Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2022

SOMO;MAOMBI 46 YA KUMTEKETEZA SHETANI

SOMO;MAOMBI YA KUMTEKETEZA SHETANI: NA NGUVU ZAKA Vitabu vya Kusimamia Tusome 2Wakoritho;10;3-6 Maombolezo;3;33 Yeremia;29;11-14 Omba rudiarudia mara 5 kila ombi Muda tulivu ndio uombe Naitwa Pastor Richard  WhatsApp +255759861768 1. Ninayaharibu na kuyateketeza mamlaka yote aliyopewa shetani na mababu/ mababa, ndugu zangu katika Jina la Yesu. 2. Nina zilaani na kuziteketeza kwa damu ya Yesu roho zote zinazoendelea kutilia mkazo hayo maagano katika maisha yangu na naziteketeza na kuzivunavunja kwa Jina la Yesu. 3. Kitu chochote kilichoingizwa kwenye maisha yangu,kwa mkono wa kipepo, au majini ninakiamuru kiachie kwa JIna la Yesu. 4. Kila aina ya sumu iliyopenyezwa kwenye maisha yangu nina iamuru itoke nje sasa, katika jina la Yesu, nina sukuma nje kwa damu ya Yesu. 5. Ee Bwana Yesu, shusha moto juu ya kila roho ya mauti na kuzimu, iliyoandaliwa kwa ajili yangu, katika jina la Yesu 6. Nina ponda kichwa na kukanyaga kila mkia wa majoka ya kiroho, katika jina la Yesu 7. Upanga wa moto...

SOMO;ACHA KUSIKILIZA MAPEPO

SOMO; ACHA KUYASIKILIZA MAPEPO《 ACHA KUSIKILIZA MAGONJWA, ACHA KUSIKILIZA MATATIZO MSIKILIZE YESU TAYARI AMESHAKUFUNGUA.》》 ●●●●●●□□□□□●●● Vitabu Rejea:1samweli:28:7-10, 1wafalme:22;22-23 Ayubu;4;15, Mathayo;8;30-34 °°°•••••°°°°••••••••▪︎▪︎▪︎°°°°•••°°°°°°° Naitwa Pastor Richard  Ninayekuandalia Somo hili na kuliwasilisha Kwako Leo 30/04/2022 Karibuni Katika Somo hili linalosema[ "ACHA KUSIKILIZA MAPEPO"] Linalenga kukufungua wewe usiyesikia watumishi wanaposema Umefunguliwa Umeponywa ukirudi nyumbani yanaanza mawazo ya kukurudisha kwenye magonjwa tena hizo huwa sauti za MAPEPO zinakufanya Umepona Leo Kesho unaumwa tena Umetoa zaka Leo Kesho unaacha. Ujue unateswa na MAPEPO Soma kwa umakini rudiarudia uelewe vyema. MAANA YA PEPO PEPO Ni Nini? Ni roho chafu zenye umbo la mtu visivyoshikika vipo kama moshi au Upepo. Ni moja ya Jeshi la Shetani linalomshambulia mwanadamu kuzuia malengo afya na maono yake. DALILI ZINAZOKUJULISHA UNASIKILIZA MAPEPO. _________________________________...

SOMO;Uchumi na Kijana

SOMO;Uchumi na Kijana Maana ya Uchumi, Uchumi huweza kuelezewa kama jumla ya shughuli zote za binadamu zinazolenga kutosheleza mahitaji yao, huhusisha uzalishaji, usambazi, na utumiaji wa bidhaa, ikiwa ni pamoja na kutolewa kwa ajili ya huduma mbali mbali, uchumi mara nyingi hutazamwa kwenye ngazi za kijiji, jumuiya, mkoa, taifa au Dunia kwa ujumla. Uchumi ndio hutafsiri uwezo wa kumudu mahitaji. Teknolojia pamoja na utandawazi Teknolojia, ni kukua kwa sayansi ya uzalishaji katika Nyanja mbali mbali ka ma vile, kiuchumi, kisiasa, na kijamii, na utandawazi ni uongezekaji na muunganiko wa kiutendaji katika Nyanja mbali mbali kama vile kisiasa, kijamii, na kiuchumi, mara nyingi teknolojia ndiyo huzaa na kuieneza utandawazi. 2. MATABAKA YA KIUCHUMI DUNIANI ​ Ni ukweli uliodhahiri kuwa utofauti wa kiuchumi katika nchi zetu, ndio unaopelekea hata uchumi wa watu wake wanaoishi humo, Kutokana na utofauti wa uchumi na mafanikio ya nchi zilizopo duniani, Dunia imejikuta katika matabaka ambayo ya...

SOMO; MAFANIKIO KUPITIA PESA ZETU

S OMO;MAFANIKIO KUPITIA PESA ZETU KIBIBLIA Kutumia vyema fedha ambazo Mungu ametupa ni changamoto kubwa katika maisha. Kumbuka kuwa tutatoa hesabu ya vile ambavyo Mungu ameviweka mikononi mwetu. Ni jukumu letu kufanikisha maisha yetu kwa zile fedha ambazo Mungu ametupa, kila mkristo ni lazima ahakikishe anafanikiwa katika suala la uchumi kwa utukufu wa Mungu. Kuna mambo matatu inabidi tuelewe Fedha ni muhimu katika maisha yetu Mipango ya matumizi ya fedha ni muhimu kuliko fedha zenyewe Dhamira na nia yako ya kutumia vizuri fedha zako ni muhimu zaidi katika uwakili wako Sahihi  Mafanikio yanakuja unapokuwa na mtazamo sahihi 1.Jitoe kikamilifu kwa Mungu Mungu alimbariki Abraham kwa sababu alijitoa kikamilifu kwa Mungu, akaacha nchi  yake na kwenda kule Mungu alipomwambia aende bila kujua aendako.  Mwanzo 13:12-18. Ebrania 11:8-10    8Kwa imani Abrahamu alimtii Mungu alipoitwa aende kwenye nchi ambayo Mungu angempa kama urithi. Naye aliondoka akaenda ingawa hakujua...

SOMO;MWILI WENYE PUMZI HAI

Picha
SOMO: MWILI WENYE PUMZI HAI. VITABU;Mwanzo;2:7,6:17,7:15-30 Ezekieli;37:5-12                ●UTANGULIZI;● Mwili Wenye Pumzi Hai ndio mwili ulio hai hivyohivyo Katika maisha yako Ya Kiroho na Mungu Unaweza Ukawa Umembeba Yesu Aliye hai ndani yako lakini Wewe ulimbeba ukawa Umekufa kiroho unajikuta hata kuiona Faida Ya Uliye Naye Huwezi Kuiona Unajikuta Umekufa Lakini Unatembea Nafsi Yako Imekufa Tayari. Karibuni Katika Somo Hili.             TUOMBE; Baba Naachilia Ufahamu na Uelewa Kwa Watoto wako wakaelewe Ninapofundisha Somo hili Ukaachilie Pumzi Kwa Mtu aliyekufa akawe hai katika jina la Yesu. Amen PUMZI HAI NINI ? Ni nguvu inayopewa kitu Kilichokufa au Sanamu iweze kujiendesha nakusimama kuongea nakujitambua. MAANA YA NENO PUMZI HAI. Nikufufua kitu kilichokufa. KUNA VIASHILIA AU DALILI UNATAKIWA UZIJUE ILI KUJIELEWA UNAHAI NDANI YAKO AU ULISHAKUFA ZAMANI.  1:Uhai wa Milango Yako Ya Ufahamu  Am...

SOMO● MISINGI 3 YA MAISHA YAKO KUFAULU.

SOMO● MISINGI 3 YA MAISHA YAKO KUFAULU. UTANGULIZI; Kuna misingi mitatu unayopasa uitumie au kuiishi nakuijua Maisha Yanaitaji uyawekee misingi ili ufike mbali. Maana YA Msingi; Ni kuanzia chakulifanya jambo lisimame Karibu Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  °°°•••••°°°°••••••°°°°°••••°°•••••°°°••••• 1:MSINGI WA KWANZA; ●WAZO. Wazo; Huwa ndio msingi wa kwanza kuvuka katika maisha yako. a)Yaani Jiulize Wewe Ni nani Unapaswa uwe wapi na ufanye nini. b)Unapopata majibu ya maswali haya. Anza kujiuliza nafikaje nifanye nini nifikie wazo langu. SOMA mithali;16:3 Mithali;21;5 2:Msingi wa Pili: Connections na Watu,Mawasiliano na Watu, Maisha yanaitaji uwe na mawasiliano na watu wengine kupeana taarifaa ya furusa mbalimbali Na hii itakufanya ufike mbali Kimaisha Kuna watu mmefungwa hamupigi Hatua kwa kuwa hamna Connection. Soma; Waefeso;3:2-6 3:Msingi wa Tatu; Imani Kwa imani kila kitu huwa tunafanya na Tumechukua hatua hata tunafikia malengo kwa imani Hebu Thubutu Kuchu...

SOMO;MUNGU WA FOMULA

SOMO ;●MUNGU WA KANUNI KATIKA UTENDAJI WAKE  ___------____-----____--____------___^^^^^^^***** Mungu wetu hutumia Kanuni rahisi Sana Kutembea nasisi Watoto Wake Isipokuwa sisi Wanae hatuna Uelewa Kuhusu Fomula au Kanuni Za Mungu Basi Nakukaribisha Baadhi Naenda Kuzieleza. Karibuni Tujifunze Kanuni za Kimungu Katika Kitembea naye. 1:UKIKATA TAMAA KANUNI YA MUNGU ANAKUACHA KUKUTETEA UNASHINDWA NA ADUI USIJIBIWE ULICHOOMBA. MAOMBI YAKO ANAMJIBU AMBAYE HAJAKATA TAMAA. Wewe anakuacha na hivyo mpaka uje uache kukata tamaa au kumunug,unikia Mhubiri 2:20 [20]Kwa hiyo nikageuka kukata tamaa moyoni mwangu juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua.  2:USIPOOMBA MUNGU  HAKUPI HITAJI LAKO KANUNI YA MUNGU HAKUPI HAJA YAKO KAMA HUOMBI  ANAMPA AOMBAYE  NDIYO ANAMJIBU WALA HAJISHUGHULISHI NAWE AMBAYE HUTAKI KUJISHUGHULISHA NAE  Ukimuomba lazima Akupe utakacho au haki yako  Yohana 15:7 [7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, o...

SOMO: NGUDUA KUSUDI LAKO NDANI YAKO

SOMO;NGUDUA KUSUDI LAKO NDANI YAKO. NAITWA PASTOR RICHARD  NIPO MOROGORO VETA DAKAWA  ■■■■■■■♤♤♤♤♡♡♡♡♡ Kuna mambo unatakiwa unajua ili kujua Kusudi lako na Kusimamia Kusudi uliloitiwa. Kila unachokiona Kipo hivyo unavyokiona kimekaa kwa kusudi mwalimu mbele za Mungu mfano Samaki anapozaliwa Hujua kuongelea ndani ya maji kwa kuwa kusudi aliloumbiwa akae ndani ya maji na aongelee. MAMBO HAYA YATAKUFANYA KUJUA KUSUDI  LAKO. 1:Sababu Ya Mungu Kukuumba ni Nini? Jiulize Kwanini ulizaliwa na familia hiyo na wazazi hao kwanini hukuzaliwa familia nyigine. 1 Wafalme 5:5 [5]Nami, tazama, nakusudia kujenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wangu, kama BWANA alivyomwambia Daudi baba yangu, akisema, Mwana wako, nitakayemweka katika kiti chake cha enzi mahali pako, ndiye atakayeijenga nyumba kwa jina langu.  And, behold, I purpose to build an house unto the name of the LORD my God, as the LORD spake unto David my father, saying, Thy son, whom I will set upon thy throne in thy room, h...