IBADA YA MAZISHI KUONGOZA
IBADA YA MAZISHI
1;Kwanza mnawaona wafiwa,
mnaulizia kama wana sanda na Sanduku. 2;Kisha wanaomuona marehemu ni watu wa jinsia yake.
3:Mnafungua ibada kwa maombi. Kama kuna nyimbo za maombolezo zinaimbwa.
4; Wachungaji wanaingia ndani kwa maombi, mwili unatolewa nje.
5:Baada ya hapo anakaribishwa mnenaji. 6:Akimaliza anakaribisha matangazo ya watu wa nzengo, msemaji wa familia kama wameandaa chakula mnashiriki, baadaye naelekea malaloni.
7;Ibada ya malaloni anakaribishwa mtu wanafungua kwa maombi kisha
8 Anakaribishwa mtumishi kwa kusimamia mazishi. Mwili unashushwa kaburini, anahubiri kwa kifupi.
9; Akimaliza anaalika ndugu jamaa na marafiki kuweka udongo kidogo, kisha historia ya marehemu, mashada, matangazo na
10;mwisho mnahitimisha kwa maombi.
IBADA YA MAZISHI INAISHA
Maoni
Chapisha Maoni