Machapisho

SOMO: NGUVU YA MTAZAMO INAVYOBADILISHa

SOMO; NGUVU YA MTAZAMO UNAVYOBADILISHA MAISHA YAKO.  Rejea Vitabu: Mithali:15:29-33.  1Wakoritho:9:7-10  2Wakoritho.5:16 UTANGULIZI:- Ni mhimu Kujifunza Hili Somo kwa Sababu Watu Wengi Wanaishi kwa mitazamo yao na huo mtazamo huwapa nguvu ya kuyapa majina majira mbalimbali na kuishi kulingana na hayo majira walivyoyapa Majina. Mfano; Bint Anapitia kipindi cha kupata wachumba na kuachwa Mtazamo akilini utakuja Amefungwa na nguvu za ngiza Ataanza kuishi ndani ya huo Mtazamo mpaka apate mtu amtoe katika huo mtazamo atapokea mtazamo wa kuolewa. Mtu Amekuwa Akiitwa kazini anaishia Itaview Haitwi Mtazamo utakuja Wanaoitwa kazini wana watu wakubwa hilo ni Jina la mtazamo wake mwenyewe.  Mtoto Wa Mungu Ninayekuletea Hili Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro Lengo Ujifungue Kamba ya Mtazamo iliyokufunga. MTAZAMO NI NINI..?  Mtazamo ni Picha na Muonekano wa Majira unayo yapitia namna unavyoweza kuyaita majina..? Mfano; Mambo yanaenda vibaya kila kitu hakiendi Utakiita hicho ...

SOMO: MAKERUMBI

SOMO: MALAIKA  ( MAKERUBI) Karibu Mwana Wa Mungu Tujifunze Leo Makerubi Ujue kazi zao na muonekano wao Vitabu: Ezekiel 28:14-16 Mwanzo:3:24 Kutoka:25:17-22  Makerubi  ni Malaika Wakuu kuliko Malaika Wegine Hawa wameaminiwa na Bwana kuzunguka kiti cha enzi. MUONEKANO WAO MAKERUBI. 1:Wana mabawa Sita matatu kulia matatu kushoto. 2;Nyuso zao zinag'aa Kuliko Wegine 3;Wakubwa Sana Kuliko wegine. 4:Wanaonekana Kama Tai Simba Moto au Ng'ombe wa dhahabu nk. 5;Huonekana Mwanga mkubwa umefunika chumba au kukuzunguka Saa nyigine wanapokutokea. WAMEGAWANYIKA SEHEMU KUU MBILI. 1:MAKERUBI WANAOZUNGUKA KITI CHA ENZI NA KUMSIFU BWANA. Hawa husema kila wakati Hosana Hosana mbarikiwa Unasitahili wewe Bwana Unastahili wewe Bwana. Wanaozunguka kiti huanza na Safu ya kwanza Makerubi Wanne Wanazunguka utukifu wa Mungu. Wanafata MAKERUBI Sita Hawa kila siku mmoja wao huenda kuchukua maombi ya watakatifu na Wana Wa Mungu. Pale unapoomba malaika huyachukua maombi nakuyapeleka kwa Mungu ikifika ha...

SOMO:MALAIKA METATRON

SOMO:MALAIKA MKUU METATRON (MALAIKA WA WATOTO ) Mwal.Pastor Richard Wa Morogoro  WhatsApp +255710889892 ZABURI;8;2 Isaya:49:25-26 ISAYA:54:13 13 Watoto wako wote watafundishwa na Bwana, nayo amani ya watoto wako itakuwa kuu." Metatroni Ni Malaika Mkuu Kati Ya Wale Malaika Saba Wanaotajwa Ufunuo:8:2 Malaika Mkuu Metatron Ni Mlinzi na Msimamizi Wa watoto wachanga kuanzia mwaka 0-5 Hii like huwa linasimamiwa na Malaika wa Watoto Ambaye Kiongozi wa Kundi hili Huitwa Metatron. MAJUKUMU YAKE HUYU MALAIKA PAMOJA NA WEZAKE; Kwanza ieleweke huyu Metatron ni Malaika Mkuu wa Ulinzi na Usimamizi wa watoto nyuma yake Anaongoza wengine kundi kubwa. KAZI ZAKE MAJUKUMU YAKE. 1:Kutunza Watoto kuanzia umri wa kuzaliwa mpaka miaka 5. 2:Kuwafundisha watoto wachanga kuongea yaana kutamka. 3:Kuwajulisha Hatari watoto na Kuwalinda na Hatari. 4;Kuwajulisha Wazazi Wao Watoto Kujua mama yake Baba yake huwa ndio watu wa kwanza Malaika atawafundisha kujua wachanga. 5;Kutoa taarifa kwa mzazi mtoto akisiki...

SOMO;MAOMBI YA MJAMZITO ALIYEPITILIZA MUDA WA KUJIFUNGUA

   SOMO : MAOMBI YA MJAMZITO                 ALIYEPITILIZA MUDA WA KUJIFUNGUA. Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro  Nipo Kanisa la Holy Spirit church Tanzania  Ni Askofu na Muasisi Wa Makanisa haya Makao Makuu Morogoro Veta Dakawa  Huwa Kunasababu mbili Ambazo zinaweza mama mjamzito zikakufanya ukapitiliza Muda wa kujifungua. 1;Tatizo la Kiafya: Hii husababishwa na mtoto kutokugeuka au njia za uzazi kutokufunguka 2:Nguvu Za Kichawi: Hawa ndiyo Wale hukaa mwezi mwaka hawazai ndiyo Wale wanaota mandato ya ajabu ajabu nakuona Vitu vya Ajabu. Pia hutokea hali ya uchungu lakini hawajifungui na wegine hukosa nguvu wakati wakisukuma mtoto . UONAPO HAYA NILIYOYAANDIKA WEWE UMEBEMBA KIZUIZI NA UKIWA MZEMBE KUOMBA UNAWEZA KUUA KICHANGA TUMBONI. "ZINGATIA HAYA" 1:SHIKA TUMBO LAKO KWA CHINI KWA MIKONO YOTE. 2;UKIJIFUNGUA SALAMA BAADA YA HAYA MAOMBI UTATUMA SADAKA NZURI 1️⃣   soma huu mstari HOSEA;13:13  "Utungu kama ...

SOMO;MAOMBI YA KUWEKA NADHIRI 2025

SOMO: MAOMBI YA KUWEKA NADHIRI. Kuna Wakati Ukiona Maombi Yanachelewa Kujibiwa Weka NADHIRI au ALAMA.  NADHIRI Itaendana na ukubwa wa tatizo lako lilivyokusumbua ndiyo hivyo utakavyoweka nadhiri kubwa.  Mfano: NADHIRI YA HANNA ukisoma ;1Samweli 1. Alikaa Muda mrefu bila kupata mtoto aka8ngia maombi ya NADHIRI.  NADHIRI hutimizwa katika madhabahu uliyoihusisha au Mchungaji uliyemhusisha. USIPOTIMIZA NADHIRI HUWA INAKUTESA MWENYEWE ULIYEIWEKA        OMBA HIVI  1️⃣:Bwana Yesu Naweka Nadhiri  Katika Madhabahu hii ya Moto Wa Yesu Unipe Mume au Mke  Nikafunga naye ndoa Namimi Nitatoa Milioni moja kwenye madhabahu hii(Taja uwezo wako) ZABURI;61:8  8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.  Katika Jina la Yesu.Amen  RUDIA ×4 2️⃣:Ninaomba Bwana  Nitimize Nadhiri Zangu Usinipe moyo mgumu nifanye niwe mwepesi wa kutengua nadhiri  yangu katika Jina la Yesu.Amen    ...

SOMO; MAOMBI YA KUPIGA HATUA

SOMO; MAOMBI YA KUPIGA HATUA KWENDA MBELE. Mwanangu Katika Kitu Ambacho ukielewe  Kwenye Maisha yako kila unapopiga  hatua kwenda mbele Ipo roho inakuzuia kufika unapotakiwa ufike bila wewe mwenyewe muhusika kusimama na Maombi huwezi kwenda hatua unayotaka ufikie bila kuomba nakuwa na ujasiri ukaacha roho ya kukata tamaa au kufikiria negative na mafanikio yako. Ninaitwa Pastor Richard (BISHOP RICHARD) KANISA LA HOLY SPIRIT CHURCH TANZANIA  MAKAO MAKUU MOROGORO VETA DAKAWA  MAOMBI HAYA YANAITAJI ZINGATIA HAYA. 1:Unapoomba Fanya Kitendo cha kupiga hatua. Yaani Tembea Tembea. 2:Tamka Maneno Kila yanayokuja kinywani mwako namna ya kuomba elekeza maneni kupiga hatua kwenye kile unachoona kimesimama sehemu moja. 3:Maombi Haya Utaomba Siku 4 Mfululizo kwa Masaa na Muda unaokuwa Tulivu kwako. 4:Utaandaa Sadaka Yako Siku ya Nne ukimaliza maombi utaituma na Unanipigia Simu. 5:Chochote ukikiona au kuota ukiwa katika haya Maombi Basi Nieleze. Na Ukiishia njiania unarudia upya us...

SOMO;MAOMBI YA MTU ANAYEFANYA BIASHARA YOYOTE

SOMO;MAOMBI YA KUOMBEA BIASHARA UFANYAYO. ✳✳✳✳✳✳✳✳✳✳✳✴✴✴✴✴ Karibuni Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro Nipo Kanisa la Holy Spirit church Tanzania  Ni Askofu pia Wa haya makanisa. Ni Mume Wa Mke Mmoja na Watoto wawili. WhatsApp NIULIZE INBOX+255710889892 ⭕MAOMBI YA BIASHARA YAKO SEHEMU  KUU MBILI 1;KUOMBEA MWANZO WA BIASHARA UNAPOANZISHA. 2:MAOMBI YA BIASHARA YAKO  AMBAYO ULISHAIANZA. 1️⃣-KUOMBEA MWANZO WA BIASHARA YAKO UNAPOANZISHA  Vitabu;Kumb.Torati.28;1-2 Kutoka;23;20-24 Mambo Yafatayo ya kufata Unapoanzisha Biashara 1:Mshirikishe Mungu Eneo la Kuweka Biashara yako. INGIA MAOMBI. Mithali;16;3 Omba hivi:-Baba Ninaomba unielekeze Ni sehemu ipi niweke Biashara yangu nataka nifungue Biashara ya kuuza mtumba (utataja biashara unayotaka uanze kuifanya)Mimi Siwezi Kujua Nipe Maono au ndoto au Sema na Mtu aniletee ujumbe mtume Gabriel malaika mkuu aje anipeleke kwenye Eneo la Biashara Yangu Katika Jina la Yesu.Amen.  RUDIA KUOMBA ×7 Sehemu yeyote utakapoona amani ya m...