Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2022

SOMO: USIRUHUSU MTU ANGUSE MOYO WAKO

SOMO :USIRUHUSU UNGUSWE MOYO WAKO NA MTU UTUNZE MOYO WAKO MOYO; huwa ndio Chanzo Cha Furahs Kwako au Huzuni. Kupitia Moyo Unaweza kuhisi na Kupata Taarifa YOYOTE. UNATAKIWA HAKIKISHA MOYO WAKO UNAUFANYIA HAYA. 1:LINDA MOYO WAKO KULIKO KIUNGO CHOCHOTE. Usikubali mtu aunguse moyo wako au akupige kwenye moyo maana utaumizwa na kujeruhiwa usiweze Kupata Matibabu ya haraka. Mungu Ametupa Tahadhari Kupitia Kitabu Cha Mithali 4:23 [23]Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima. Zaburi 73:26 [26]Mwili wangu na moyo wangu hupunguka, Bali Mungu ni mwamba wa moyo wangu Na sehemu yangu milele. 2; USIRUHUSU MAWAZO MABAYA YA UNGUSE MOYO WAKO Unaweza Kuupa Mawazo mabaya au Kufikirisha mabaya na Ukajikuta unajiumiza mwenyewe Usiufanye moyo wako uwaze mabaya MUNGU huchukizwa na Mawazo Mabaya. Mwanzo 6:5 [5]BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote. πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ...

AINA ZA CHALE

SOMO: AINA YA MIHURI NA DALILI ZAKE 1)) CHALE ZA KUFANYWA MSUKULE ukiwekea alama hizi, huwa utashangaa unaumwa sana na maumivu yasiyo eleweka,na ndoto zako ni kuota ukifanya kazi ngumu na kuamka umechoka sana na homa isiyo tulia,kama ukienda kwa waganga utaambiwa kuwa una mambo ya kimila ufanyiwe 2 )) CHALE ZA KUKARIBISHWA UCHAWINI jua kwamba wachawi huwa kuna watu huwatamani wajiunge na uchawi,na hivyo huwaalika uchawini, na kuwafanya watu hao wawe na ndoto za kuota wakiwa katika mikusanyiko ya watu na kupika vyakula,na ikitokea umeonekana hutaki uchawi utapewa maradhi ya matumbo na mwili kuwaka moto pamoja na kukosa usingizi,maradhi ya pressure na homa zisizo kwisha 3 CHALE ZA MWILI WA KUFUNDISHIA kuna mtu ambaye mwili wake ni kama uwanja wa mazoezi kwa kufundishia uchawi wanafunzi wao,huyu huwa na ndoto za kula kula usiku,pia huwa magonjwa ya ajabu sana, na hospital hawaoni ugonjwa japo mtu anaumwa sana 4)) CHALE ILI KIVULI CHAKE KITUMIKE kuna mtu ambaye kivuli chake kinatu...

SOMO;KAZI ZA MZEE WA KANISA

SOMO; MAJUKUMU YA MZEE WA KANISA NDANI YA KANISA. 1:Walio na uwezo Wenye kumcha Mungu 2:Watu wa kweli / si wenye ndimi mbili 3:Wenye kuchukia mapato ya udhalimu 4;Wenye kujawa Roho wa Mungu 5;Wenye kujali na kutunza familia zao /mahusiano mema katika familia 6;Wenye kushuhudiwa mema na watu walio njeWatu wasiolaumika 7;Wenye kiasi na busara/hekima Wenye kujali/kufuata utaratibu 8;Si watu wa kujadiliana(:: si watu wa kubishana) 9;Wasiwe wepesi wa hasira 10;Wasiwe watu wa kujipendekeza nafsi zao 11;Walio kielelezo kwa maneno mema na matendo mema, usafi, imani, na upendo. {Kut.18:21; Mdo.6:3; 1Tim.3:1-13; 4:12-16; Tito 1:5-11; 2:1, 7,8} MZEE WA KANISA (::: Mwangalizi wa Kanisa) Ni daraja lenye madaraka makubwa. 👉👉Mzee wa Kanisa Apaswa awe :1.Aliyejitoa kikamilifu kwa Kristo. 👉🏿“Huwezi kuwa na mvuto utakaowabadilisha ...

SOMO; NGUVU YA MAMLAKA

SOMO ; NGUVU YA MAMLAKA ILIYOMO NDANI YAKO INAVYOAMUA HATIMA YA MAISHA YAKO Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro veta Dakawa WhatsApp Number+255759861768 Jumapili Tar 9/1/2022 USHUHUDA Kasemwa alikuwa mtu anayeteseka na Maisha ya magonjwa magonjwa akawa amefika Kanisani H.i.v inamtesa nikamuuliza H.i.v uliipataje akasema Babs Mimi sijui nikamwuliza Nini Tena kinachokusumbua akasema mahusiano Yangu Yanashinda kila mwanaume naye mpata anakuwa Tayari kwenda Kutoa mahari lakini Mimi naongopa kwenda kupima Ndipo nilipoiona MAMLAKA YA UKIMWI Inavyomuendesha 1;Ameipa nafasi mamla ya h.i.v ikae ndani Yake 2:Anataka mamlaka ya Afya iondoke ndani Yake lakini hajui aliipaje Mamlaka hayo nayo inangoma kuondoka 3;Inaanza Kumpangia Wewe hutaolewa Sababu Mimi H.i.v nipo nawe nimekuoa 4;Anaikumbalia Kasemwa anakaa Singo kisa ile mamlaka ya ukimwi IPO Afsnye Nini Sasa Lazima Ajue aliipaje nguvu Kubwa H.i.v Iwe na mamlaka Makubwa ndani Yake Kisha aseme nitaolewa na sitameza dawa au kuisikiliz...

SOMO; KUOKOKA NA MWILI

SOMO: KUOKOKA MWILI NA ROHO  Karibu Tujifunze Pamoja  Somo hili Watu wengi wamekuwa wakiokoka rohoni Miili yao inakuwa bado ni Dhaifu inayoishi kwenye dhambi na Kutenda Dhambi Kwa Kuwa Mwili siku zote ni Adui namba moja Anayemfanya mwanadamu Akosane na Mungu wake. Wapo watu rohoni wapo vizuri wanaomba na mpaka wanawafungua watu wegine lakini miili yao bado inawatumikisha kuwa watumwa wa dhambi na hawana ujasiri wa kusimama kujizuia kutenda dhambi. Hebu fatana na ujumbe huu utakuponya  Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro veta Dakawa MAMBO HAYA HUTOKEA MTU ANAPOOKOKA MWILI (FAIDA ZA KUOKOKA MWILI) 1: MAGONJWA HAYATAKUTE$A KWA KUWA MWILI UMEOKOKA Mithali 3:8 [8]Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako Utaufanya Mwili Wako Uzidi Kupendeza nakunawili kwakuwa umeuepusha. Na Dhambi 2;MWILI WAKO UTAUFANYA USITENDE MABAYA NA HUTAKUWA NA MAJONZI AU KUFANYA YACHUKIZAYO. Mhubiri 11:10 [10]Kwa hiyo ondoa majonzi moyoni mwako, nawe uuondoe ubaya mwilini mwako; kwa...

SOMO: CHANZO CHA IMANI KUULETA MATOKEO

SOMO: CHANZO CHA IMANI KULETA MAJIBU. Kitabu  Warumi;10 9-25 IMANI; Ni uhakika Wa Unachokiongea Kitakuwa Kama ulivyosema. IMANI huwa ili ikupe matokeo au ifanye kitu lazima usikie Mfano; Huna Tatizo unaenda Kupima KWA Daktari Anakuambia wewe hutazaa Kizazi chako kina shinda kwa Kuwa Umesikia Neno Kizazi Kinashinda Kweli Utakuwa na Shinda. ILi Upone Unatakiwa usikie Kizazi chako hakina shida MAMBO YANAYOIFANYA IMANI YAKO ILETE MATOKEO. 1:KUSIKIA NA KUELEWA NENO Tusome;Yohana 5:24 [24]Amin, amin, nawaambia, Yeye alisikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenipeleka yuna uzima wa milele; wala haingii hukumuni, bali amepita kutoka mautini kuingia uzimani. πŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌπŸ‘‡πŸΌ Warumi 10:17 [17]Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo. Kuna maneno mengi utakayoyasikia Kuna a)Maneno Ya Mungu b)Maneno Ya Watu c)Maneno Ya Moyo katika Kuwaza au Kufikiri Katika Maneno Haya Lolote litakalokuwa Nzuri litafanyika na utaliishi Mfano; Uka...

SOMO; NGUVU YA MAMLAKA

SOMO ; NGUVU YA MAMLAKA ILIYOMO NDANI YAKO INAVYOAMUA HATIMA YA MAISHA YAKO Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro veta Dakawa WhatsApp Number+255759861768 Jumapili Tar 9/1/2022 USHUHUDA Kasemwa alikuwa mtu anayeteseka na Maisha ya magonjwa magonjwa akawa amefika Kanisani H.i.v inamtesa nikamuuliza H.i.v uliipataje akasema Babs Mimi sijui nikamwuliza Nini Tena kinachokusumbua akasema mahusiano Yangu Yanashinda kila mwanaume naye mpata anakuwa Tayari kwenda Kutoa mahari lakini Mimi naongopa kwenda kupima Ndipo nilipoiona MAMLAKA YA UKIMWI Inavyomuendesha   1;Ameipa nafasi mamla ya h.i.v ikae ndani Yake 2:Anataka mamlaka ya Afya iondoke ndani Yake lakini hajui aliipaje Mamlaka hayo nayo inangoma kuondoka 3;Inaanza Kumpangia Wewe hutaolewa Sababu Mimi H.i.v nipo nawe nimekuoa 4;Anaikumbalia Kasemwa anakaa Singo kisa ile mamlaka ya ukimwi IPO Afsnye Nini Sasa Lazima Ajue aliipaje nguvu Kubwa H.i.v Iwe na mamlaka Makubwa ndani Yake Kisha aseme nitaolewa na sitameza dawa au kuisi...

SOMO;KAZI ZA MZEE WA KANISA

SOMO; MAJUKUMU YA MZEE WA KANISA NDANI YA KANISA. 1:Walio na uwezo Wenye kumcha Mungu 2:Watu wa kweli / si wenye ndimi mbili 3:Wenye kuchukia mapato ya udhalimu 4;Wenye kujawa Roho wa Mungu 5;Wenye kujali na kutunza familia zao /mahusiano mema katika familia 6;Wenye kushuhudiwa mema na watu walio njeWatu wasiolaumika 7;Wenye kiasi na busara/hekima Wenye kujali/kufuata utaratibu 8;Si watu wa kujadiliana(:: si watu wa kubishana) 9;Wasiwe wepesi wa hasira 10;Wasiwe watu wa kujipendekeza nafsi zao 11;Walio kielelezo kwa maneno mema na matendo mema, usafi, imani, na upendo. {Kut.18:21; Mdo.6:3; 1Tim.3:1-13; 4:12-16; Tito 1:5-11; 2:1, 7,8} MZEE WA KANISA (::: Mwangalizi wa Kanisa) Ni daraja lenye madaraka makubwa. 👉👉Mzee wa Kanisa Apaswa awe :1.Aliyejitoa kikamilifu kwa Kristo. 👉🏿“Huwezi kuwa na mvuto utakaowabadilisha ...

SOMO;KAZI ZA SHEMASI

🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 *SOMO: KAZI YA SHEMASI KANISA LA MOTO WA YESU Morogoro Wilaya Ya Kilosa Dumila (Mbingiri) KWA PASTOR RICHARD *KAZI ZA MASHEMASI* *1) Kusimamia taratibu zote za kikanisa, kama vile.* a) Usafi na upambaji wa kanisa b) Kupanga ukaaji wa watu kanisani c) Ulinzi wa kanisani wakati wa ibada d) Kusimamia upishi na uugawaji wa vyakula e) Kuwakarimu wageni - kuwapokea, kuwakaribisha, kupata taarifa zao na kuwapa maelekezo. f) Kuwahudumia wagonjwa na wasiojiweza g) Kuwasaidia wanao dondoka na wenye mapepo wakati wa maombezi h) Kusimamia ratiba za kikanisa. *2) Kusimamia waamini wa mtaani kwako.* a) Kusimamia ibada za nyumba kwa nyumba b) Kuwahudumiawashirika walio wajane, yatima, wagonjwa na wasiojiweza. c) Kusaidia mawasiliano ya kikanisa wakati wa ibada na hata wakati mwingine. d) Kufuatilia taarifa za washirika. *3) Kufundisha, kuonya, na kuel...