mwezi Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  👇👇👇👇👇 Yoshua 10:12-13 [12]Ndipo Yoshua akanena na BWANA katika siku hiyo ambayo BWANA aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli,  Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni;  Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.  [13]Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia,  Hata hilo taifa lilipokuwa limekw...

SOMO:MAOMBI YA KUSHUGHULIKIA MADHABAHU ZA UKOO

SOMO:MAOMBI YA KUSHUGHULIKIA MADHABAHU YA UKOO MLEGWA NI KILA MTU ANAYETESWA NA MADHABAHU YA UKOO AMBAYO INAPEWA NGUVU KUPITIA SADAKA ZA WANAUKOO WAFANYAPO MILA ZAO. Karibu Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Kanisa la Holy Spirit church Tanzania   Tunasoma Kitabu hiki.            👇👇👇👇👇👇👈👈         Mambo ya Walawi 25:47-49 [47]Tena kama mgeni au mtu akaaye nawe akitajirika, na nduguyo amekuwa maskini karibu naye, akajiuza kwa huyo mgeni, au kwa huyo akaaye kwako, au kwa ukoo wa jamaa ya huyo mgeni;  [48]baada ya kuuzwa aweza kukombolewa; mtu mmoja miongoni mwa ndugu zake ana ruhusa kumkomboa;  [49]au mjomba wake, au mwana wa mjomba wake, ana ruhusa ya kumkomboa, au mtu awaye yote aliye karibu naye wa jamaa yake, ana ruhusa ya kumkomboa; au kwamba yeye mwenyewe amepata mali, ana ruhusa ya kujikomboa mwenyewe.     SOMA Kitabu kigine hiki          👇👇👇👇👇👇👇👇   ...

SOMO: MAOMBI YA KUHAMISHA VINAVYOKUTESA

SOMO:MAOMBI YENYE NGUVU YA KUHAMISHA KILA LINALOKUTESA. 🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣 Soma urudie rudie  ili Kuelewe 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 1 Wakorintho 13:2 [2]Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi.  👇👇👇👇👇👇👇👇 Katika ulimwengu wa roho kuna milima inayokuwa inakutesa milima ya madeni milima mahusiano kuvunjika vunjika milima ya kutokulipwa Pesa zako ipo milima mingi Ambayo lazima ihamishwe na ili wewe uweze kupita au kuvuka. Eneo hilo. Nakukaribisha maombi haya Ya Kuhamisha Milima yaani matatizo. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata Ya Mbigiri Kijiji cha Mateteni  Kanisa la Holy Spirit church Tanzania. MAMBO YA KUZINGATIA TUNAPOOMBA MAOMBI HAYA: 1:Tambua Matatizo au Tatizo ngani unataka uhamishe liondoke mbele Yako. Soma👇👇👇 Mithali 1:2 [2]Kujua hekima na adabu; kutambua maneno ya ufahamu;  2.Utaomba Maombi haya Siku 14 Mfululiz...

SOMO;MAOMBI YA UKOMBOZI WA MTU MWENYE H.I.V POSTIVE

SOMO:MAOMBI YA UKOMBOZI WA MTU MWENYE H.I.V  POSTIVE. Soma vitabu hivi kujua imani ilivyo Uponyaji wako utatengemea kiwango cha unavyoipandisha juu Imani yako Kupitia wezako kwenye Biblia walivyoponywa kwenye vitabu hivi hasa Luka 8. Warumi.10:17, Marko.4:14 Luka.8:40-56 👇👇👇👇👇👇👇 Mathayo 14:31 [31]Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?  ZINGATIA HAYA UNAPOOMBA HAYA MAOMBI.  👇👇👇👇👆👆👆👆👆👇👇👇👇 1.Uwe na Imani Kubwa Isiyokuwa na Hofu ndani yake unapoomba. Kama huna imani usiombe acha waombe wenye imani. Warumi;10:17 Mathayo:14:31 2.Utakuwa na Sadaka Yako Yenye Kiwango Sawa na Uzito wa Tatizo lako unavyoliona mwenyewe Kumbuka hii itaenda kuagusha Angano la Damu na Usijishushe Katika Eneo hili la Sadaka. Anza kiasi cha Sh.50000 kupanda juu Kama huna usiyaombe kwanza tulia ukipata utaomba Zaburi;20;3 Matendo:10:4 3.Utaomba Maombi Haya Usiku kwa muda Usiopishana Ndani Ya Siku 7 Mfululizo Na Tatizo litaanguk...