MAOMBI YA KUBOMOA MADHABAHU YA KALE
MAOMBI NA MAELEKEZO YA KUJIONDOA KWENYE MADHABAHU ZA KALE.AU WENYEJI. Madhabahu za kale Ni tabia ulizokuwa nazo kabla hujafika Veta Dakawa Ukafundishwe Nini maana Ya Madhabahu Ni Mahusiano Yako Kati ya Mungu na mwanadamu au shetani Neno la Kusimamia Kutoka 34:13 [13]Bali utabomoa madhabahu zao, na kuvunja-vunja nguzo zao, na kuyakata-kata maashera yao. MADHABAHU ZA KALE 1:Wizi wa Fungu la Kumi umejua umhimu wa zaka lakini hutoi kisa huna kazi au Mungu Hajibu kwa Wakati anachelewa. ¶Hiyo Ni Madhabahu inayoshikiria hatua zako 2.KUENDELEA KUZINI WAKATI UMETOKA HUKU UKAFUNDISHWA MADHARA YA KUZINI ¶Hiyo Ni Madhabahu Ambayo unaifanya ikushirikilie usivuke. 3.KUKATA TAMAA AU KUNUG,UNIKA ETI MUNGU HAJATENDA. Sasa wewe unataka Madhabahu ngani itapeleka mbele za Mungu au Mungu ngani wa kukata Tamaa maana Yeye Amesema Usihofu wewe Unakuwa na hofu nae na pia hata Tabia zako zinamhubiri shetani Ni ngumu kumshawi Mungu ATENDE kwa mtu aliyekata Tamaa. ¶Hiyo Ni Madhabah...