Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba, 2022

SOMO:SABABU TANO ZA MWANAMKE KUUMBA.

SOMO: SABABU TANO ZA MWANAMKE KUOLEWA AMBAZO MUNGU ALIKUSUNDIA. Na mwanamke wa Kwanza Kuumbwa alikuwa Hawa Ni Kwanini Huyu Mwanamke aliumbwa aliumbwa kwa kuwa kulikuwa na Adamu ambaye Aliitaji Msaindizi Na Mungu akaona Ni vyema hawa apelekwe Kwa Adamu akawe msaindizi wake. Awe faraja yake asijiweke katika upweke. Tunasoma;  Mwanzo 1:26-27 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.  And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth. [27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.  So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female creat...

SOMO; Faida ya Hekima

       SOMO: FAIDA YA HEKIMA Hekima kwako inafaida Sana kuliko kitu chochote Unachoweza Kutenda Tengeneza maisha yako yapate nafasi kuipa hekima iamue.  1.  Itakuwezesha kujanga nyumba imara na kuwa na mahusiano imara ya kifamilia. Mithali 24:3   Nyumba hujengwa kwa hekima, Na kwa ufahamu huthibitika. Mithali 19:13   Mwana mpumbavu ni msiba kwa babaye; Na ugomvi wa mke ni kama kutona-tona daima. 2.  Itakufanya upate kibali katika yale unayoyafanya. Mithali 14:35   Upendeleo wa mfalme humwelekea mtumwa atendaye kwa busara; Bali ghadhabu yake itakuwa juu yake aletaye aibu. Mithali 17:2  Mtumwa atendaye kwa busara atamtawala mwama atendaye mambo ya aibu;.. 3.  Itakuwezesha na vikwazo na upinzani Mithali 21:22   Mwenye hekima huupandia mji wao wenye nguvu; Na kuziangusha nguvu za tumaini lao. Mithali 24:5  Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam mtu wa maarifa huongeza uwezo. Muhubiri 9:18a   Hekima ndio bora kuliko silaha...