Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2022

SOMO:WITO WA MUNGU

SOMO; WITO WA MUNGU  Vitabu Rejea Kutoka;3:2-7 Yona;1;1_10 YEREMIA;1;1-10 Waefeso;4;1_6 Naitwa Bishop Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  FB; Kanisa la Moto Wa Yesu  Akaunt Bishop Richard Tz Tiktok :Moto wa Yesu WITO Ni nini? Ni sauti unayoisikia kufanya kazi ya Mungu. Au Ni Sauti inayokuita nakukupa maelekezo ya kufanya au Ni Kaulitz mbiu ya Maisha Yako. UTOFAUTI KATI YA WITO NA HUDUMA  Wito ni Sauti ya mtu kuitwa na Mungu Akaitika HUDUMA ni Mzingo anaopewa na Mungu Mfano; Unasikia kuchukia dhambi au kuumia watu wanavyoteseka ujue unawito wa kuwasaindia hao watu na Huduma inakuwa jinsi utakavyojitoa kuwawezesha waondokane na mateso hayo. UTOFAUTI KATI YA MAONO NA HUDUMA  MAONO; Ni Picha Ya baadae katika HUDUMA yako  HUDUMA ni Mzingo ulioubemba au ni ujumbe uliomo ndani yako uliopewa ufikishe kwa walengwa au wahusika anaowalenga Mungu. WITO HUZAA MAMBO MAWILI. 1:HUDUMA huzaliwa na mtu aliyeitwa na Mungu. 2;MAONO huzaliwa na mtu aliyeitwa na Mungu JINSI...

SOMO;NGUVU ZA ANGA

  SOMO:NGUVU YA ANGA. Mwanzo;1;6-14 Karibu Tujifunze Kwa Ufupi nguvu ya Anga Katika Maisha yako na umhimu wa maombi yako kushughulikia Anga lako kabla ya kuomba chochote  Anga Ni nini? Anga ni Mpaka unaoweza kutenganisha kitu na kitu kigine Hicho kitendo cha kutenga huitwa Anga. Nguvu Ya Anga katika ulimwengu wa Roho Huzuia Maombi unayoomba Yasitoke chini kufika kwa Baba Mbinguni. Malaika wako anayekuwa Ameshjkilia machozi yako au mahitaji yako huyu malaika hukutana Angani na Vizuizi Kutoka kwenye malaika waasi kuhakikisha wanazuia ombj lako. Mwanzo 1:8 [8]Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.  And God called the firmament Heaven. And the evening and the morning were the second day. Mungu kuliita Anga mbingu maana yake ni Anga lilopo katikati ya mbingu na nchi. UMUHIMU WA KUSHUGHULIKIA ANGA LA ENEO ULIPO KUNA AINA NYIGI MIANGA LAKINI KUU Ni Anga lako la Maombi. Maombi Unapoomba Anza Kushughulika Na Anga la Eneo ulipo huwezi kug,ag,ana k...