Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2020

SOMO: MSIDANGANYIKE

SOMO; MSIDANGANYANE AU MTU ASIWADANGANYE. Waefeso;5;6 Waebrania;3;11 Msidanganyike Katika maneno ya Watu wanaopinga imani yako ya kikristo au Watu wa uasi waliomuacha Mungu nakuchangua kuifurahia Dhambi na hazina za Duniani Siku Zote maneno Yenu yawe na Hekima kwa mpumbavu anayewarubuni Kutenda Dhambi. Lengo la SOMO; Ukombozi na Mafundisho ya Neno la Mungu Dhima Yetu MOTO WA YESU;-Kuwafundisha Watu Katika Roho Mtakatifu KUDANGANYANA;- Ni Hali ya kushashiana Katika Kutenda Mambo yachukizayo Kwa Mungu au Ni kinyume Cha Neno "UKWELI" ATHARI KUU ZA KUMDANGANYA MWEZAKO 1:Inakufanya Usiaminike Tena 2;Hufuta Mema Yote Uliotenda 3:Hukushusha Heshima yako 4;Hutaacha Kudanganya 5;Huumbika roho ya uongo. MAMBO MATATU UFANYE UACHE KUDANGANYA 1:Jifunze Neno la Mungu Maana Ni Kweli 2;Kaa na Chukia Kudanganya mwenyewe mhusika. 3;Anza Kujizoesha Kusema Kweli tu VUNJA MAHUSIANO YA UONGO NA UDANGANYIFU NDANI YAKO. 1;Anza Kujiuliza Kwanini unadanganyika shida Ni Nini 2;Penda N...

SOMO; JINSI MTU ANAVYOVISHWA VAZI LA MATESO NA SHETANI

💪🔥SOMO; MWISHO WA KUVAA VAZI LA MATESO NAKUVAA VAZI JEUPE VAZI LA KUTOKUTESWA TENAaa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Inawezekana Usinielewe au Kujua Kwanini nimeamua Kufundisha Somo Hili Kwa Sababu Mungu Ananiambia Vazi Fungua Wanangu watoke kwenye mavazi wamevishwa Pasipo wao kujua Namhoji Baba Anasema Katika roho Shetani na wachawi hutumia rangi nyekudu au kitambaa kumfunga mtu kichwani au mkononi Na wakimfunga Anapokea mateso Akaniambia SOMA Mathayo : Mlango 27✍️ 28 Wakamvua nguo, wakamvika vazi jekundu👉👉Shetani Anapomvua mwanangu Vazi la Haki Humvisha vazi Jekundu ili wamtese AkasemaVazi La Pili Shetani huwavisha Wanangu Vazi Jeusi Haya mavazi huvishwa Pasipo Kuwaona Adui zao Wakiwavisha Huwa Wanaanza Kupata Lango la kuingiza mangojwa Kufunga Baraka Zao Kufunga Uzazi wao nk ✍️✍️TUSOME VITABU HIVI KWENYE BIBLIA  Isaya;63;1-5 Yakobo;5;2-5 Mathayo;9;16-22 Marko;5;27-29 Kutoka;28;3-20 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Kama Ndio umeanza Kunifatilia Naitwa Pastor Richar...

SOMO;SUMU YA MAJOKA

✍️SOMO; SUMU YA MAJOKA WANAVYOUNGANISHA KUKUTESA NA JINSI YA KUFUNGULIWA UFANYEJE.✍️ 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tufunue Biblia Zetu Tusome Warumi:3:13,Ayubu:20;16, Yakobo;3:8 Zaburi;140;3 🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴 ✍️✍️ Naitwa Pastor Richard Naekuletea SoMo hili Nipo Morogoro Nchini Tanzania Bara la Africa YouTube Unifate Kwa Jina Moto wa Yesu Pastor Richard Simu+255759861768 Tovoti:www.mchungajirichardi.blogspot.com ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍...

SOmO JIFUNZE KUFUNGA MAOMBI YA KUFUNGA

,SOMO; JIFUNZE KUFUNGA MAOMBI YA LETAYO MAJIBU KATIKATI YA PITO NGUMU. Tufunue Vitabu Biblia ,Matendo;14;23 ,2wakoritho;6;5,Zaburi;69;5 Yona;3;5 Isaya;45;5 Kuna Wakati Unaweza Ukawa unafunga unaomba lakini hujibiwi KUMBE ikawafunga yako Ni bure Leo Tunataka Tujifunze Namna ya wewe Kufunga na Kuona Matokeo Maombi haya huwa Kila Ijumaa watoto wote wa Pastor Richard wanafunga Haijarishi ulipo Ijumaa imetengwa Kufunga Nakuomba siku hii Ni mhimu sio useme Mimi nipo Bali Hili Ni patano lenye kutudhihirisha tumeamua kutembea Pamoja katika Maombi inakuwa masaa 12 tu. ✍️✍️👉👉MAMBO HAYA ZINGATIA UNAPOKUWA UMEFUNGA UPO KWENYE MAOMBI ✍️ ✍️ 1;USIKWAZANE NA USIKAE KARIBU NA MTU WA KUKWAZA. 2;KAMA UPO KAZINI JIWEKE BUSY NA KUJITENGA MBALI. 3;USIINGIE MAOMBI YA KUFUNGA UKAKAA NYUMBANI LAZIMA SHERIA YA MAOMBI UENDE KANISANI KATULIE AU NENDA MLIMANI. 4;UKiwa UMEFUNGA Ujue Unaombea Nini Na UMEFUNGA ILI UTATUE TATIZO GANI 5;KAA UWE...

SOMO: WAJIBU WA MTUMISHI WA MUNGU NI KUWAFUNDISHA WATU

✍️SOMO: ✍️WAJIBU NA JUKUMU KUU LA MTUMISHI WA MUNGU.✍️ Tufunue. Biblia 1Timotheo sura ya:4'na 5 Soma Yote Kisha TAFAKARI Neno Ukishasoma Mistari hiyo. Kuna Wakati Watumishi wanapaswa wakumbushwe Kazi Kuu waliyoitiwa ndani Yao  na wajue wajibu wao kwa washirika wao Hata Kondoo wao Pia Na Watoto (waumini )wanapaswa wajue wajibu wao Wanapaswa wafundishwe nakuelekezwa wapaswayo Kufanya na Jinsi yakusimama wao wenyewe Kutatua Matatizo na Kukua kiroho"Ni wajibu wako mshirika kupenda Mafundisho na Kufanyia kazi. Lengo La SoMo; Kuwakumbusha Watumishi wajibu wao na wanafunzi wajibu wao Dhima Yetu MOTO WA YESU; Kuadaa Watumishi wenye nguvu ya kiroho Na Hofu ya Mungu. WAJIBU WA MTUMISHI NDIO NINI,,? Ni Hali inayomfanya Mtumishi ajue kusundi la Mungu ndani yake Nini Ili Kumsaidia Asikengeuke au Kupotosha Kundi au Kondoo Kuwatawanyisha. KUNA WAJIBU AU KAZI MBILI TU ALIOPEWA MTUMISHI WA MUNGU 1;WAJIBU WAKE WA KWANZA; KUFUNDISHA KUNDI. Mtumishi an...

SOMO;JITUNZE na Jisimamie

✍️SOMO:✍️MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOJITUNZA NA KUJISIMAMIA KIROHO FATA HAYA Karibuni Leo Nataka Tufundishane Nguvu ya Kujisimamia wenyewe nakutunza maisha yetu kiroho Kunawatu Wapo wanatamani wasimame watembee wao Kama wait lakini hawawezi kila wakijaribu Kujitunza kiroho wanajichafua Tena kila wanapojichafua Shetani na mapepo yanapata kuwatesa wachawi wanawatesa Kumbe Ni Mtu kuuchafua maisha yake ya kiroho . Sasa Leo Nataka Ujifunze na Ujue Ufanyeje ili usimsme usiyumbeyumbe na Tatizo lako lisikurudie Tena fata haya Kwa Majina Naitwa PASTOR RICHARD Nipo Morogoro Veta Dakawa nchini Tanzania Vitabu rejea;1 Timotheo;4:16 Kutoka;23;21 Ayubu;32:13 Torati;11;16 Soma Vitabu TAFAKARI Kisha endelea kusoma KUJITUNZA Ni Nini Kiroho; Ni Hali yakuishi maisha yasiyo na Mawazo machafu au Kusema Mungu Hawezi. Macho yako yaone ukuu wa Bwana. KUJISIMAMIA NI KITENDO NGANI: Ni Hali ya kuhakikisha maisha yako Mawazo yako na Moyo wako vinamwabudu Mungu nakuchukia Mambo yanakufa...

SOMO:Mambo MATANO YANAYOMFUNGA BINT SAYUNI Asiolewe

🙏MAMBO MATANO YANAYOMFUNGA BINT SAYUNI ASIOLEWE/KIJANA SAYUNI NAE ASIOE NI HAYAPA. Karibuni Vijana Wa Yesu Tujifunze Jambo Hili Linalowatesa Mabint na Vijana Wengi Katika Kupata Usahihi wa Maisha Yao Kijana mwezenu na mjumbe Mwaminifu Wa Yesu Kristo Pastor  Richard Kushoka Nipo Morogoro Nchini Tanzania Kwanza Tujue Bint SAYUNI Ni Nani? Na Kijana wa SAYUNI Ni Nani? rejea Biblia Zaburi;50;2 BINT SAYUNI Ni Mschana mcha Mungu mwenye Hofu ya Mungu ndani Yake Zakaria : 2: 10 Imba, ufurahi, Ee binti Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami nitakaa kati yako, asema BWANA KIJANA SAYUNI:- Ni Kijana wa Kiume mcha Mungu mwenye Hofu ya Mungu Anaempenda Mungu. Zaburi : 99;2 BWANA katika Sayuni ni mkuu,Naye ametukuka juu ya mataifa yote. KUFUNGWA NDIO NINI?? Ni Hali ya wewe kukosa uhuru juu ya Maamuzi yako au unachotakiwa ukifanye. LEO NAWAONGELEA VIJANA WALIOKOKA SABABU YA WAO HAWAOLEWI/HAWAOI NINI CHAZO  Kuna nguvu na Vifungo vitano tu Kwa Bint Vinavyomfanya Asiolewe au Asidumu kwen...