Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2023

SOMO;MAADILI YA UVAAJI KWA MKRISTO

SOMO: MAADILI YA UVAAJI WA MKRISTO KATIKA MAANDIKO. UTANGULIZI  Tuache Kujifariji na Kudaganyana Kwa kuwafundisha watu kuwa Mavazi Kwa mkrito ni moyo wake na siyo muonekano wa nje hali ambayo inapelekea wakristo wengi kuuguka kiroho na kupoteza ushuhuda mzuri ndani ya kanisa mimi Leo nataka nikufundishe mavazi ya kimwili na wewe kiroho yanaenda sababa nitafundisha kwa ushahidi wa maandiko Biblia inasemaje Nayekuandalia Somo hili na kuliwasilisha kwako  Naitwa Bishop Richard Ninaishi Morogoro Veta Dakawa Kutoka Kanisa la Moto Wa Yesu. 1:(a)KWA MKRISTO MWANAMKE HAPASWI KUVAA MAVAZI YA MWANAUME  Kama. Suruali,Pesi, nk Mwanamke anayevaa haya mbele za Mungu anakuwa mwenye dhambi kwa kuwa kashindwa kutii angizo au alivyoamriwa na NENO. (b)MWANAUME HATAKIWI AVAE NGUO ZA MWANAMKE  Kama Gauni,nk Mwanaume Yeyote mwenye kuvaa mavazi yampasayo avae mwanamke Yeye akavaa Tayari utakuwa mwenye dhambi mbele za Mungu umeshindwa kutii Neno lake ✍✍✍✍TUSOME  Kumbukumbu la Torati 22...

SOMO:UDHIBITISHO WA YESU KUFUFUKA

SOMO:UDHIBITISHO WA YESU KUFUFUKA. UTANGULIZI.  Kwanza Jiwe lilowekwa Kwenye Kaburi Lilikuwa Kubwa Sana Kiasi Kwamba Mtu asingelisogeza Lakini limesongezwa Walizi nao walikuwa na silaha kali za moto hawakuweza kuona Tukio hilo Kitu cha Kushangaza Sada inaonekana mtu aoenekani Hili ndiyo liloshutua wengi mpaka kuingia kaburini watazame kweli hayumo Kama Tunavyoshuhudia kaburi mtu aliyekufa akizikwa huwa ni ngumu Sana mtu kutoka Lakini Bwana Yesu Yupo huru Amefufuka. Naitwa Pastor Richard  Nipo Veta Dakawa Morogoro Nchini Tanzania  🇹🇿 Yohana 20:5 [5]Akainama na kuchungulia, akaona vitambaa vya sanda vimelala; lakini hakuingia.  Nakuletea udhibitisho huu wa Yesu yupo hai Tena 1:KWANZA KABURI LIPO TUPU 🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉 Thibitisho la kwanza la kufufuka kwa Yesu ni kaburi tupu. Ukweli kwamba kaburi la Yesu lilikuwa tupu siku tatu baada ya kufa kwake ni thibitisho kuu la kufufuka kwake. Waandishi wote wane wa Injili wanakubaliana kwamba kaburi la Kristo lilikuwa tup...

SOMO:SIMU ISIYOOKOKA

SOMO: MADHARA YA SIMU AMBAYO HAIJAOKOKA. UTANGULIZI.  Simu ya mkristo aliye hai kiroho hutakiwa nayo imjue Mungu na Ihifadhiwe mambo yanayoendana na Tamanduni ya Misingi ya Kikristo ni  vyema kutokuruhusu Simu iwe chanzo cha wewe kumkosea Mungu au Kuharibu maisha yako ya wokovu uliyoyapata kwa gharama nyigi. Napenda Nikukaribishe Katika Somo hili Kama wewe ndiyo mara kwanza kuanza kunifatilia Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa  WhatsApp Pastor Richard +255759861768  Rejea Vitabu. Mambo ya Walawi.25:14,17 Hawaii.1:5  Zakaria;1:4 SIMU ISIYOOKOKA INASIFA HIZI. 1:Imebemba majina ya uogo mengi kwenye file la majina yameseviwa kwa majina ya uogo. 2.Imebeba Picha mbaya za aibu za uchi  zisizoendana na maadili ya ukristo kabisa. 3;Imebemba Video chafu za ngono  Kama wewe Mkristo unatazama video kama hizo utawezaje kuushinda uzinifu ni ngumu. 4:Inatumiana Sms Za Wapenzi wengi na chati zake za mahusiano hayupo mmoja na majina yao yanakuwa yameandikw...

SOMO:JINSI YA KUWEKA NADHIRI

SOMO: JINSI YA KUWEKA NADHIRI KWA MUNGU  UTANGULIZI  Nadhiri huwa ni ahadi au kiapo unachokitoa kwa kupatana na nafsi yako na Mungu pasipo kushawishiwa au Kulazimishwa na mtu yeyote Nguvu ya nadhiri huwa ni kubwa sana kwa mnadhiri yaani yule aliyeweka nadhiri kwa Mungu Sababu humfanya Mungu Atende Jambo hilo aliloweka nadhiri kwa kuabatanisha na kitu cha thamani au fedha au kitu kisichohamishika. Nadhiri huwekwa na Watu wanaojitambua nakujielewa Nini wanaweka na kwanani.Kama Hujielewi Usiweke  Nadhiri inaweza kuwekwa moja au Zaidi kila nadhiri ikiwekwa husimama na nakiapo chake na nadhiri yake. Na huja kutenguliwa kama maneno  Mfano; Mwaka huu nikjpata kazi mshahara wa kwanza ni wa Mungu #Mwaka huu nikiolewa nitamtolea mshahara wangu wote #Mwaka huu nikifanikiwa mtoto nitatoa viti kanisani Hizi Nadhiri hupaswi ujumuishe Sadaka ya kwenye Kupata kazi ndiyo hiyo kwenye ndoa laa! Viginevyo utamke neno moja linalojumuisha sentence hii moja kwa wakati mmoja. Mwanzo;28:20-2...