Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2021

SOMO:$ifa 7 Mwanamke Mpambanaji

Picha
SOMO; SIFA 7 MWANAMKE MPAMBANAJI Karibu katika Darasa Hili ujifunze na ujue Sifa za mwanamke mpambanaji Naitwa Pastor Richard Mwalimu wa WANANDOA 1;Jasiri Mwanamke mpambanaji ni jasiri anaona nafasi za kujiendeleza na kuzinyakua haraka. Mwanamke jasiri haogopi kushindwa na  changamoto zilizo mbele yake, siku zote huchagua kuzikabili. Wanawake wengi majasiri wamefanikiwa kuinua uchumi wao na kuzisimamia familia zao, wakati mwingine bila hata ya msaada wa mwanaume. Ni wajasiriamali. Ni wanawake wenye nyadhifa za uongozi wakifanya kazi na kuleta  maendeleo kwa bidii. 2;Hufanya Maamuzi Sahihi Mwanamke mpambanaji haogopi kufanya maamuzi sahihi juu ya maisha yake na kufuatilia mipango yake. Hupokea maoni chanya  na kuamua pia kupuuzia maoni ya watu wengine yasiyo na tija ama ambayo hayamsaidii kwenda mbele na kutimiza ndoto zake. Kutokana ma mapito yake, mwanamke mpambanaji hufanya mamuzi sahihi juu ya jinsi gani ya kubadili mwenendo wa maisha yake ili  kujibores...

SOMO:Roho wa Bwana

SOMO:Roho wa Bwana* 2samwel.23:2 1Samweli:10:6 19:20  1Falme:18:12, 22:24 Mika:2:7 Isaya 61:1 Ezekiel 11:5 👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👂🏼 Roho wa Bwana Huyu Huwa ni Roho anayejishungulisha na Maisha ya Mtu kuyafanya yawe na ushirika Au Uhusiano mzuri kati ya Mtu na Mungu 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 *ROHO WA Bwana Anavyopatikana Ndani ya Mtu* Kuna vitu viwili tu Humfanya Huyu Roho akae na mtu 1:Akiwa Mtu wa Ibada na Mungu 2:Akiwa Mtu mwenye kujitoa kwa Mungu 👏🏽 *👏🏽ANAVYOMSAINDIA MTU* 👏🏽👏🏽 Huyu Roho wa Bwana Ndiye Humfanya Mtu Apate Ujasiri wa kusonga Mbele katika Ibada na Maombi Asiwe mtu wa wa kubebelezwa Huweka msukomo Au shauku...

TABIA 10 ZA WANAUME ZINAZOWAKERA WANAWAKE

TABIA 10 ZA WANAUME AMBAZO HUWAKERA WANAWAKE NDANI YA NDOA Karibu Mwanandoa Tujifunze kitu na Kama wewe mwanaume Utajielewa Wewe Ni Aina ngani ya mwanaume Hebu Badilika ili ujenge Ndoa Yako ikae vizuri Iwe na Amani kama za Wegine Mimi Naitwa Mwalimu wa Wanandoa Pastor Richard NIPO Morogoro veta Dakawa Simu+255759861768 1. Wanaojiona Kama Wafalme (King Husband). HIi ni aina ya wanaume ambao hutaka kusujudiwa kama wafalme na hupenda kuwafanya wake zao kuwa kama watumwa. Hawafanyi chochote ndani ya nyumba kazi yao ni kutumatuma hata kama mke anaumwa atapaswa kuamka na kupika, wanataka waheshimiwe wao tu na mwanamke akikosea kidogo ni maneno au kipigo. Mwanamke hana kauli ndani na mume akiingia nyumbani ni kama bosi anavyoingia ofisini, wote kimya hakuna hata kuongea. 2. Wanaume Wanaojihisi Bado Hawajaoa (Bachelor Husband). Hii ni aina ya wanaume ambao hawawashirikishi wake zao kwa chochote. Hufanya mambo kama vile bado hawajaoa, hutumia muda wao mwingi na marafiki zao wakifanya m...

SOMO: TAFSIRI

                       🥦🌳SOMO: TAFSIRI 🌳🥦   Vitabu: Mwanzo:30:5-18, Daniel:5;17-26   Marko:6:41 Matendo;13;8 Waebrania:7:2 1Wakoritho:12:10 Nakukaribisha Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa KUNA MTU MMOJA ALIOTA YUPO AMELALIA GODORO CHAFU NA AKAONA WADUDU WAKITOKA MWILINI.      1:    TAFSIRI YA NDOTO HII GODORO👉🏿IMANI UCHAFU 👉🏿 DHAMBI KUONA WADUDU MWILINI 👉🏿Ni uharibifu wa mwili MAANA YAKE👉🏿👉🏿Imani aliyonayo inaruhusu Uharibifu wa Dhambi TAFSIRI MAANA YAKE NI UFAFANUZI WA KITU UNACHOKIONA AU KUKISIKIA 2;TAFSIRI ZA MBIGUNI MFANO LYAMASIKA: hii Ni Lugha Ya MBIGUNI (Roho Mtakatifu) ______________________________________________________ LYAA👉🏿Husika MAA👉🏿Wewe SI...

SOMO: USHUHUDA

SOMO: USHUHUDA Zaburi:19:7,81:5 Isaya:8;16-20 Isaya:30:8 Marko:14;56 Luka;21:13 Yohana:1:7-19 Kuna Mtu mmoja Alikuwa Anateseka na Tatizo la Uzazi tokea ubint wake mpaka miaka 53 alipofika Kanisani Kwangu Kuonana nami Baada ya Kusoma Shuhuda Kwa Akili yangu ya kibinadamu niliona Kama kitu hakiwezekani Sababu hata blid ilikuwa imekata Kiukweli mama alikuwa na imani alichokiongea Kupitia wewe Mtumishi nashuhudiwa nitapokea Ushuhuda Nilimfundisha Neno nikamuombea Baada ya miaka 2 akaanza kuona Kaja Kupokea mapacha watatu akiwa na umri wa miaka 63 Huu ndio huitwa Ushuhuda Mtu anaona Mabadiliko ya Kimwili Alikuwa hivi Anakuwa hivi. USHUHUDA NI NINI? Ushuhuda Ni mabadiliko anayoyaona mtu Baada ya Kuomba au Kuombewa. Unapoona TU Hali ya mabadiliko Ulivyokuwa Mara ya kwanza na Utakavyokuwa Baada ya Maombi. MAANA YA USHUHUDA: Matendo Makuu Yenye mabadiliko ndani yako. KUNA AINA MBILI YA USHUHUDA 1: USHUHUDA WA KUDUMU 2: USHUHUDA WA MUDA MFUPI. USHUHUDA WA KUDUMU Huu Ni Ushuhuda A...

SOMO:VIFO VYA MITUME WA KRISTO

SOMO:JINSI MITUME WALIVYOKUFA. Naitwa Pastor Richard Nakukaribisha Ujifunze Vifo vya mitume wa Yesu/ jinsi mitume walivyokufa. Itakujenga imani Mtume pekee ambaye biblia inarekodi mauaji yake jinsi yalivyokuwa ni mtume Yakobo ndugu yake  mtume Yohana. Huyu biblia inasema katika  Matendo 12:1-2,  kuwa Mfalme Herode alimuua kwa Upanga, alikatwa kichwa. Lakini kwa habari ya mitume wengine waliosalia biblia haijarekodi jambo lolote kuhusu vifo vyao. Hivyo ili kupata taarifa zihusuzo huduma zao na vifo vyao ilipasa watu warejee katika hadithi ambazo zinaamika ziliandikwa na watu ambao walikuwa karibu sana na mitume, au walioshuhudia vifo vyao. Japo habari hizo hatuwezi kuzithibitisha kuwa zina usahihi wa asilimia mia, lakini kwa sehemu kubwa zimethitishwa kuwa kweli, kulingana na kupatana kwa maneno ya mashuhuda. Mathayo: Mathayo alijeruhiwa vibaya na upanga alipokuwa anahubiri katika nchi ya Ethiopia kaskazini mwa Afrika. Na baadaye kukumbwa na mauti kuto...

SOMO; MAHUSIANO YALIYOPO KATI YA MADHABAHU YAKO BABA WA KIROHO na Sadaka

SOMO: MAHUSIANO YALIYOPO KATI YA MADHABAHU, MCHUNGAJI NA SADAKA Karibu Katika Mwendelezo wa Somo Letu la Madhabahu Sehemu ya Sita kuhakikisha Hatufanyi Makosa Kujenga Madhabahu Zetu Zilizo na Nguvu za Kuleta Majibu Yetu Tuombapo. MAHUSIANO Ni Vinavyoweza Kutengemea Vitu Vitatu Katika maisha yako A) MADHABAHU NDANI YAKO B) MCHUNGAJI BABA WA KIROHO. C) SADAKA UNAZOZITOA KWENYE MADHABAHU YAKO. A; MADHABAHU(Mathayo;23:19 Kutoka:30:28,34:13 Tulisema Madhabahu Ni mahusiano Kati yako na Mungu au Shetani NIKASEMA KUPOKEA MAJIBU NA KUMUONA MUNGU Hutengemea Sana Madhabahu Unayoitolea Zaka Ya Fungu la Kumi kila mwezi Kama imebeba majibu yako UTAIJUA KUWA HII MADHABAHU YAKO KWA BABA YAKO WA KIROHO UNAPOTOLEA ZAKA DALILI HIZI UTAZIONA 1:Utafundishwa Neno Huyo mch. Utamuelewa na Masomo Yake yatakubadilisha Kiroho Utakuwa. 2:Atakuombea Huyo mch.utaanza Kuona mabadiliko ulivyokuwa Kabla na Baada 3:Utatoa Zaka na Utaona Vitu vikifunguka kwako hapa toa Zaka kila mwezi usiruke huwezi ukamdai...

MAHUSIANO YA SADAKA BARAKA NA ULIZI

SOMO; MAHUSIANO YA SADAKA BARAKA NA ULIZI Kanisa la Moto wa Yesu Morogoro veta Dakawa - Wakristo wengi tunajitahidi kutoa sadaka kwenye uso wa Mungu lakini ukweli ni kwamba hatujui maana halisi ya tunacho kifanya kwenye uso wa Mungu, kwa sababu kama ningelijua nguvu iliyoko ndani ya sadaka katika maisha yangu ningelitoa kipaumbele katika utoaji wa sadaka. - Sadaka ni ulinzi wa mambo yafuatayo katika maisha ya mtu anaye mtegemea Mungu :    i). Afya   ii). Uchumi   iii). Familia   - Kinacho leta shida katika maisha ya Wakristo hawajajua usahihi wa sadaka katika nyumba ya Mungu, na jambo hili shetani amepofusha macho ya watu wengi ili wasitambue uthamani,kwa sababu chanzo cha baraka za mwamini ni madhabahuni. - Maisha ya watu wengi wanaomwamini Mungu yanaathirika kwa sababu ya kutokutii agizo ambalo Mungu analizungumza katikati yao kupitia madhabahu.  - Ufalme wa Mungu umesimama ndani ya madhabahu kwa sababu matamko ya baraka, matamko ya kupony...