USHUHUDA WA MCHUNGAJI RICHARD KUKAA MIENZI 9 BILA KULA WALA KUNYWA
NAITWA MCHUNGAJI RICHARD LEO NATAKA NIKUSHUDIE KIPENGELE KIMOJA ALICHONIPITISHA MUNGU AKIWA ANANIITA KATIKA HUDUMA YAKE. nilipitia wakati wakushangaza wengi niliungua sana nikawa nikiletewa chakula nikitaka tu kukila chakula kinabadilika wanakuwa funza wachooni na kimwanga nikiletewa chai inakuwa damu nilikaa kwa mateso mienzi 9 sili wala kunywa kutokana na kutokula nilikonda sana nikawa mtu wakuongeshwa na bibi yangu watu wakija wanasema huyu atakufa haponi wajomba zangu wajomba zangu wakawa wanamwambia bibi yangu unahangaika nini huyu anakufa tu majirani masister marafiki zangu walifika wakati huo nilikuwa rc niliumia sana mpaka baba yangu alinikatia tamaa kabisa mzazi wangu alituzimia simu bibi alinitia moyo mjukuu wangu nitakuwa nawe mpaka hatua za mwisho bibi nilimwambia usilie nitavuka tu huu wakati wangu wakujaribiwa. MUNGU AKAINUA WATU WAJE KUSAIDIANA NA BIBI. mungu akanyanyua mabint wawili niliokuwa nmezoeana dada mdogo wetu kuishi na watu viz...