Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2020

SOMO:MOYO WA UTARATIBU

SOMO : MOYO WA UTARATIBU MZURI Tufunue Biblia 👉🏿✍🏼2Wathesalonike:3;5-10👉🏿✍🏼1Wakoritho:14:40✍🏼👉🏿1Wathesalonike:5;14 Karibuni Naitwa Bishop Richard Kanisa la Roho mtakatifu (Moto wa Yesu) Naishi Morogoro✍🏼 Tanzania WhatsApp number+255759861768 MOYO WA UTARATIBU MZURI 👉🏿✍🏼Huu Ni moyo unaokuongoza Uishi maisha ya utaratibu na mpagilio mzuri Kwenye maisha yako au Kwenye ndoa yako au Kazi zako. UTARATIBU; Maana Yake Muongozo au Mtiririko mzuri. LENGO LA SOMO: Uwe na Moyo uliojazwa katika utaratibu. Dhima Yetu;Kuuganisha Usawa na Umoja Katika Jamii kupitia Somo hili FAIDA ZA MOYO HUU. 1:Kuujega msingi ulioimara 2;Kufanya Maisha yako yawe ya mfano kwa Jamii. 3:Hufanya Moyo wako uvumilie na ufikie Lengo. 4:Hujazwa Hekima na Utashi Mkubwa Moyo huu 5:Ni Tabia Ya Ki MUNGU unapoishi Katika Utaratibu. HASARA ZA KUKOSA UTARATIBU 1...

MAJUKUMU YA MWANAMME NDANI YA NDOA

🌍🌍MAJUKUMU YA MWANAMKE NDANI YA NDOA ANAPOINGIA KWENYE NDOA✔️✔️ ZINGATIA NA UFANYIE MAZOEZI MWANANDOA Wanandoa Tuongee+18 Leo Topic Mwanamke Jinsi Ya Kusimamia Majukumu yake Anapoigia Kwenye Ndoa Wanandoa Wengi Wakike Wamekuwa Wakijisahau Wajibu Wao na Majukumu Ya Kibiblia Mwisho Wa Siku Kufanya Ndoa Nyigi Zifarakane nakuvunjika. Karibu Naitwa Mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa 1:UTIIFU KWA MMEO (1Petro:3:1,Waefeso:5:22) Mwanamke Ukiwa ndani ya ndoa Utakiwa Uoneshe Utiifu Kwa Mmeo Hupaswi Uvunje Agizo hili uinue mabega Umdharau Mmeo na Kuaza Kumbishia Na Kumpiga Kwa Maneno Au Kumfokea Onesha Adabu Kwa Mmeo Onesha Maadili mema Na Umsikilize Mmeo. Huu ndio Wajibu wako kwenye ndoa. 2:KUTUNZA SIRI NA MADHAIFU YA MMEO(Yohana:17:16) Mwanamke Jukumu Lako la Pili Kwa Mmeo Mtunzie Siri Mmeo mhifadhie Madhaifu Yake Usitoe Nje au Kwa ndugu zako au Rafiki zako Siri za Mmeo au Madhaifu Yake. Wanawake wengi wanaotoa nje Siri ...

SOMO: FURAHA NDANI YA NDOA

SOMO: JINSI YA KUFANYA UWE NA FURAHA MAISHANI Mwako Karibuni Wanandoa Tuongee+18 Naitwa Mwalimu Wa Wanandoa (Pastor Richard) Mithali:15;8-22 Nehemia;12:16-18  Luka:15:7 MAMBO YANAYOKUFANYA UWE NA FURAHA NDANI YA NDOA YAKO. B 1:SAMEHE. Kiukweli huwa vitendo vingine ndani ya ndoa kuvi vumilia huwa kazi au tu katika maisha ya Jamii iliyotuzunguka Hali Ambayo huondoa furaha ndani Yetu nakuweka huzuni na chuki Kati yetu lakini ukiwa na moyo wa Kusamehe Utakuwa nafuraha. 2:CHUKUA MADHAIFU YA MWEZAKO UYAFANYE YAKO SIO UMCHUKIE. Mkeo au Mmeo unapomuona Anakosea kosea elewa kuwa hicho kinachomkoseha huitwa udhaifu sio kweli Kusema Mmeo au Mkeo akakufanyia Kitu hicho milele asibadilike elewa Atabadilika tu na Atakuja kuushinda huo Udhaifu Ukiishi na watu Wachukulie Kama walivyo usipende Kuyaweka moyoni MADHAIFU Ukaona Kama Anafanya kwa Kusundi.Utaishi na Furaha. 3:JIKUBALI WEWE NI PEKEE NDIO MAANA UMEOLEWA  AU UMEOA. Usipende Kujiliganisha ndoa yako au maisha yako na mtu mwing...