SOMO; UHUSIANO WA MUNGU NA KIJANA
✍️✍️SOMO✍️UHUSIANO WA MUNGU NA KIJANA: ;MWALIMU Pastor Richard :@2020 Kanisa la Holy Spirit ✍️✍️YALIYOMO✍️✍️ 1:UHUSIANO WA MUNGU NA KIJANA. 2;UJANA NA IMANI 3:INJIRI NA KIJANA 4:UCHUMI NA KIJANA 5:NDOA NA KIJANA 6: HITIMISHO Nakukaribisha Kijana Ujifunze Jinsi Wewe ulivyowathamani na Mungu amezungumzaje kuhusu wewe kijana Nakala hii UTAJIFUNZA Mengi Soma kwa utulivu tu Nakala hii. 1; UHUSIANO WA KIJANA NA MUNGU👉👉IMeandikwa:Muhubiri;12:1 1 Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako,Kabla hazijaja siku zilizo mbaya,Wala haijakaribia miaka utakaposema,Mimi sina furaha katika hiyo. Kijana Anatakiwa Atengeneze UHUSIANO wake Na Mungu Akiwa Bado kijana Amfanye Mungu kuwa Kinga yake Amtumikie Mungu. Kijana Anaweza kutengeneza Uhusia Wake Na Mungu Kwa Kufundishwa Neno la Mungu na Kulitii Neno linavyomuongoza nakutii ibada Yeye na Mungu muda kuuzingatia wa Kuingia ibadani na Kutoka. IMeandikwa Zaburi;119:9👉Jinsi gani kijana aisafishe njia yake?Kwa kutii, akilifuata neno lako KIJANA ASAFISHE NJIA...