Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2020

SOMO: VIPINDI VITATU VYA KUFAULU KWENYE NDOA YAKO

SOMO:VIPINDI MHIMU UTAKAVYOVIPITIA MWANANDOA UINGIAPO KWENYE NDOA. Mehali:14:1-5 Waefeso;5;20-25 KARIBUNI Katika Wanandoa Tuongee+18 Wakubwa tu na wanaojiandaa kuingia Kwenye ndoa au waliopo ndani ya ndoa. Naitwa Pastor Richard Simu Ya Kuongea Nami Pastor Richard+255759861768 NDOA HUHITAJI SEMINA NA DARASA LA KILA SIKU LEO TUNAONGELEA VIPINDI VITATU VYA KUFAULU KWENYE NDOA YAKO. Kuna Mambo matatu ukiyavuka hayo Basi utaitwa mshindi wa ndoa Yako 1:KIPINDI CHA UTOTO KATIKA NDOA YENU. Katika kipengele hiki KILA mmoja anahamu na mwezake na hamu ya kuishi maisha ya ndoa kwa hiyo Kipindi mtaitana Baby Sweetheart My Lotion KILA Aina ya maneno mazuri mtafurahiana nakucheka. Kipindi hiki huwa bado Mambo yapo motomoto ya Kuolewa au Kuoa Hiki Kipindi huwa ndio yakuaza kujuana Vyema Tabia Zenu ndani ya ndoa huhitaji Mfanye haya Mambo mawili; a)Muelekezane na Kurekebishana. b)Kuchunguza Tabia ambazo za kukemea kwa mwezi wako. c)Muombe MUNGU nakuongozana Kumjua MUNGU. Hiki huitwa Kipi...

SOMO:NINI MAANA YA SADAKA

SOMO: NINI MAANA YA SADAKA NDANI YA KANISA Mathayo:5:22-25 Waebrania:13:16 Hesabu:7:23-50 Kutoka:10;12 Zaburi:119:108.15:8 Yohana:3;16 Soma hivi vitabu KARIBU UJIFUNZE NINI  MAANA ya SADAKA NA KUNA AINA GAPI NA Umhimu wa Kuwa nasadaka. Naitwa ✍🏼 Moto wa Yesu au Pastor Richard wa Morogoro veta Dakawa Inawezekana huwa Unajua sadaka Ni kumtolea Bwana au nikitu unachokitoa Kwa Kanisa wagonjwa nk. Tutaanza Kuona Sadaka Ni Nini? Sadaka Ni Nini? Sadaka huwa Ni kitu chochote unachoweza kukitoa au Kukifanya Kwa Ajili kitu Fulani : Pia Sadaka Ni Ibada Kamili inayokufanya kile unachokiamini kijibu kwako .Sadaka hutolewa Kulingana na maelekezo na utaratibu wa eneo husika unapotolea sadaka. Mfano Sadaka ambazo huhitaji muongozo na maelekezo 1:Zaka;(Fungu la Kumi na Ukombozi,Kuteketezwa)HIZI huwa hazitolewi bila muongozo wa Mchungaji au anayekulea Kiroho. SADAKA HUTOLEWAJE. Sadaka Ni Siri yako na Madhabahu unayoitolea Sadaka hutolewa Kwa mrezi wako wa kiroho au Kanisani. Hizi huw...

Somo: Mahusiano Kati ya Maombi na Imani

SOMO : MAHUSIANO YALIYOPO KATI YA MAOMBI NA IMANI. Tufunue Biblia Zetu:Waebrania:11:1-20 Mathayo:15;20-30, 1Timotheo:1:5-13 Imani: Ni uhakika wa Kupokea na kuwasilisha kiroho kuleta Matokeo ya kimwili. Maombi; Ni mawasiliano ya Kupokea na Kutoa haja ya kitu kiroho kuleta kimwili: MAHUSIANO; Maombi hutengemea imani na imani hutengemea maombi Huwezi Kupata Matokeo ya unachokiomba Endapo hauna Matarajio ya unachokiomba. Huwezi Kupokea majibu Endapo maneno yako unayotamka Ni yakukata tamaa lakini ndani yako Imani ikawa haijakata tamaa Kumbe Neno linaleta Matokeo ya unachokiamini Kwa MUNGU sio Imani ndio inaleta Matokeo Imani Ni uhakika unachokiamini Neno Ni Uhakika unachokitamka ndani yako. Mfano wewe ukawa huolewi maneno yako mengi yakawa nitaolewa Tena ndoa yangu itakuwa Kubwa Kile unachokitamka kitatimia lakini ukawa unaamini utaolewa Kinywa Chako ukawa unatamka Kuolewa Ni mpango wa MUNGU Mimi nishajikatia Tamaa ya Kuolewa Kupitia Maneno yako hutapokea hata uombeajwe. CHAKULA...

MAMBO MATATU YANAYOKUFARAKANISHA NA MUNGU

👊🔥MAMBO MATATU YANAYOKUFARAKANISHA NA MUNGU👊🔥 Mithali:16;1-5 1:UZINIFU:-Hii Lango linalokufarakanisha na Mungu Dalili kuu hutokea ukizini 1:Moyo Kuugua 2:Kuendeshsa na roho hii itakuwa Lango kubwa. 3:Mambo ndio yatazidi Kuwa magumu MPAKA usione Maana ya kuishi. 2;Kuogoka:Hii huwa Hali ya Kukegeuka Unajua hii Ni Dhambi Unafanya Sasa uone Ni Nini wakati huo Umeokoka. Unajua Ukiokoka umetangazs Mapambano na wachawi. Dalili Kuu Tatu HIZI Utaziona ukikegeuka 1:Kiburi Cha Uzima ulionao. 2:Utatoka nje ya Maadili ya Mungu 3:Utaacha Maadili ya Wokovu.(Utarudia Tabia ulizoziacha) 3:WIZI WA FUNGU LA KUMI: Hii huwa Ni Tabia mtu inamwigia anaanza Kidongo Kidongo Kisha anakuwa Sungu Hatoi Fungu la Kumi. DALILI KUU 3 UTAZIONA HIZI 1:Uchumi wako utayumba tu. 2:Afya Yako na Uzao wako itayumba tu. 3: mahusiano Yako na ndoa lazima ikose Amani ndani Haya ndio Uyafanyie Kazi Uwe Vizuri na Mungu Ukikosana na Mungu kupatana nae MPAKA aje AMBAY...

SOMO:MAMBO YAKUONGEA WACHUMBA

SOMO:DARASA LA WACHUMBA WANAOENDA KUFUNGA NDOA SI MUDA MREFU UTANGULIZI Mabinti wengi huwa Wanafurahia Sherehe ya harusi na Akili Zao Kuzielekeza Kuhakikisha Siku Yao ya Harusi na Kujiandaa Kwa gharama nyigi Juu Ya Sherehe. Hali ya Upokeaji wa Bint na Kijana huwa tofauti Bint Huona Tukio la Sherehe Ni Kubwa Kuliko ndoa anayoenda Kuijenga. Nipo Hapa Leo Kwa Ajili yakuwaponya wachumba Ambao Wanaenda Kufunga Pingu za Maisha Hakuna Kitu Ambacho Kitaharibu Ndoa Yenu Endapo Unaingia Kuolewa au Kuoa Hamjawekana wazi 1;Historia Zenu 2:Familia Zenu Zilivyo 3:Imani zenu 4:;Kazi Zenu na Upatikani wa Uchumi wenu. 5:Mipaka na Usiyopenda 6:Malengo Yenu ya Kuishi Pamoja Usioe au ukaolewa na Mali au Kazi au Pesa Olewa na mtu olewa na utu utaifanya ndoa Yako iendelee mbele na mfanikiwe HAYA MAMBO HAKIKISHA HUJARUKA HATA KIPENGELE KIMOJA YAONGEENI NA MUWAKANE WAZI KABLA YA TUKIO LA NDOA. 1:HISTORIA ZENU. Vijana Wetu wengi Huwa hiki Kipengele wanakipuuza wakikutana huko mjini kila mmoja anak...

SOMO:KUKUA KATIKA MAADILI YA MUNGU

SOMO: CHANGAMOTO YA KIJANA KUTEMBEA KATIKA MAADILI YA MUNGU Tufungue Biblia Zetu: Mathayo:19:20-22,✍️Torati:22:16 ✍️Mwanzo:21:14-20✍️1wafalme:1:1-4✍️Zaburi:37:25 Karibuni Katika Mafundisho ya Neno la MUNGU Popote ulipo Kila Kona Ya nchi Kwa Majina Yangu Naitwa Mchungaji Richard Ninaishi Tanzania🇹🇿 Africa Leo Naongelea Changamoto Mbalimbali Tunazozipata Vijana Katika Maadili yakutembea na MUNGU na Jinsi Ambavyo Tunavyoweza Kujinasua Sisi Kama Vijana: Tukadumu Kutembea Katika Maisha Yenye utaratibu wa Kitakatifu Mbele Za MUNGU. Sisi Vijana Tunapaswa Tujitambue Na Kuelewa Mambo haya YAFATAYO Yatakayotuongoza Kuishi maisha Yenye Maadili mbele Za MUNGU. MAMBO MATATU YASHIKE KIJANA ILI UTEMBEE KATIKA MAADILI YA MUNGU 1: HESHIMA MBELE ZA MUNGU: Ninaposema heshima mbele Za MUNGU namanisha Muonekano wetu Nyumbani Kwa Bwana Ushiriki Wetu Katika Nyazifa Mbalimbali ndani ya Kanisa Kijana Unaheshimu nafasi Yako uliyo nayo nd...