IBADA YA MAZISHI KUONGOZA
IBADA YA MAZISHI 1;Kwanza mnawaona wafiwa, mnaulizia kama wana sanda na Sanduku. 2;Kisha wanaomuona marehemu ni watu wa jinsia yake. 3:Mnafungua ibada kwa maombi. Kama kuna nyimbo za maombolezo zinaimbwa. 4; Wachungaji wanaingia ndani kwa maombi, mwili unatolewa nje. 5:Baada ya hapo anakaribishwa mnenaji. 6:Akimaliza anakaribisha matangazo ya watu wa nzengo, msemaji wa familia kama wameandaa chakula mnashiriki, baadaye naelekea malaloni. 7;Ibada ya malaloni anakaribishwa mtu wanafungua kwa maombi kisha 8 Anakaribishwa mtumishi kwa kusimamia mazishi. Mwili unashushwa kaburini, anahubiri kwa kifupi. 9; Akimaliza anaalika ndugu jamaa na marafiki kuweka udongo kidogo, kisha historia ya marehemu, mashada, matangazo na 10;mwisho mnahitimisha kwa maombi. IBADA YA MAZISHI INAISHA