Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2020

SOMO:MADHARA YA KUZINI KWA MKRISTO

SOMO : MADHARA YATAKAYOJITOKEZA KWA MKRISTO UNAPOZINI TIBA YA KIROHO KWA UNAETESWA NA UZINIFU. Leo Tarehe 23/12/2020 nikiwa nimetulia ofsini nasikia Sauti ikinielekeza Fundisha MADHARA ya watu wangu walioitwa kwa jina la watoto wa Mungu Jinsi wanavyojitesa na Dhambi ya Uzinifu Wafunulie wapone maana moyo wangu unahuzunika walivyokosana nami Kupitia Uzinifu Somo hili Linalenga Bint na Kijana wa Kiume Karibu ujue Yanayokutesa chazo chake Ulizini na Dhambi Hiyo hajawahi kuongozwa Jinsi kuitubu NAKUKARIBISHA MTUMISHI WA BWANA BISHOP RICHARD Simu ya msaada wa Kiroho nipigie Jioni Saa 12:00 Namba +255759861768 Nipo Morogoro Veta Dakawa TUFUNUE Biblia Zetu 👉🏿✍🏼Warumi:13:9 Mathayo:5:27 Yet:13:27 MAANA YA KUZINI;- Nikufanya Tendo la Ndoa Bint au Kijana Ambaye hajulikani kwa wazazi wako Wala hajakutolea mahali au Kufanya Tendo la Ndoa na Bint Ambaye sio mkeo. MKANZIO;-KWA MABINT WA YESU Bint Yeyote anayefanya Tendo la Ndoa na Kijana Asiyejulikana Kwa Waz...

SOMO: YAJUE MADHARA YA KIAFYA YANAYOWEZA KUKUPATA UKIFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD

SOMO: YAJUE MADHARA YATAKAYOKUPA UKIFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD (HEDHI) Tufunue Luka:5:31 Yeremia:33;6 KUNA WATU WAMEKUWA WAKIITAJI WAFUNDISHWE MADHARA YA KIAFYA YANAYOWEZA MTU KUMKUTA ANAE FANYA TENDO LA NDOA NA MKEWE AKIWA KWENYE SIKU ZAKE EIDHA KWA TAMAA ZAKE ZA KIGONO NA ASIJUE AFYA YAKE ANAIHARIBU KARIBU NAITWA PASTOR RICHARD MWALIMU wa WANANDOA TUOGEE +18 Hairusiwi Mwenye umri chini ya miaka 18 Kusoma Masomo haya ya Wanandoa Nifatilie WhatsApp number+25575981768 Facebook Kanisa la Moto wa Yesu Website www.mchungajirichardi.blogspot.com Mithali : Mlango 3 8 Itakuwa afya mwilini pako, MADHARA MWANAUME ANAYOYAPATA 1:Kuzimba Kwa Mirinja Ya Uume wake inayotoa Mbegu za Kuume hata kibofu cha mkojo wakati akikonjoa atahisi maumivu makali. 2:Kuishiwa nguvu za Kiume na Uwezo wa Uume wake Kusimama. 3:Kuambukizwa Magonjwa mbalimbali Kwa haraka Sana Kutokana Kufanya Tendo la Ndoa Katika Piriod 4: Kufanya Kukizi Tamaa Yako Lakini Itakufanya UKIFANYA Tendo la Ndoa Katika Siku zake...

SOMO: AGANO LA UZAZI

SOMO;AGANO LA UZAZI 👉🏿👉🏿Mtoto wa MUNGU nakuarika Popote ulipo Kipindi Ni Mafundisho Ya Neno la MUNGU Karibu Ukale chakula Cha Kiroho ushibe Nafsi Yako mwalike na Jirani Yako Kisha Kaa Katika Utulivu usome Kwa making utakiponya Kizazi Chako na Watoto wako. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Tufunue Biblia Zetu 👉🏿:Waebrania:7:6👉🏿Kutoka:1;7👉🏿Mwanzo:25:32 1Timotheo:2:15 AGANO LA UZAZI NI NINI..?Ni Patano linalofanyika Kati ya Kizazi Cha Mtu na MUNGU au SHETANI 👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 KAMA AGANO LAKO LITAMHUSU SHETANI;-Utazaa watoto walioshidikana Wezi Walevi Wachawi Waganga Kwakua Unaagano na Kuzimu Sio MUNGU. 👉🏿&#128...

SOMO: AGANO LA UZAZI

SOMO;AGANO LA UZAZI 👉🏿👉🏿Mtoto wa MUNGU nakuarika Popote ulipo Kipindi Ni Mafundisho Ya Neno la MUNGU Karibu Ukale chakula Cha Kiroho ushibe Nafsi Yako mwalike na Jirani Yako Kisha Kaa Katika Utulivu usome Kwa making utakiponya Kizazi Chako na Watoto wako. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Tufunue Biblia Zetu 👉🏿:Waebrania:7:6👉🏿Kutoka:1;7👉🏿Mwanzo:25:32 1Timotheo:2:15 AGANO LA UZAZI NI NINI..?Ni Patano linalofanyika Kati ya Kizazi Cha Mtu na MUNGU au SHETANI 👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 KAMA AGANO LAKO LITAMHUSU SHETANI;-Utazaa watoto walioshidikana Wezi Walevi Wachawi Waganga Kwakua Unaagano na Kuzimu Sio MUNGU. 👉🏿&#128...

SOMO: NGUVU YA UTULIVU

SOMO: NGUVU YA UTULIVU 2Wathesalonike:2;11-12 1Timotheo:3:4 1Wafalme 19:12 Mithali:17:27 Isaya:32:17-17 Munubiri;4;6    👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 UTAGULIZI NGUVU YA UTULIVU Ni SoMo linalokupa Maarifa ya Kutoka Kwenye Changamoto zinazokukabili✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼 ✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 Mtu mmoja alikuwa na familia Yaani Yeye na MKE na Mwanae Anna ikafika Kipindi Cha njaa kila kazi...

SOMO: UFANYE NINI UNAPOONA MAMBO HAYAENDI

SOMO: UFANYE NINI UNAPOONA MAMBO HAYAJAKAA SAWA..?? 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 Tufunue Mwanzo Kwenye uumbaji Mwanzo:1;2 na migine 2;Samweli:13:18-21 Yoshua:10:10-13 Ruthu:3;18 Matendo:19:36 Yakobo:3;8 Isaya:62;1 Estha:2:1 Kitu Cha Kwanza Kabisa Mungu alipomaliza dunia na mbigu Akaona Dunia IPO tupu haijakaa Sawa Alimua Atulie Kwanza Ili aweze Kuumba Vitu Vinavyoonekana Tunasoma👉🏿👉🏿Mwanzo : Mlango 1 2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maj Mfano Mwingine Kwa Yoshua ili ashinde Vita Yake nakuwavusha watu alipoona Vita vinaendelea kuwa vikali bila mafanikio yote alikaa chini Kwanza akatuliza Kichwa Kwanini Tunapingwa Akakubuka niseme na Baba Yangu alisimamishe Jua Kisha niingie vitani nanitashida Ni katika Mawazo ya Yoshua alifikiria nakusimamisha Jua Tusome;Yoshua:10:13 Hata Wewe Leo Naongea nawewe Mambo hayaendi Unazidi Kuharibu Vitu unazidi Kuumizwa na madeni Kwa Sababu...

SOMO: NGUVU YA AKILI

🥦🥦SOMO; NGUVU YA AKILI🥦🥦 Tufunue;Mathayo:22:37 Zaburi;119;66,1wakoritho:1:19 Luka : Mlango 24: 45 Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko              ;UTAGULIZI: Akili Ni kiungo chenye nguvu ya kumponya mtu au Kumwagamiza mtu Akili huenda sawa sawa naunavyoiendesha wewe mwenyewe Ukiendesha Akili YAKO uwe Mpumbavu kila Kitu utakuwa Mpumbavu Ukiendesha Akili YAKO uwe na Maarifa utakuwa na Maarifa. Akili inasehemu Kubwa Sana Ya Kufanya Maamuzi na Hatima ya Maisha YAKO na Imani YAKO ikaamini Kama Akili ilivyoongoza. Sasa Kwa Kuwa Mungu Anatupenda Ameamua Azifunue Akili Zetu Kwa Kutuletea Somo Hili Karibu ujifunze nguvu ya akili YAKO inavyoweza kukuponya Mimi Naitwa Pastor Richard Ninaishi MOROGORO VETA DAKAWA.Simu zakuongea nami piga Jioni SAA 12;00 Namba+255759861768 MAANA YA AKILI : Ni uwezo wa Kupambanua Vitu unavyoviona na Kuvisikia  Kisha kuruhusu Maamuzi yaliyosahihi ndani YAKO yaamue. Matokeo ya uamuzi wako huwa tunaita...

SOMO: NGUVU YA AKILI

🥦🥦SOMO; NGUVU YA AKILI🥦🥦 Tufunue;Mathayo:22:37 Zaburi;119;66,1wakoritho:1:19 Luka : Mlango 24: 45 Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko              ;UTAGULIZI: Akili Ni kiungo chenye nguvu ya kumponya mtu au Kumwagamiza mtu Akili huenda sawa sawa naunavyoiendesha wewe mwenyewe Ukiendesha Akili YAKO uwe Mpumbavu kila Kitu utakuwa Mpumbavu Ukiendesha Akili YAKO uwe na Maarifa utakuwa na Maarifa. Akili inasehemu Kubwa Sana Ya Kufanya Maamuzi na Hatima ya Maisha YAKO na Imani YAKO ikaamini Kama Akili ilivyoongoza. Sasa Kwa Kuwa Mungu Anatupenda Ameamua Azifunue Akili Zetu Kwa Kutuletea Somo Hili Karibu ujifunze nguvu ya akili YAKO inavyoweza kukuponya Mimi Naitwa Pastor Richard Ninaishi MOROGORO VETA DAKAWA.Simu zakuongea nami piga Jioni SAA 12;00 Namba+255759861768 MAANA YA AKILI : Ni uwezo wa Kupambanua Vitu unavyoviona na Kuvisikia  Kisha kuruhusu Maamuzi yaliyosahihi ndani YAKO yaamue. Matokeo ya uamuzi wako huwa tunaita...