Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2018

SOMO: CHANZO CHA MATATIZO

👆🏽👆🏽✔ *SOMO: CHANZO CHA MATATIZO KWA MWANADAMU* Yakobo:1:2-4 2Koritho:1:3-7 8-10 KUNA MAMBO YANAYO MFANYA MTU ATESEKE AU APITIE MATATIZO Ambayo humfanya mtu aishi kwa Shida na Matatizo Mbalimbali  karibu ufuguliwe katika somo hili Lengo la SOMO : Uelewe NJISI yakutoka kwenye Tatizo lako au Umsaidie mwenye Matatizo *KABLA SIJAENDELEA KUNA Jambo ambalo lazima uelewe  mtu alianza kuteseka pale tu Adamu na Hawa waliambiwa wawe waagalifu wanaweza kutumia miti yote Lakini wasitumie mti wa miujiza na mabaya na Mema. LAKINI  HAWAKUWEZA KUTII AU KUZINGATIA* KWANINI mtu huwa mgumu sana kwenye kushika anachoelekezwa chenye kuokoa maisha yake  hii huwa sababu ya kuteseka *Mwanzo:1:31 mwanzo 3* *1:MATOKEO YA DHAMBI* Hii huwa sababu inayomfanya mtu atende dhambi na akishatenda ile dhambi humfanya ajute na kupitia  katika chagamoto mbalimbali na kumpelekea mtu Awe chazo cha mateso Mambo hayo huwa ni Pamoja ya dhambi Adamu n...

SOMO : LIJUE MAANA YA JINA LAKO KATIKA SIFA YAKE

✍🏾✍🏾 *LIJUE JINA LAKO sifa  Yake *HERUFI* A Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira. Ni Jeuri Sana Wanaakili Pia Watu wenye SIRI sana MTU HUYU HUWA Anatumia Akili Tu Kufika Pale Atakapo USHAURI UNashauriwa mwenye Jina Kumcha Mungu na kuepuka matukio Na ugomvi Sababu huwa wagomvi wachochezi sana washudiaji vitu.   *Mwenye HERUFI B* wenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika  pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake. Hapendi Adhurumiwe au Uchezee kilicho chake ni wataratibu sana na wanaofanya mambo yao kimya kimya. ✍🏾✍🏾😄Watu Hawa Hupenda Kushauriwa na kufanyia  Kazi Katika Yale Wanayoshauriwa Na Hufika mbali kimaisha...

SOMO:LIJUE MAANA YA JINA KUFANIKIWA KWAKE

👉🏽 *NJISI  YA MAJINA  KUFANIKIWA KUAZIA HERUFI A-Z* _Pastor Richard_ From MOROGORO _WENYE HERUFI A_ 1:Anashauriwa Asimamie  katika Msimamo wake Asiyumbishwe 2;Ajiamini kwa kila jambo Afanyalo 3!Awe MTU WA IBADA NA Ushirika Na MUNGU 4;AJIREKEBISHE SIFA Zisizo faa kama Kiburi ugomvi nk aache. 5;Ajichanganye na wengine asijitenge tenge 👉🏽 _WENYE HERUFI B_ 1; Ajiepushe na makundi marafiki 2; ASIMAME Katika sifa zake asifate mkumbo 3;Awe  mtetezi kwa waliodhaifu 4; Asimame Na MUNGU asimuache 5; Abadilishe Sifa  zisizofaa ajirekebishe 👉🏽 _WENYE HERUFI C_ 1;Huyu Anashauriwa Tabia ya kubadilika Badilika Waache. Wasimame na malengo yao 2;Wasivunjike Moyo wawe jasiri 3;Wamuweke MUNGU mbele waache kubabaika Mara wanarudi nyuma Mara wanasimama 4; Waheshimu Ndoto zao 👉🏽 _WENYE HERUFI D_ 1; Wanashauriwa waendelee na msimamo yao Kupenda Hali. Waepuke Ujeuri wawe watu wenye kujishus...

SOMO :HIZI NDIO NJIA UTAMJUA MWANAUME TAPELI WA MPENZI MHARIBIFU

SOMO: HIZI NDIO NJIA ZA KUMJUA MWANAUME ATAKAYEKUOA USIPOPATA SIFA HIZI UJUE HAMUOANI Bwana YESU Asiwe watoto wa MUNGU  Haya masomo nayaleta kwa Vijana wote wakae wajue  na kuepuka kupitia katika4 Machungu YA kusalitiwa katika Mapenzi Kwa sababu vijana wengi siku hizi hutumia njia ya kusema kuowa wakiwa wanataka Bint wampate wazini nae tu kisha wamzalishe au kumharibia malengo yake na mipango. Binti Yangu nimekuletea Somo hili Ambaye hujaolewa Ujue sifa ya mwanaume muoaji Anakuaje Hii ikupe ufahamu.  Usijirahisishe na kukubali kuitwa mama kabla ya kuitwa mke wa mtu. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania  nakuandalia nakala hii fupi yenye maarifa makubwa. Tunasoma Zaburi 119:9      Mithali 7:7 1.MWANAUME MWENYE LENGO LA KUKUOA ATAKUPA NAFASI YA KWANZA KWENYE MAISHA YAKE. Yaani ktk mahusiano ya uchumba tu utaanza kujiona queen. Wanaume waoaji tunafanya hivi ili ndege mzuri asirukie mti mwingine kwa hi...

SOMO ZIJUE SIKU ZA KUPATA MIMBA

*SOMO:NJISI YA KUELEWA SIKU ZA KUPATA MIMBA* Na Sababu zinazofanya Wanandoa wasizaye haraka kutokujua Elimu hii Ufunuo:12:2 Isaya 26:17 Ayubu:3:3 YAI KUPEVUKA HUA HATUA YA KWANZA KUIJU Yai la Mwanamke hupevuka siku 14 kabla ya ya siku ya bleed. Hii ni siku muhimu sana kwa wana ndoa kuijua. Siku hii yai huwa linakuwa limeshakomaa na tayari limeshatoka katika nyumba yake ya mayai (ovaries) na kuelekea katika mirija ya uzazi (fallopian tube) tayari kukutana na mbegu ya kiume. Na kumbuka mbegu za kiume huishi muda wa masaa angalau 72 kwa hiyo muda wowote ndani ya masaa 72 kabla ya yai kutoka katika ovaries mtwanamke anaweza kudungwa mimba. Mfano kama yai linatoka tarehe 13, basi ukifanya tenbdo la ndoa siku ya tarehe 13,12,11,10 zote unaweza pata mimba - kwa hiyo hizi huitwa siku za mimba (fertile days), tofautisha na siku za hatari ambazo ni kuanzia siku yai limetoka na siku kadhaa baada ya yai kutoka.  *KWA NINI BAADHI YA WANANDOA HUCHELEWA KUTUNGA MIMBA* ? Kupata mtoto...

SOMO : KUELEWA SIKU AU DALILI ZA KUKUJULISHA Upo Tayari Kupata mimba

*SOMO:NJISI YA KUELEWA SIKU ZA KUPATA MIMBA* Na Sababu zinazofanya Wanandoa wasizaye haraka kutokujua Elimu hii Ufunuo:12:2 Isaya 26:17 Ayubu:3:3 YAI KUPEVUKA HUA HATUA YA KWANZA KUIJU Yai la Mwanamke hupevuka siku 14 kabla ya ya siku ya bleed. Hii ni siku muhimu sana kwa wana ndoa kuijua. Siku hii yai huwa linakuwa limeshakomaa na tayari limeshatoka katika nyumba yake ya mayai (ovaries) na kuelekea katika mirija ya uzazi (fallopian tube) tayari kukutana na mbegu ya kiume. Na kumbuka mbegu za kiume huishi muda wa masaa angalau 72 kwa hiyo muda wowote ndani ya masaa 72 kabla ya yai kutoka katika ovaries mtwanamke anaweza kudungwa mimba. Mfano kama yai linatoka tarehe 13, basi ukifanya tenbdo la ndoa siku ya tarehe 13,12,11,10 zote unaweza pata mimba - kwa hiyo hizi huitwa siku za mimba (fertile days), tofautisha na siku za hatari ambazo ni kuanzia siku yai limetoka na siku kadhaa baada ya yai kutoka.  *KWA NINI BAADHI YA WANANDOA HUCHELEWA KUTUNGA MIMBA* ? Kupata mtoto...

SOMO : MAHUSIANO KUJUA MCHUMBA MWENYE MALENGO NAWE

*SOMO: HATUA  NZURI  ZA  KUMJUA MCHUMBA WAKO ALIYE NA LENGO NAWE* Vitabu vya Biblia tunaongozwa na Zaburi 119:9 Torati 22:23-28 Mithali 7:7 Muda au Wakati mzuri wa kumjua huyu kweli ni mchumba wangu  Hakikisha Uwe Umefata Hatua hizi za Kutunza Uchumba wenu usivunjike Asiwe mtu wa kutaka mzini Kabla ya hatua hizi mabint na wavulana hufikiri kuzini Kabla ya kutabulishana ni nzuri huwa ni dhambi kumbwa ambayo hupelekea mtu asiolewe au kuoa anakuwa anaanzisha mahusiano yake hayadumu 1: *Hatua Ya Kwanza Mtambulishe kwa Marafiki Zako* Hii huwa mmekaa miezi 4-6 Katika uhusiano bila kuzini na mkiwa mnachunguzana na kujuana mapungufu yenu 2: *Hatua ya Pili  Mtafute mtu atakayekuwa anakuongoza na kukushauri mwenye uzoefu wa mahusiano au mchungaji* Hii huwa mkishafikisha Miezi 6 YA uhusiano wenu au unaweza ukawa na Mlezi wako WA mahusiano utakayemweleza Kila kitu utakayemwamini wewe Bint au Mvulana  waweza kumwambia mchungaji au rafiki yako 3: *Hatua Ya Tatu...

SOMO NJISI YA KUHESABU MZUNGUKO WA HEDHI

  Siku za hatari za mwanamke ni zipi? Hizi ni siku ambazo mwanamke akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda kama ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo. Utazijuaje siku hizo? Kwanza kabisa ili ujue siku zako za hatari lazima ujue idadi ya siku za mzunguko wako. Kuna aina tatu za mzunguko.. mzunguko mrefu ambao unachukua siku 35, mzunguko mfupi unaochukua siku 25 na ule wa kawaida unaochukua siku 28 na ndio mzunguko ambao watu wengi wanao. Unajuaje mzunguko wako? Hesabu siku tangu siku ile ya kwanza uliyoona siku zako za hedhi mpaka siku moja kabla ya kuona siku zako za hedhi zinazofuata. Unashauriwa uchukue miezi mitatu mpaka sita ukihesabu ili ue na uhakika kwamba mzunguko wa tarehe zako haubadiliki, kama umeshahesabu siku za nyuma kabla ya kusoma makala hii ni vizuri pia. Mfano umeanza kuona siku zako tarehe moja mwezi wa nne alafu ziko zako zingine ukaziona tarehe 29 mwezi wa nne, chukua 29 toa 1 utapata...

SOMO :NJISI UKIMWI UNAVYOPONYWA NDANI YA Yesu

*SOMO, :KANISA NA UKIMWI* YEREMIA 32:27 Zaburi,, 103:3-4 Ukimwi ni uharibifu wa kinga mwilini Ni ugonjwa unaosababishwa na Virusi viitwavyo H. I. V human immunodeficiency virusi UKIMWI "uligudulika rasimi mwaka,, 1980/1980 Huko marekani  Florida San Francisco Mwaka, 1983 uliingia Africa ya Kati mwaka 1986" uliingia  Tanzania na mtu wa kwanza alipatikana kagera ugonjwa huu ulienea kwa kasi na kuua watu wengi UGONJWA HUU mara ya kwanza kutokana na mafundisho ya wachungaji wengi waliwaaminisha wa kristo kuwa mtu aliyeokoka anaweza asipate h. I. V KITU AMBACHO KILIWANJENGEA WENGI KUAMINI KUWA ni Pepo wapo wengine walikufa kutokana na kukatazwa wasinywe dawa au kufata Ushauri wa madokta pasipo kuelewa Dhambi huzaa magonjwa na magonjwa huleta mauti Na hii Husababishwa na dhambi ya uzinzi kwa Wanandoa au walio katika mahusiano Hali hii huwa dhambi ya kuitafuta mwenyewe  na  mtu huyu anaweza kusababisha hata mtoto kuzaliwa na tatizo hilo mtoto huwa Hana hatia kosa h...

SOMO :NJISI YA KUMSAIDIA BINT ALIYEZALIA NYUMBANI ILI IAKAOLEWE

*SOMO :NJISI YA KUMSAINDIA BINT ALIYEZAA KATIKA UZINZI NA MWANAUME ALIYEKATAA MIMBA* Yohana 8:1-11 4:6-19 Mwanzo 39:7-12 Mathayo 18:17-18 Matatizo ya Mabint wengi Kuzaa nje ya ndoa au nje imekithiri sana kwa wanaomjua MUNGU Na wanazaa na wapagani kabisa Hali ambayo Husababisha watelekezwe au kuachwa wakiwa na Mimba Hali hii huwa wote wanakuwa wameingia kwenye dhambi ya uzinzi  Au kuharibiana Malengo yao Hali ambayo husababisha Kutokuoa au kuolewa kwa kuwa mtu Mzinzi akianza kuacha huwa kazi sana Na kutokana wote wanakuwa vipofu wa kiroho  wanaweza kuendelea kutenda dhambi kwa kushauriana 1:Toa mimba 2:Kutoroshana 3:Kukimbilia Mjini ili kukwepa aibu 4:Kuwa na huruka hiyo Kila mtoto na Baba yake *JE NI DHAMBI KUZAA NJE YA NDOA Kuzaa na mwanaume ambaye hamjatambulishana na kutoleana Mahali ni dhambi* Ndio mwanaume na mwanamke huwa wanatenda dhambi na Hali hii huwafanya wasioe au kuolewa kwa kuwa humrusu Pepo wa kuvunja mahusiano kutokuelewa au kuoa kupitia uzinzi ndio...

SOMO :KUTODUMU KWA MAHUSIANO unaanzisha mahusiano yanavunjika ndoa kuvunjika

Bwana YESU Asiwe watoto Wa MUNGU Karibu kwa majina Naitwa  PASTOR RICHARD SOMO LETU  linaongozwa na vitabu hivi . Kutoka:34:15-16   2wafalme:9:22    HOSEA 2:2     Ezekieli 23:35,45   2Petro :2:14 SOMO hili litakuf ungua KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO HUWA SIO HALI YJAMBOA KAWAIDA AU  LA KUCHUKULIA KIMAMZAHA USIOMBEWE TATIZO LA  WALIOPENDANA KUACHANA huwa ni njia za shetani ambazo huzitumia kwa kutumia roho zinazomfanya mtu Awe kwanzo kwa  mwezake na hii imefaulu kwa watoto wengi wa MUNGU  shetani kuvuruga na kuyaachanisha  mahusiano yao Juu ya watu waliowapenda na kufikiri hawa ni chunguo sahihi kwa kuwa kazi ya shetani ni uharibifu huwa siku zote yeye hupingana na angizo la Mungu Na hii huwasumbua sana watu ambao hawajasimama kiroho au kutambua kuwa  shetani YUPO na mabint na vijana wengi wameishia Kuumiza au kuumizwa  MAMBO  YANAYO MFANYA  SHETANI  APATE  NAFASI Huwa ni Pale wewe...

TUMIA AKILI IPASAVYO

✔✔ *SOMO :  TUMIA  AKILI  IPASAVYO* 1 koritho 2:11-14 Rumi 1:21-22 Akili ni sehemu Moja wapo aliyopewa mwanadamu avitumie ili kuishinda tamaa na hila za shetani ila akili  Pekee haiwezi lazima apate  msaada wa  Roho Mtakatifu bila msaada wa  Roho Mtakatifu akili Huenda kumpotosha na inapompeleka tofauti ni  Pale huyu  Mwanadamu anapoanza kujiuliza haya  maswali au kuongea haya 1-Hakuna MUNGU au  MUNGU hawezi Tenda hilo 2:MUNGU  Anakubaliana na uovu au kumliganisha au kumchunguza tabua ukimuona Mtu wa hivi Amekwishapotea akili yake imempoteza wengine humtafit MUNGU Na kujiuliza Juu ya Uweza wake Naposema Tumia  Akili  au  Uwe  Na Akili ya kupambanua vitu  kujitambua Wewe ni mtoto wa kifalme ukasimama na Mungu  Hakuna kushindwa 1:Tambua wewe na nani usijiliganishe na watu ambao hawajapata ufahamu wa kumjua MUNGU  Yaani  Kuokoka wakaachana na Yale ya nyuma Ukijielewa hil...

SOMO: SHETANI , IBILISI

👆🏽✔ *SOMO: SHETANI (IBILISI)* EZEKIELI :28:12_18 MATHAYO 13:39 Shetani ni nani? Shetani huwa ni kiumbe aliyeumbwa  na  Mungu   pia ni Malaika aliyeasi na kutupwa hapa duniani  Mambo ya kujua ni haya Kuhusu shetani 1:Aliumbwa akiwa mkamilifu Alikuwa mmoja wa makerubi Mbinguni hawa ni Malaika waliozunguka kiti cha enzi Mbinguni EZEKIELI 28:12-14 ALIKUWA NA KILA SIFA  ALIKUWA MCHA MUNGU  ANAYESIFU UTUKUFU WA MUNGU ALIKUWA NA HESHIMA KUMBWA ALIYOPEWA  KATIKA YA MAKERUBI KULE MBINGUNI EZ. 28:13 , 2:KUAGUKA KWA SHETANI Shetani alipoona Anaongoza sifa kumwinua MUNGU kuwa ameheshimishwa katika ya Malaika wengine aliingiwa na Sifa hizi -Dhambi yake Aliaza kiburi na Jeuri nyingi kama ilivyo Leo anapowaingia watu huwa wanasahau walikotoka hata mtu akiinuliwa tu kidogo anaanza dharau au mtoto wa kiroho Anakuwa hivi huwa shetani anaanza kumtumia Alijitazamia alivyo Mzuri Kuinuliwa kwake Hekima yake Mithali 16:18 3 *:BA...

MAOMBI MBALIMBALI Ingia hapa

🌳🌳 *MAOMBI  MBALI MBALI*🌳🌳 *1:Maombi yakufuguliwa* 2:coritho 10:3-6 Mambo ya kuzingatia uingiapo maombi haya a. TOBA YA KWELI b, Kumkiri Kristo (Uokoke uachane na Yale ya kale na Uwe mfatiliaji wa Mafundisho na injili kuihubiri kwa wengi 3:Imani Uwe na Imani Baada ya  Kujichunguza ukajiona upo nayo hii rahisi kufughuliwa Anza na  maombi haya kuombea kufuguka kwa matatizo yako 1:Agalia Tatizo linalokutesa huwa linaanzia wapi 2:Jiulize kwanini huwa hivyo 3:majibu unayopata Sasa ANZA kuomba kwa kufuga mlango unaoingiza Tatizo Maombi Yake Baba Ansate Katika jina la Yesu  Ninaomba nisamehe Baba nimekukosea sana ndio maana maisha yangu yamevurugika mimi mwanao___Natubu najuta naahidi sitakuacha tena nakataa hali___YA mimi(Taja Hali iliyokufuga au iliyomfunga unayemuombea)  nafugulia Afya nakufuga hali ya___sitaki niishi maisha hayo katika jina la Yesu Mnazareth Amen Hakikisha unalikataa Tatizo na Roho zote zilizoshika wew...