Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2024

SOMO; MAMBO AMBAYO HUPASWI KUYAONGEA NDANI YA NDOA.

    👊DARASA LA WANANDOA 🤛        Karibuni Wanando ndani Ya Darasa Tusemezane Tujifunze Kitu mimi Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Nakuandalia nakala hii.. SOMO; SiRI AMBAZO HUTAKIWI KUZIONGEA NDANI YA NDOA  Wanandoa Tunapoingia ndani ya ndoa wengi wetu tulishawahi kuwa na mahusiano kabla ya kupata ndoa au Tulishapitia hali fulani familia zetu na wengine Tumetoka familia ambazo hazikutunza vizuri ndoa Wazazi wetu hawakuwa vizuri kukaa nasi kutufundisha juu ya namna Tunavyopaswa kukaa na wake zetu au waume zetu Kwa hiyo Tunapokuja kuingia maisha ya ndoa Tunaona kama magumu sana na tunaweza kukopi maisha ya wazazi wetu karibu ujifunze kitu hapa naamini utapata kitu. 1:UKIOLEWA/KUOWA NDANI YA NDOA USITOE SIRI ZA HALI YA UZAIFU KWA WAZAZI WENU BAADALA YAKE MWAMBIENI BABA WA KIROHO AWAOMBEE. Mfano mkeo umemuowa lakini kwenye tendo la ndoa kuna shida hakuhudumii ndani au umekuta anamatatizo sehemu zake za siri au Zipo mara mbili za kiume na za kike ...

SOMO; MAOMBI YA KUOMBEA CONECTION

SOMO: MAOMBI YA KUOMBEA CONNECTION   TUNASIMAMIA  Isaya,43;4 Mwanzo;12;13 Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  WhatsApp  Group la Maombi+255759861768 1:Maombi haya Utayaomba muda wako wowote Uliotulia  2;Kama Utashuhudiwa uyatolee Sadaka basi unatuma Sadaka yako unanipigia lakini sijapewa maelekezo ya wewe utoe Sadaka  👇👇👇👇👇👇👏👏👏👏👏👏👏 MAMBO YA KUZINGATIA SOMA HIZI AINA MBILI ZA CONECTION  ::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::;::;:::::::::::::: 1;AINA YA CONECTION YA KIROHO  Katika Maisha Yako Elewa Watu Huwa ni Sehemu ya Mabadiliko katika maisha yako ni Sehemu ya Mafanikio Kama Hutakutana Na Connection Watu Waliondaliwa Wawe kiunganishi Kufikia Hitaji lako Liwe la Kiroho Tunaitaji Baba wa Kiroho Awe Conection Na Mungu Tunaitaji Tutoe Zaka Iwe connect katika Maombi Yetu Kama Unaomba Huna Hivi vitu Viwili Madhabahu yako haitakupa matokeo Sababu lazima uwe na mlezi wa kiroho utakayemshirikisha kila kitu halafu ataenda ...

SOMO; WAJIBU WA MAMA MCHUNGAJI NA MCHUNGAJI NDANI YA KANISA.

SOMO; WAJIBU WA MAMA MCHUNGAJI NA MCHUNGAJI NDANI YA KANISA.  UTANGULIZI  Ni vyema somo hili liwafikie walengwa wapate kujua nini kinawapasa wafanye ndani ya kanisa Kwanza waelewe wao wanasimama kwa niamba ya Mungu wamepewa watu waongoze nakuwachunga Kiroho katika Kondoo hao wanapaswa wawajue vizuri nakujua zinzi lao na Aina ya malisho wànayowapa. Zaburi:23;1-4 Malaki.2:7, Mathayo.5:14-16 Basi Upo namimi Pastor Richard nakuletea Nakala hii Ujifunze kitu fatana nami mpaka mwisho. MAANA YA MAMA MCHUNGAJI ? Mama mchungaji ni msaindizi wa mchungaji katika majikumu ya kutimiza wito wake anasimama kwa niaba ya mchungaji hata kama hayupo. MAANA YA MCHUNGAJI? Mchungaji ni msaindizi wa Mungu anayesimama kwa niaba ya Mungu kuwaongoza watu kiroho nakuwakuza kiimani. MAMBO YA KUJUA NA YA MUHIMU KWA MCHUNGAJI NA MAMA MCHUNGAJI  _______________________________________ _ 1;Mungu Amekuweka Kwa Niaba Yake Kumuwakilisha Kwa Watu wake. 2.Mungu Amekupa Kibali  Kuliko wengine Amekuamini ...