Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2021

SOMO:UADAJI WA MAHUBIRI

SOMO: UADAAJI WA MAHUBIRI Uadaaji Ni Nini? Ni uwekaji Na mpagilio wa masomo utakayo hubiri. MUBIRI Ni muwasilishaji wa Jumbe za Kibiblia kwa usahihi kwa ajili ya kuonya Kundi na Kuongoza Kundi. SIFA ZA MUHUBIRI 1Timotheo;3;1-7 1:Asiyelaumika mstari;2 Awe mtu mwenye Ushuhuda mzuri kwa Watu na Kwake mwenyewe asiwe mtu mwenye kujiona mtenda Dhambi au mchafu akijikangua ajione msafi Hana doa 2:Mwenye Kiasi na Busara Utumie Busara na Kiasi katika chakula Kama utakaribishwa kula usile Sana au Usiwe na Tabia au SIFA chafu kwa Kundi unalolihubiria 3:MKARIBISHAJI Kuwa mtu wa kula pamoja na Waumini wako na waliokuzunguka pia Ukitembelewa wageni wakaribishe wape pakukaa au waelekeze Usitembelewe na wageni unawaagalia tu. 4:AJUE KUFUNDISHA. Lazima mhubiri awe mwalimu mtu anaejua kufundisha 5:ANAEJUA KUJISIMAMIA MWENYEWE NA KUJITOA MWENYEWE Mhubiri anapaswa ajue kujicontro mwenyewe katika maisha Yake Ya Damu na Nyama pia kiroho awe vizuri amesimama. 6:ASIYEPENDA FEDHA AU MALI ZA WAUM...

SOMO; MAWAZO MABAYA YAONDOE

SOMO:MAWAZO MABAYA YAONDOE LEO ILI UPONE TATIZO LAKO. Kuna wakati unajiuliza Kwanini haya yanatokea Kwanini MATATIZO ndio hayaishi nimeomba Nimeombewa Kwa Pastor Richard Na Kwingine Bado TU Sifunguliwi Nataka Nikuambie MAWAZO Yako Yanasababisha uendelee Kuteseka mfano wewe Umeambiwa Utazaa Moyoni unaanza kuwaza ananitia moyo TU Pastor Richard kakuambia mwaka huu utaolewa wewe Unaanza kuwaza mchumba wako anayekusumbua ajirudi akuoe mme Yupo ukiondoa Mawazo Afya IPO ukiondoa Mawazo. Mawazo Ni silaha Kubwa Adui Anayoitumia ili Kukuagamiza Kiroho mapepo Majini hutumwa kwenye Mawazo yakupe kuwaza mabaya Kukata Tamaa kuombaomba Kukiri Umeshindwa Kikri Mimi dhaifu Nataka Nikukaribishe Somo Hili Hakika hutabaki Kama ulivyo Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️...

SOMO;; UTAFIKA

SOMO:;UTAFIKA TUFUNUE Biblia Zetu Tusome 1Samweli:10;5 Yeremia:51:33 Mika;1;15, ✔️ Ayubu:5:26👉🏿✔️38:11 Kuna Mtu mmoja akawa analia Kila akinipigia Simu Anasema Pastor Richard Mimi Ni ninashida ngani mbona Kila mwanaume ananiumiza tu nimekuja Hapo Nzega Ulipokuja nikaamini nikikuona tu sitakaa muda mrefu bila Kuolewa lakini umeniombea ndio Yule mchumba niliyekuambia Yeye alikuwa akinisaidia Ameniacha Sasa kila nikiingia mtandaoni naona Wezangu wanashuhudia Mimi lini nitaolewa. Nami dada nilimjibu Fika Morogoro Veta Dakawa Madhabahu hii ya Moto wa Yesu akasema Mimi nipo Kazini Ni Mwalimu siwezi Kufika Kwani Mungu anaumbali SI Uniombee hata huku nitapokea Nikasema Bint nimesema Fika Kanisani Morogoro Veta Dakawa Sasa Kama Nipo mbali siwezi Kuombewa Mpaka nifike nikamjibu nyumbani Ni nyumbani Madhabahuni ukifika unajiconect na Nguvu ya Mungu nakumfanya Mungu aseme na Mtumishi juu ya Tatizo lako kujua chazo na nguvu ya Madhabahu kanisani nitofa...

SOMO: Kusudi

                              👉🏿SOMO: KUSUDI✍🏼 Isaya:14:27 Ezekiel:38:10 1Petro:3;7 1Wakoritho:9:23 2Wakoritho:9:7 Wafilipi:2:13 Waebrania:4;12 ,10:9 Mwanzo:6;5 KUSUDI Ni somo au nakala inayolenga Kukupa picha nakukufungua wewe ambaye Hutaki Kusundi la Mungu likae ndani mwako umelitupa nje kusudi la Mungu nakushikilia Kusudi mbaya Somo hili litaponya Nafsi yako litaponya maisha Yako. Ukijua Kusudi la Mungu ndani mwako hutahagaika.Naitwa Bishop Richard Nakukaribisha KUSUDI NI NINI? Kusudi ni Lengo kuu. Lengo kuu Ni Nini? Ni njia inayobebelea maono yako ya Baadae matarajio yako. DHIMA YETU MOTO WA YESU 👉🏿 Kuadaa watumishi wenye nguvu yakutumika katika Roho. LENGO;-Watu Tuwafundishe ili wajikomboe wenyewe Kutoka kwenye Mateso na Vifungo KUNA MAKUDI MATATU YA KUSUDI. 1:Kusudi linaloongea ...

SOMO WANANDOA MPATANE

              DARASA LA WANANDOA SOMO👉🏿 WANANDOA MNATAKIWA KUPATANA. Mathayo:20:13 Marko:14;56 Mithali:9;9 KUPATANA Ni Kuelewana kwa Wanandoa Ili muweze kuishi vizuri ndani ya ndoa huwa MNATAKIWA mpatane Kwa haya Naitwa Pastor Richard Mwalimu wa Wanandoa Somo Hili linahusu miaka 18-60 1:KUPATANA KWA MIPANGO YENU Mipango Ni mikakati yenye Kuleta Maendeleo na kuifanya ndoa Yenu Iwe na Msingi mzuri wa Maendeleo nakuinuka Kiuchumi. 2: KUPATANA KWA MATUMIZI YA PESA Wanandoa MNATAKIWA mpatane katika matumizi ya Pesa nakudhibiti matumizi yasiyo ya lazima kuweka bajeti Yenu  Na Kupangilia Nini mfanye Nini msifanye kwa muda huo. 3: KUPATANA KWA UZAZI. Mnatakiwa Wanandoa mzae Watoto mtakaoweza Kuwalea nakuwatuza Vizuri msizae tu Watoto bila mpagilio au kuangalia Uwezo wa kuwasomesha na kuwatunza 4:KUPATANA KWA IMANI. Wanandoa MNATAKIWA mpatane maswala ya imani kila mmoja awe huru kuweka wazi kadiri Im...

Madhara ya Dawa Ya P2 Yakuzuia Mimba

DARASA LA WANANDOA SOMO: MADHARA YA KUTUMIA DAWA YA KUZUIA MIMBA P2 Kuna Dada mmoja alinifata inbox nakuniomba nifundishe Madhara yanayotokana matumizi ya P2 Mithali : Mlango 9 9 Mwelimishe mwenye hekima, naye atazidi kuwa na hekima;Mfundishe mwenye haki, naye atazidi kuwa na elimu Haya ni Madhara ya Kutumia Dawa za Kuzuia Mimba (P2) Watu wegi hasa vijana watakuwa wanafahamu dawa ambazo hutumiwa sana kuzuia ujauzito pale ambapo wapenzi wamejamiiana ndani ya siku za hatari. Dawa hizi zipo za aina nyingi kama vile, P2, Morning After Pill na kadhalika. Endapo wawili hawa wanakuwa hawapo tayari kupata mtoto, na wanaona kwamba siku walizojamiiana zitapelekea mwanamke huyo kutunga mimba, basi anaweza kutumia p2 ambayo inaharibu mazingira au uwezekano wa mimba kutungwa. . Dawa hii Wanaume na Wanawake wengi watakuwa wanaijua nataka nifundishe Yamkini nawe Upo unanifatilia umekuwa ukimeza dawa Hizi Usielewe Zinamadhara. MADHARA YA DAWA YA KUZUIA KUTUNGWA KWA MIMBA P2 1;Madhara Ya Kwanz...

MAMBO 30 YA KUFANYA NDOA IWE NA FURAHA

" NITAKUFUNDISHA NA KUKUONYESHA NJIA UTAKAYOIENDEA ,NITAKUSHAURI JICHO LANGU LIKIKUTAZAMA ZABURI 32:8 " MAMBO 30 YANAYOWEZA KUBORESHA NDOA YA MKRISTO MBINU 30 ZA KUFANYA NDOA IWE YENYE FURAHA NA AMANI 1. KUFAHAMIANA /KUSOMANA VIZURI (Knowing self and knowing your partner) Mhubiri 4:9-12 Afadhali wawili kuliko mmoja maana wapata ijara njema kwa kazi yao Ebrania 13:4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi Kila mwanandoa anapaswa kujitambua kwanza halafu atambue mambo mwenzi wake anayoyapenda na mambo asiyoyapenda  1.      KUSHIRIKIANA,KUPATANA,KUKUBALIANA,KUGAWANA (SHARING ,COOPERATION) Wenzi wa ndoa wanatakiwa kushirikiana katika mambo yote siyo kushindana (Cooperation not competition) Wanashirikiana katika:  a)Mipango ya pamoja : Bajeti Matembezi Aina ya uvaaji Chakula –kula pamoja ,ratiba ya chakula ya pamoja Vinywaji Mapato na matumizi Kulea watoto Miradi Biashara Kazi b)Kusaidia familia zao za pande ...

SOMO; KUPISHANA KWA MIAKA WATU WANAPOOANA

DARASA LA WANANDOA SOMO: MIAKA MNAYOPASWA MPISHANE MKITAKA KUINGIA NDOA. Mwanzo;17;17 1Timotheo;5;9 Habarini Wanandoa Poleni na Machukumu Ya Kupambana Ada Wegine mpaka Sasa Watoto Bado hawajaenda nawaombea Sana. Basi niwakaribishe Wote Wawili Mwanamke na Mwanaume Leo Nataka Tuongelee Mada hii👉🏿👉🏿HIVI MWANAMKE UKIOLEWA UNATAKIWA MWANAMME AKUZIDI MIAKA unajua KWANINI hamtakiwi MPISHANE Sana umri mkawa mnaleta maswali wale vipi ??? Basi Karibu SI Unataka UJIFUNZE ili usije ukatolewa na Kababu Ukatuambiasha Wanandoa wezako au ukatolewa na Katoto Wewe mdada mkubwa Kabisa Bint mmoja nikawa nimefika nyumbani kwake huko kwa Ajili ya kusuhulisha ndoa Yake Bint anamiaka 25 Mwanaume anamiaka 37 Ugomvi Kila Siku Nilifanikiwa kuirejesha ndoa hii Naitwa Mwalimu wa Wanandoa👉🏿 Nipo Morogoro Veta Dakawa 👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼 MASWALI 1:KUPISHANA UMRI NDIO NINI...? Kwa Ajili muweze kuelewana na kulea familia iliyobora 2::KWANI KWA MUNGU ANAAGALIA U...

SOMO:UKOMO wa KUZAA KIBIBLIA

DARASA LA WANANDOA. SOMO: UKOMO WA MWANAMKE KUZAA NA MWANAUME KUZlLISHA. Karibu mwanandoa Leo nataka Tuelimishane Kibiblia mwisho wa kuzaa Kipindi hicho au umri huo ukifika huwezi kuzaa Tena. Mimi napenda Nikukaribishe mwanandoa Wewe Ambaye hujabahatika Kupata Mtoto au Uliyekuwa umekata Tamaa unasema umri umeenda. Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Simu hizi Piga Jioni Saa 12:00  kwa Simu+255759861768 1; MWANAMKE UMRI WA KUKOMA KUZAA NI MIAKA 80 Biblia inaeleza mwanamke Kukoma umwanamke wake na Kuweka Asilimia Kuwa Yeye Hawezi Kuzaa Tena Mungu Anasema miaka 80 Na mwanamke anaweza akawa Bado anaona hedhi na Siku zake hii huwa Inasimama hivyo Kwa Mungu wetu. USHAURI Unashauriwa uzae ukiwa na umri wa miaka 25 mpaka 60 ikivuka Ni heri ukaacha kwa Ajili ya Kiafya na umri wa kukaa na Mtoto 2;MWANAMME UMRI WA KUKOMA KUZALISHA 90 Biblia inasema mwanamke wa miaka 90 anaweza Kuzalisha na hi IPO Kibiblia Lakini pia inatia moyo kwa Wanandoa Wengi waliochelewa Kuzaa na ...

DARASA LA VIJANA NA WATOTO

DARASA LA VIJANA NA WATOTO SOMO: KIJANA THAMANI YAKE AKIOKOKA NDANI YA KANISA HATA KATIKA JAMII. Karibu Tunaongelea Leo Thamani Ya Kijana mkristo Nafasi Yake kibiblia na mbele za Mungu. Kijana huandamwa na Tamaa mbalimbali na Changamoto za utafutaji Zinazomfanya Aishi mbali na Mungu Kutokana na Kuwa na muda mchache wa Kupumzika Mungu anatambua Kijana husumbuliwa na Tamaa za Pesa Mali Ujana Ukisoma 2Timotheo:2:22 Karibu Katika Darasa Hili Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa MAMBO SABA YA MSINGI YA KUKUSAIDIA KUTAMBUA THAMANI NA NAFASI YAKO KAMA KIJANA MKRISTO 1.  Ni vizuri ufahamu kwamba KABLA HAUJAZALIWA Mungu alishakujua na aliweka tayari KUSUDI,  NYAKATI, na UWEZO ndani yako maalum kwa ajili ya KANISA.{Yeremia 1:5; Zaburi 139:13,15,16;} Kijana unatakiwa ujue Kusundi ambalo Mungu amekuitia Kama Ni kuimba imba Kama Ni uchungaji uinjilist Tumika Kwa Kujitoa Kweli Kweli Usiishi maisha ya Kikristo bila kujua Kusundi lako 2. Tambua kuwa hakuna Rika lililopew...